American Dream
JF-Expert Member
- Mar 18, 2022
- 313
- 352
Kuna vya kuiga na hili ni mojawapo🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu dictator ana akili nyingiDozi zinagawiwa kwa pande zote.[emoji1][emoji1]View attachment 2188614
vya ndani lakini, sio vya nje, maana waumini wapo ndaniWahubiri wote wa dini zote wanahitaji vipaza sauti...
Kuna makanisa yanafanya amzoezi ya kwaya mpaka saa nne. Kuna mikesha na tena yako maeneo ya makazi
Ukataze adhana uruhusu wenye mabaa wapige mziki watakavyo,laana hiyo.Adhana ya dakika mbili ina tatizo gani? Adhabu yake ipo na siyo muda mrefu
Adhana yenyewe haichukui hata dk 5..
Ni swala la.muda tuu hata masipika ya kanisani yatapigwa marufukuKwa hili Rwanda nawapongeza sana, zile kelele za alfajiri zinakera sana.
Hii ni Taharifa ya BBC...
Waislamu wanaoadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani nchini Rwanda hawasikii adhana wakati wa swala ya asubuhi, na huenda wasisikie tena, kutokana na marufuku iliyowekwa na mamlaka nchi humo.
-
Mwezi uliopita mamlaka ilipiga marufuku matumizi ya vipaza sauti kwenye misikiti asubuhi na mapema, ikisema kuwa ilikiuka sheria za uchafuzi wa kelele ambazo zinakataza kelele zaidi ya decibel 55 wakati wa mchana na decibel 45 usiku katika maeneo ya makazi.
-
Mamlaka ya Rwanda inasema kuwa wakaazi walilalamika kuhusu mwito wa mapema wa maombi - ambao hufanyika majira ya alfajiri na huchukua kama dakika mbili au tatu. View attachment 2188599
Sent from my Redmi Note 9S using JamiiForums mobile app
Kwa hili Rwanda nawapongeza sana, zile kelele za alfajiri zinakera sana.
Hii ni Taharifa ya BBC...
Waislamu wanaoadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani nchini Rwanda hawasikii adhana wakati wa swala ya asubuhi, na huenda wasisikie tena, kutokana na marufuku iliyowekwa na mamlaka nchi humo.
-
Mwezi uliopita mamlaka ilipiga marufuku matumizi ya vipaza sauti kwenye misikiti asubuhi na mapema, ikisema kuwa ilikiuka sheria za uchafuzi wa kelele ambazo zinakataza kelele zaidi ya decibel 55 wakati wa mchana na decibel 45 usiku katika maeneo ya makazi.
-
Mamlaka ya Rwanda inasema kuwa wakaazi walilalamika kuhusu mwito wa mapema wa maombi - ambao hufanyika majira ya alfajiri na huchukua kama dakika mbili au tatu. View attachment 2188599
Sent from my Redmi Note 9S using JamiiForums mobile app
Umenikumbusha bar, nazo ziko kwenye makazi ya watu zinaachia mziki. Hivi tz hakuna sheria zinazofuatwa. Mfano nasikia eti vituo vya mafuta vinabidi viachiane 3 kms, lakini unakuta viko opposite eavh other, bar kwenye makazi ya watuTuache mambo ya Wakristo ama Waislamu. Point ni kwamba, unapofanya kazi zako, fikiria watu wanaokuzinguka pia. Usijifikirie wewe mwenyewe. Kazi zako zisisumbue watu wengine. Uwe na baa ama club, uwe Mbudha, uwe Mkristo ama uwe Muislam ama mpagani. Umeelewa?
Hata mimi singing mkono kabisaSiungi hoja mkono
Umenikumbusha bar, nazo ziko kwenye makazi ya watu zinaachia mziki. Hivi tz hakuna sheria zinazofuatwa. Mfano nasikia eti vituo vya mafuta vinabidi viachiane 3 kms, lakini unakuta viko opposite eavh other, bar kwenye makazi ya watu
Population za 'waamini' wa Mtume kwa Rwanda ni ndogo kuliko Tz, isitoshe Mama ni wa huku 'kwetu' hawezi kukubali huo ujinga.Kuna vya kuiga na hili ni mojawapo🤣
Umenikumbusha bar, nazo ziko kwenye makazi ya watu zinaachia mziki. Hivi tz hakuna sheria zinazofuatwa. Mfano nasikia eti vituo vya mafuta vinabidi viachiane 3 kms, lakini unakuta viko opposite eavh other, bar kwenye makazi ya watu
Tanzania ni nchi ya kistaarabu ni nchi ya kuvumiliana, upumbavu huo ni hukohuko rwanda.Safi sana Rwanda tuige
Mnatuboa kusema ukweli. Mungu anasikia hata unayowaza moyoni. Hahitaji kipaza sauti.
Ukataze adhana uruhusu wenye mabaa wapige mziki watakavyo,laana hiyo.Adhana ya dakika mbili ina tatizo gani? Adhabu yake ipo na siyo muda mrefu
decibel za makanisa ya kilokole hapa bongo zinasoma ngapi?