Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

Kwanini Allah mda wote ni ku deal na mayahudi na wakristo, alikuwa hajui duniani Kuna dini nyingine nyingi tu?
 
Imeisha hiyo!
 
Kule uswizi jamaa mmoja kachoma msaafu,waamiaji kutoka Arabia wamefanya fujo balaa,sasa huku Afrika Kuna kidume kimepiga marufuku adhana,sasa wale ndugu zetu wenye vielele vya hasira kali,tunawakaribisha Rwanda,mfanye fujo,kitakachowapata nyie na ndugu zenu,basi tu,
 
sasa huku Afrika Kuna kidume kimepiga marufuku adhana,sasa wale ndugu zetu wenye vielele vya hasira kali,tunawakaribisha Rwanda,mfanye fujo,kitakachowapata nyie na ndugu zenu,basi tu,

Kwahiyo sifa sio!! Allah hachezelewi bwana,, atapata anachositahili.
 
Ukataze adhana uruhusu wenye mabaa wapige mziki watakavyo,laana hiyo.Adhana ya dakika mbili ina tatizo gani? Adhabu yake ipo na siyo muda mrefu
Dakika mbili wapi. Umesahau baada adhana kuna ile mikwara ya nusu saa. Cjui shuka lako litakuwa sanda yako cjui nini bure kabisa.
 
Hivi kupayuka payuka ovyo kwenye maspika.
Allah mkubwaaaaa
Allah mkubwaaaaa
Allah mkubwaaaaa
Allah mkubwaaaaa
Allah mkubwaaaaa.......
Ndio kuamshana huko ?

Kwanini mnalitaja jina la Allah
Asubuhi mchana na jioni bila sababu ya msingi.
Na

Mnapotaka kulipua Bomu ili kuangamiza halaiki ya watu.

Mnapo jilipua

Mnapotaka kuwachinja Binadamu waliomkejeri Allah au Muhammadi au Qurani.
(eg. mnavyomsaka Salman Rushdie ili mumuchinje kwa jina la Allah baada ya kushindwa kumjibu madai yake kuwa Qurani ni kitabu cha Shetani Ibris Rusifa na Malaika zake Majini )

Mnapo toa adhabu za kukata mikono wezi, kuchinja wazinzi, mashoga na mnao wafumania na wake zenu.

Mnapo andamana kudai matakwa ya Dini ?
NK. ?
Hivi muko timamu kweli ?
 
Waislam wa Rwanda wamuombe Mungu afanye maamuzi yasiyonashaka kwa yeyote aliyetoa mada,aliyepirtsha, na aliyetoa amri.Insh Allah.
 
Hii inatisha, unaweza kuacha kuchangia.

1930 kwenye spika. Kwanini tusikubali 2022 kwenye Twita?

Tatizo ni kuwa sheria inasema kwenye "maeneo karibu na makazi" lakini humu tunaeza pindisha na kusema "amepiga marufuku adhana alfajiri" yenye kuleta nadharia ya kuwa Nchini kote Alfajiri!

Nani mchochezi?
Nafikiri mleta mada naye ndiye mkorofi na wala sio Sheria.
 
Mungu alibariki taifa teule la Rwanda, kwa kweli huu upuuzi wa kuamsha watu usiku eti waache kulala waende kusali ni ujinga uliopitiliza. Seriously, utawalazimishaje watu waache kulala waende kusali, hivi kweli Mungu anayataka haya? Watanzania tusiwe wajinga kihivi, Mungu katupa alili tuzitumie si tu kuendeshwa kwa matakwa ya watu ili wapate wali wa bure pampja na tende kwa ajili ya kulazimisha watu waamke. Huu ni ujinga uliopitiliza. Homgera Rais Kagame kwa kusimamia haki.
 
Na bahati mbaya kweli kweli nimejenga kakibanda kangu sehemu na sina furaha kabisaa kwa kelele

Nyuma yangu kuna msikiti halafu sijui kwanini huwa hawaweki hata spika za kisasa zenye mlio usio umiza sana kwa makelele
Vispika vile wakianza Adhana hiyo alfajiri utadhani wameviweka dirishani kwangu nikele balaa

Kulia kwangu kuna kanisa la walojole aisee
Yaani hawa viumbe jumapili wanapiga “masebene ya Yesu” ni hatari, maspika yanadunda upo nyumbani kwako lakini utadhani upo kwenye tamasha la papa mpao

Kwakweli kuna haja ya kuwadhibiti hawa watu kwakweli wanakera sana
 
Adhana iliyotungwa na Umar , inahusika vipi na Allah kutoa thawabu ?
Adhana ni wito uliofaradhishwa na Mwenyezi Mungu katika Qur'an (Soma Qur'an 62:9) ndio maana maswahaba wakatumia Qiyyaas kutafuta namna ya kuitana na Mtume s.a.w naye akaridhia.Mtume s.a.w hafanyi kwa matamanio yake bali kwa uongozi kutoka kwa Mwenyezi Mungu.Waislamu kufuata alichoridhia Mtume ni wajibu na kutokufanya hivyo ni uasi.
 
Dakika mbili wapi. Umesahau baada adhana kuna ile mikwara ya nusu saa. Cjui shuka lako litakuwa sanda yako cjui nini bure kabisa.
Wanaofanya hiyo mikwara hata sisi hatuwakubali.Hao pia tunawapiga vita sisi wenyewe.Lakini kwenye adhana ikibidi tutapigana na nyinyi.
 
Mtunzi wa adhana ni Umar , Allah ka copy kutoka kwake, sio adhana tu Umar ana verse kazitunga kwenye Koran
 
Ndio uislamu ni dini ya hekma, lakini hukmu zake huwa haziendeshwi kwa rai namna hiyo.

Ulichosema ambacho wanafanya baadhi ya waadhini/mashekhe sio sahihi, maana wanazidisha, pia walivyofanya Rwanda nacho sio sahihi maana wamekataza kabisa.

Kinachatakiwa ni kati na kati

Kama kuna palipo zaidi, basi papunguzwe, lakini sio kukataza kabisa, kufanya hivyo lengo litakuwa halifikiwi.
 
Hivi wakati was mtume maspika yalikuwepo? Kama hayakuwepo waislam walitumia Nini tuanzie hapo kuhoji uhalali wa adhana ya maspika

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wakati wa mtume hata mabusati hayakuwepo, kwa hiyo unataka kusemaje? tuswali kwenye michanga.

Hata cement haikuwepo wakati huo, vipi tujenge misikiti ya makuti?

Uislamu haupo hivyo.
 
Kasome vizuri adhana haijabuniwa.

Kwa maelezo ya hadhithi inaonyesha kabisa kuwa, kulikuwa na haja ya kupatikana namna ya kuwaita watu katika swala, ndio maana zilitolewa rai tofauti.

Sasa unaposema mtu fulani alibuni, sijui unakusaidia nini? adhana yenyewe au uwepo wa adhana?

Na kama ni adhana yenyewe (maneno yake) basi kasome vizuri maana haikubuniwa, ili kuja kwa maneno yake kama ilivyo kasome ilikujaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…