Umenena vemaUsipangie watu namna ya kujadili, ndio kama hivyo mnapigia watu makelele ya uislamu ambayo hawahusiani nayo.
Ni kama ule ujinga kule zenji wa kuchapa viboko wanaokutwa wakila hata wasio waislamu au hawana hata mpango huo kwenye maisha.
Fanyeni yenu bila kusumbua watu, mna matatizo sana ya kulazimisha watu huo uislamu.
Rwanda sio nchi ya kidini kama kwa wale wenye hiyo dini huko uarabuni.
Na Tz ipitishwe hiiKwa kweli Rwanda wanajielewa sana kwa hili nawaunga mkono hata Yale makanisa yenye kukesha nayo yafungiwe kupiga kelele Mungu haabudiwi kwa makelele
Usipangie watu namna ya kujadili, ndio kama hivyo mnapigia watu makelele ya uislamu ambayo hawahusiani nayo.
Ni kama ule ujinga kule zenji wa kuchapa viboko wanaokutwa wakila hata wasio waislamu au hawana hata mpango huo kwenye maisha.
Fanyeni yenu bila kusumbua watu, mna matatizo sana ya kulazimisha watu huo uislamu.
Rwanda sio nchi ya kidini kama kwa wale wenye hiyo dini huko uarabuni.
Watuwengi hawaelewi kuwa dini ni utaratibu wa kibinadamu. Na utaratibu wowote unaweza kubadilishwa. Hata Muhamad hajawai kutumia maspika kuhazini ila wanadam wakaamend kutokana na mabadiliko ya Tech. Ni muda muafaka sasa waamendi watumie alam za sim kuamshana.Kama Rwanda sio nchi ya kiisilamu (sio n?chi ya kidini) iweje iingilie mambo ya dini kwa kukataza, "religious rites" za msingi??!!. Kumbuka Adhana haijaanza hivi karibuni bali imeanzishwa na mtume Muhammad (saw), nani sasa aje kumpinga Mtume ??!. Nasikia hata wachhungaji wamelazimisha wawe na shahada za theology ndipo wapewe ruhusa ya kutoa huduma za kiroho!!, Yesu alikuwa na degee ya theology ??, inaonekana kama Yesu angalikuwa mnyarwanda katika zama hizi akina Kagame ndio wangalikuwa mafarisayo wake.
Wewe ni mpingaji wa uisilamu tu, wala huna thamani yoyote kuliko Uhuru Kenyatta aliyeiheshimu Adhana ilipotolewa kule Dodoma wakati akihutubia.
Soma mwisho wa Iddi Amini alipoanza kuingilia uhuru wa dini nchini mwake, Mungu sio wa mchezo.
Kwenye masuala ya imani hatuwezi kuamini wala kuwa na mawazo yanayofanana maana kila mtu/muamini ana Mungu wake anayemuamini ambaye anatofautiana na Mungu wa mwingine. Hivyo usilete generalization kuwa Mungu wako ndie Mungu sahihi kwa wote anayepaswa kupewa utukufu, sifa, heshima na wote utakuwa unakosea. Mbona haulaani kitendo cha PK kuwabana mbavu WaKristo?.
Tuishi kwa amani na upendo huku hizi tofauti za kiimini tusizipe nafasi ya kujenga chuki miongoni mwetu
Naona wewe ndio huijui. Kasome vizuri alafu uje hapa
[emoji16][emoji16][emoji16] aisee waambie wajiandae kwa kunji.
Kagame wamjua au wamsikia?Kagame awe makini wasianze kujitoa mhanga kwa kujilipua mabomu huko...
😁😁 Ni kweli kabisa, Takbiiiir Takbiiiir Takbiiiir Takbiiiir TakbiiiirHuyo hachukui round tunafukia
Hata zanzibar mwezi wa ramadhan haki ya kula chakula inaminywa
Lazima ufundishwe kama hujui. Na utaratibu wa adhana ni wakibinadam ambao unaweza badilishwa any timeYaani wewe unifundishe mimi maana ya adhana?
Makanisa zaidi ya 6,000 yalishafungwa.Sawa adhana itakatazwa na kengele katika makanisa ya Roman kila alfajiri zitaruhusiwa kwakua ile siyo kelele ni sauti nzuri inayo vutia
Kama Rwanda sio nchi ya kiisilamu (sio n?chi ya kidini) iweje iingilie mambo ya dini kwa kukataza, "religious rites" za msingi??!!. Kumbuka Adhana haijaanza hivi karibuni bali imeanzishwa na mtume Muhammad (saw), nani sasa aje kumpinga Mtume ??!. Nasikia hata wachhungaji wamelazimisha wawe na shahada za theology ndipo wapewe ruhusa ya kutoa huduma za kiroho!!, Yesu alikuwa na degee ya theology ??, inaonekana kama Yesu angalikuwa mnyarwanda katika zama hizi akina Kagame ndio wangalikuwa mafarisayo wake.
Wewe ni mpingaji wa uisilamu tu, wala huna thamani yoyote kuliko Uhuru Kenyatta aliyeiheshimu Adhana ilipotolewa kule Dodoma wakati akihutubia.
Soma mwisho wa Iddi Amini alipoanza kuingilia uhuru wa dini nchini mwake, Mungu sio wa mchezo.