Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

Maajabu ya dunia, nchi ya walevi nao wanajua eti sauti isizidi decibel 55 , vipi bado hawajapokea wakimbizi wa Romania na Afghanistan walioko U.K ?
Misikiti ilikuepo na utaratibu huo kwa zaidi ya miaka 100 hapo Rwanda, na ndio ilikuwa kimbilio la kuwahifadhi wahanga katika mauaji ya kimbari ya mwaka 94 leo imekuwa inawapigia kelele kwa adhana ya dakika 3 au sio ? Vimsaada vya Paundi milioni mbili ndio vinawatoa ufahamu , haya bana.
Nenda rwanda ukayaongee haya kwenye msikiti tembea na PA kabisa..kisha utuletee mrejesho.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nalaani kitendo cha mamlaka kuingilia mambo ya msingi ya dini yoyote, tuache dini na wanadini wafanye dini na wanasiasa wafanye siasa, tuache waumini waishi kwa harmony na tolerence bila kuvunja amani, mamlaka kuingilia mambo ya msingi katika dini ni KIZUNGUMKUTI (vicious cycle) kwani hatujui ni kitu gani kitafuata baada ya hapo, inawezekana mamlaka yakaanza kuwachagulia waumini viongozi au hata kuamua kupingana na maandiko ya badhi ya vitabu vya dini nk, hiyo ni hatari.
Huna akili

Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
 
Hehehehe Huyo mtume nimchukie wa nini wakati hanihusu, simuabudu wala simjui na sina mpango wa kumjua na sitegemei ije siku nimjue, ila ninachokisema acheni kusumbua watu na mambo yake, wakati mnamuabudu fanyeni bila kupigia watu makelele alfajiri, bora hata mchana lakini sio mida ambayo watu wamelala.
Hehehehe Huyo mtume nimchukie wa nini wakati hanihusu, simuabudu wala simjui na sina mpango wa kumjua na sitegemei ije siku nimjue, ila ninachokisema acheni kusumbua watu na mambo yake, wakati mnamuabudu fanyeni bila kupigia watu makelele alfajiri, bora hata mchana lakini sio mida ambayo watu wamelala.


Binadamu sio wewe mtu tunatakiwa tuishi kwa tolerences, kama hakuna torelences jamii ndio utasikia wengine wakiuana kwa chuki za ukabila nk, dini zipo za aina nyingi kama yalivyokuwa makabila ni uvumilivu na masikilizano ndani ya dini ndio unajenga mahusianp mema.

Njoo Tz ujifunze hizo tolerences na harmony, mimi ninapoishi majirani zangu Wote ni dini zingine na katika eneo letu kuna misikiti na mbele kidogo kuna Kanisa Katoliki, ikifika alfajiri ni Adhana na ikifika saa 12 asubuhi ns jioni ni Kengele ya kanisani tunaishi hivyo na watoto wetu wameishi hivyo na wala hakuna shida we are accustomed to that situations all these times and no strives , akili n nature ya binadamu ipo katika kuji tune na ku adapt mazingira, kama.nyie huko mmeshindwa ku adapt mazingira ya aina hiyo je mtaweza ku adapt.mazingira ya kuishi bila ukabila??!!.

In this case Tz is a highly blessed country.

الحمد لله.
 
Binadamu sio wewe mtu tunatakiwa tuishi kwa tolerences, kama hakuna torelences jamii ndio utasikia wengine wakiuana kwa chuki za ukabila nk, dini zipo za aina nyingi kama yalivyokuwa makabila ni uvumilivu na masikilizano ndani ya dini ndio unajenga mahusianp mema.

Njoo Tz ujifunze hizo tolerences na harmony, mimi ninapoishi majirani zangu Wote ni dini zingine na katika eneo letu kuna misikiti na mbele kidogo kuna Kanisa Katoliki, ikifika alfajiri ni Adhana na ikifika saa 12 asubuhi ns jioni ni Kengele ya kanisani tunaishi hivyo na watoto wetu wameishi hivyo na wala hakuna shida we are accustomed to that situations all these times and no strives , akili n nature ya binadamu ipo katika kuji tune na ku adapt mazingira, kama.nyie huko mmeshindwa ku adapt mazingira ya aina hiyo je mtaweza ku adapt.mazingira ya kuishi bila ukabila??!!.

In this case Tz is a highly blessed country.

الحمد لله.

Tolerance haimaniishi uniharibie usingizi alfajiri yote, kama binadamu tumekubaliana kuishi pamoja licha ya tofauti zetu za kiimani na kiitikadi, ila tusibughudhiane, abudu unachokiabudu huko kwa amani bila kuniharibia mambo yangu, usinilazimishe kuabudu hicho unachokiabudu, nikitaka mwenyewe nitakuhoji kukihusu na labda nijiunge tukiabudu sote, nakumbuka nikiwa kijana nusra nijiunge uisilamu kisa mnaruhusiwa kuoa wanawake wengi, uchu wa ngono ndio ulikua unaniongoza.
 
Hapo umeongea upupu kabisa. Hakuna dini ya Mnyezi mungu. Mungu hana Dini, hizi ni Taratibu za kibinadam wamejiwekea
Enyi mlio amini! Msivunje hishima ya alama ya Dini ya Mwenyezi Mungu wala mwezi mtakatifu, wala wanyama wanao pelekwa Makka kuchinjwa, wala vigwe vyao, wala wanao elekea kwendea Nyumba Takatifu, wakitafuta fadhila na radhi za Mola wao Mlezi. Na mkisha toka Hija yenu basi windeni. Wala kuwachukia watu kwa kuwa wali- kuzuilieni kufika Msikiti mtakatifu kusikupelekeeni kuwafanyia uadui. Na saidianeni katika wema na uchamngu. Wala msisaidiane katika dhambi na uadui. Na mcheni Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mkali wa kuadhibu. qur- an 5:2
 
Majengo ya misikiti inajulikana na hakunasababu ya makelele. Watu wamelala unasikia kiarabu alafu wanaanza kutishia Mara sanda, mara Kaburi hadi unajiuliza unaenda mzimuni au
Bro umenichekesha Sana kwa kweli. Mahubiri ya washikaji yanavitisho balaa.
 
Waislamu Simu wanazo waweke alarms ziwaamshe
Waislamu Walichekelea walokole walipopigwa marufuku kutumia spika

Na katoliki nao waache kugonga kengele zao zinaleta kelele

Pia bar marufuku hiyo wapewe na mkutano ya kisiasa iwe marufuku kutumia spika
Adhana si kelele na wala hailingani na kengele. Kama madhumuni ni kuzuia kelele basi pigeni marufuku kengele na miziki,Sisi msituguse.
 
Back
Top Bottom