Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Hata Rwanda wapo kama wewe, lakini hawajasikilizwaWewe sawa, Nchi sio wewe tu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Rwanda wapo kama wewe, lakini hawajasikilizwaWewe sawa, Nchi sio wewe tu..
Paul kagame noma. Ingekuwa tz tungepga kelele knomaDozi zinagawiwa kwa pande zote.[emoji1][emoji1]View attachment 2188614
Sio kila kitu cha kuiga, wakipiga marufuku adhana wasisahau na utitiri wa makanisa yanayopiga mziki weekdays kwenye makazi ya watu tena kwa maspka
Aisee hatari sana mambo ya imani😂Mada kama hii ya "Adhana" ilimfukuzisha kazi Dada mmoja maarufu tu huko Twitter baada ya kukaa kwenye kipindi cha Televisheni alichokua akiendesha aka support hoja ya 'Mgeni Mualikwa' baada ya Mgeni kusema kwamba 'Adhana' ni Noise pollution!..Kipindi kikaisha saa 07:50, sijui wale jamaa wa Bakwata walitokea wapi..wakatwanga simu moja kwa 'Mmiliki' ...ndani ya Dakika chache walimiminika wale jamaa kwenye viunga vya studio wakitaka ufafanuzi wa hoja zilizoungwa mkono na 'Presenter'.....Flashback hiyo! Zamani kidogo imetokea..na Huyo Dada alirudi kwenye runinga baada kama ya 7 yrs hivi! 😂 😂 😂 Mada korofi sana hizi!
Waislamu Simu wanazo waweke alarms ziwaamshe
Ni bora adhana kuliko hayo makanisa yanayopiga mziki, aisee ni keroSio kila kitu cha kuiga, wakipiga marufuku adhana wasisahau na utitiri wa makanisa yanayopiga mziki weekdays kwenye makazi ya watu tena kwa maspka
Kuna makanisa yanafanya amzoezi ya kwaya mpaka saa nne. Kuna mikesha na tena yako maeneo ya makaziHata Wakristo kupiga muziki na matumizi ya vipaza sauti ambavyo vinapeleka sauti mbali kwa watu ambao siyo sehemu ya hadhara iliyopo, siyo uungwana. Lakini afadhali hayo yafanyike mchana kuliko kuamsha watu saa 10 usiku tena kwa maneno jeuri kabisa, "amka, amka, amka..."
Sio kila kitu cha kuiga, wakipiga marufuku adhana wasisahau na utitiri wa makanisa yanayopiga mziki weekdays kwenye makazi ya watu tena kwa maspka
Tulia hivyo hivyo nime "Avoid name-calling![emoji1][emoji1][emoji1] aisee hii Ni breaking news kwangu.
Thnxs for sharing.
niki ripoti kutoka kwa mdau aliye chafukwa. Mimi ni kacnia ITVSimu wanazo waweke alarms ziwaamshe
Waislamu Walichekelea walokole walipopigwa marufuku kutumia spika
Na katoliki nao waache kugonga kengele zao zinaleta kelele
Pia bar marufuku hiyo wapewe na mkutano ya kisiasa iwe marufuku kutumia spika
Sio kesi Usisahau mikutano ya siasa pia wafanyie ndani kwenye sound proof ikiwemo ya chama chakeKwa kweli Rwanda wanajielewa sana kwa hili nawaunga mkono hata Yale makanisa yenye kukesha nayo yafungiwe kupiga kelele Mungu haabudiwi kwa makelele
Hiyo ya makanisa ya kilokole ni kero times ten... Spika 'zinatema' mdundo halafu ndani ukichungulia waumini wawili au watatu.Sio kila kitu cha kuiga, wakipiga marufuku adhana wasisahau na utitiri wa makanisa yanayopiga mziki weekdays kwenye makazi ya watu tena kwa maspka