Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Nilijua utawaza hivyo ukidhani mimi Mwislam. Mimi siyo mwislam I am from a Chritian familyNashukuru umenielewa sasa. Ulitaka kulifanya jambo la Ukristo dhidi ya Uislamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilijua utawaza hivyo ukidhani mimi Mwislam. Mimi siyo mwislam I am from a Chritian familyNashukuru umenielewa sasa. Ulitaka kulifanya jambo la Ukristo dhidi ya Uislamu.
Hawa sasa ndiyo wanaelekea kuzuri. Tena kwenye nchi ya wastaarabu. Kiufupi noise pollution inakera sana. Ifikie wakati watu watumie saa kujiongoza, badala ya vipaza sauti na kengele.Rwanda wanaelekea pabaya
Mungu hawezi kujilipuaIla tu msiende kujilipua,
Acheni Mungu ajipiganie yeye na dini yake mwenyewe.
ndio inavyotakiwa, naona mleta mada kaegemea upande mmoja tu wakati kelele ya adhana ni dkka 2 tu. Msala upo kwa haya makanisa ya kipentekoste, wanaabudu kwa fujo sana!!! makusudi ili kila mtu awasikieIshu siyo nani anafanya jambo baya. Ishu ni yeyote anayefanya jambo baya, anafanya jambo baya.
Huu msimamo ungekuja na hapa bongoDozi zinagawiwa kwa pande zote.[emoji1][emoji1]View attachment 2188614
adhana ni wito wa kukuamsha asubuhi kuabudu
kama huabudu basi amka ufanye mazoezi usiwe mvivu
😄😄😄 Mtu Kama Gwajima sijui tungemponaje na ule mdomo.Paul kagame noma. Ingekuwa tz tungepga kelele knoma
Hakuna aliyeminyiwa uhuru wake wa kuabudu hapo! Kilichominywa ni hizo kelele tu kwa kutumia vipaza sauti, tena wakati ambao watu wengi wanakuwa wamepumzisha miili yao.Mimi ni mkristo! Lakini siungi mkono kuminya uhuru wa kuabudu!
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Mliongea na Mungu yupi hivyo? .Mungu yupi alikwambia hivyo sababu kuna Miungu tofauti na kila mtu huabudu Mungu wake huyo Mungu wake atakavyoMungu haabudiwi kwa makelele
Hahaha yule asingenyamaza nashangaa imekuaje kampumzisha ngwajima waziri 🤣😄😄😄 Mtu Kama Gwajima sijui tungemponaje na ule mdomo.
Ni wanafiki,wanajua bila ya hayo makelele hakuna hatakayejua kuwa wapoHawa sasa ndiyo wanaelekea kuzuri. Tena kwenye nchi ya wastaarabu. Kiufupi noise pollution inakera sana. Ifikie wakati watu watumie saa kujiongoza, badala ya vipaza sauti na kengele.
Na kama kuna baa na makanisa nayo yanaendesha shughuli zao kwa sauti ya juu, nao waweke Sound proof! Na siyo kuwapigia kelele wasio husika.
Haiwezekani ibada/starehe yako, iwe mateso kwa mwingine. Yaani saa 10 alfajiri unaamshwa na vipaza sauti vya watu wakikemea mapepo! Wengine wanafanya hiyo adhana sijui! Hiki jambo halikubaliki hata kidogo.
ndio inavyotakiwa, naona mleta mada kaegemea upande mmoja tu wakati kelele ya adhana ni dkka 2 tu. Msala upo kwa haya makanisa ya kipentekoste, wanaabudu kwa fujo sana!!! makusudi ili kila mtu awasikie
Serikali ikiamua hakuna wa kupinga😄😄😄 Mtu Kama Gwajima sijui tungemponaje na ule mdomo.
Labda Congo ndio wataiga hiyo marufuku. Tanzania tuna uhuru wa kuabudu tofauti na RwandaSafi sana Rwanda tuige
Mengine yana-record maombezi Yao ya mchana kutwa na kwaya zao halafu wakisepa Ile usiku wanaachia Yale maombezi Yao kwa hewa kwny Yale maspika yao, zinapigwa usiku kucha huku wamefunga kanisa Lao na kufuli.Asubuhi wanakuja kufungua kanisa na Maisha yanaendelea 😄😄😄.Kuna makanisa yanafanya amzoezi ya kwaya mpaka saa nne. Kuna mikesha na tena yako maeneo ya makazi
Kilo ngapi?Mimi naunga