DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thibitisha MUNGU yupo!Ukiona watu wanaanza kumchukia Mungu mjue mwisho wa dunia unakaribia
Wewe unayochuki na husuda binafsi dhidi ya Uisilamu; Mtume mtukufu (saw) alipata kutuhusia kwamba,
"Jiupusheni na husuda hakika husuda hutafuna mema ya mtu jinsi moto unavyotafuna kuni".
Mema yako yanatafunwa na husuda yako dhidi ya Uisilamu mbaya zaidi kwako ni; Islam is the FASTEST growing religion in the entire world.
My advice to yuo; If you can't beat it join it, you are not late.
TakbiiiirHuu ni ukafiri uliopitiliza
Punguzeni kelele...acheni kulialia.Takbiiiir
Ila punguzeni kelele...kufa isiwe sababu kila mtu atakufaKagame kazikuta dini atakufa ataziacha. Ni SAwa na aliyetaka kuuwa upinzani akafa yeye upinzani ungalipo imara tu
Thibitisha MUNGU yupo!
Amuoneshe kamtoa wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Daah noma snaaKama mama yako yupo hai muulize amekutoa WAPI?
alafu njoo nikuoneshe Mungu alipo
Thibitisha MUNGU yupo acha porojo mama yangu anaingiaje Hapa?Kama mama yako yupo hai muulize amekutoa WAPI?
alafu njoo nikuoneshe Mungu alipo
Amuoneshe kamtoa wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Daah noma snaa
Thibitisha MUNGU yupo acha porojo mama yangu anaingiaje Hapa?
Sasa kama wanalijua hilo kwann wanaingilia UHURU wa wengine.Ila punguzeni kelele...kufa isiwe sababu kila mtu atakufa
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Gr8 thinkingMkuu,kipindi mtume analeta mambo ya adhana, kulikuwa Na spika duniani?? Si walikuwa wansema Kwa mdomo Tu...ambayo sio Kelele.
Sasa kama spika ilivyogunduliwa duniani waislam waliweza kumodify adhana baadae Na kuanza kutumia spika kinyume Na alivyofanya mtume Kwa mdomo
kwanini Na sasaivi wasimodify wakaanza kutumia simu?
Yani Kila muumini aweke ringtone ya adhana itakayolia Kila ifikapo Muda wa swala
We ni nguruweHata bila mabomu huyo anaweza kuondoka.
Ni KUN FAYA KUN.
yaani Mungu akisema kuwa Basi inakuwa.
Na uenda waislam wa Rwanda hawajaamua kukaa kikao.
Ni suala la sekunde .Mungu anasubiri waislam wa Rwanda watasema Nini
Watu tumelala..think in 4dBila Shaka utajua.
Uzima usikupe kiburi na kudharau maneno ya Mungu.
Allah akbar maana yake "MUNGU NI MKUBWA"
kusema mungu NI MKUBWA ni kelele?
Hahaha huyo hana nyumba ya matopeNaona wamekaa kimya...inabidi waislam wa Tanzania waingilie Kati...Mzee ukitaka mabomu Mimi nna connection ya kuyapata
Dini ya nn?????????kum nyokDini Ya Haki
Waitane Kwa Kunong'onezana