Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

🇹🇿 Nyumba za ibada na za starehe zitungiwe sheria ziwe soundproof ili sauti hizo ziwapendeze wanazozipenda tuu

🇹🇿 Kengele , maspika nje ya nyumba za ibada ambazo ni njia za kizamani za kuwakumbusha watu kwenda ibadani ziondolewe na badala yake watu watumie saa na alarm za simu

🇹🇿Ibada za kelele mitaani zifutwe kwani hizi ndio chanzo cha kurushiana maneno

🇹🇿 Majumuiko ya mikesha ya kijamii kama harusi za kiswazi na misiba iwekewe utaratibu ili isiwe kero kwa watu wengine wasiohusika , usiku sauti inakwenda mbali sana hivyo wakati ninyi mnasherekea au kuomboleza na mamiziki yenu kuna wagojwa ambao wanahitaji utulivu ili wapumzike na kuongeza siku za kuishi

🇹🇿 Magari ua pikipiki za masharobaro zilizotobolewa exhaust na kupiga kelele makusudi mjini au pikipiki kuwekewa ma horn ya meli ni kero kubwa na mishtuko kwa watu ,itungwe sheria msli hizo ziteketezwe na wao waende jela

🇹🇿🇹🇿🇹🇿UNAPOFURAHIA HAKI/UHURU WAKO USIINGILIINGILIE UHURU /HAKI YA MWINGINE🇹🇿🇹🇿🇹🇿
 
Niliposoma tu kwamba eti maadili yanaanzia kwa wazazi hata hamu ya kuendelea kusoma ikaniisha,, Hayo maadili wazazi wameyapata wapi??

Usizini, usiibe, usiseme uongo, usiue nk,, hizo ni hukumu/nasaha kutoka kwa binadamu??!!--- hayo sio maandiko ya Mungu binadamu ndiye amepewa na kuyafanya kuwa maadili ?!!

Maadili msingi wake ni Mungu na kawapa mitume wake na ndio hayo tunayapata kupitia dini.

Piga ua maadili msingi wake ni dini,
Hakuna nchii itakayopinga mafundisho ya dini na taratibu zake kwa njia yoyote ikastawi, tusubiri ya Rwanda tutakuja hapa kuelezana tuombe uhai tu.
Acha Ujinga na utumwa wa fikra Kwa dini zilizokuja Kwa meli!Kabla ya waarabu na WA missionary kuja Africa,mababu zetu walikuwa hawana maadili?Walikuwa hawawafunzi watoto wao mpaka pale tulipoletewa hizo dini?
Huko ambako adhana zinapigwa Kwa sana ndiko huko kwenye machafuko sana na civil unrest!
Ujinga wa mtu mweusi ni kufikiri kaletewa maadili na mwarabu au mzungu,Shwain!
 
🇹🇿 Nyumba za ibada na za starehe zitungiwe sheria ziwe soundproof ili sauti hizo ziwapendeze wanazozipenda tuu

🇹🇿 Kengele , maspika nje ya nyumba za ibada ambazo ni njia za kizamani za kuwakumbusha watu kwenda ibadani ziondolewe na badala yake watu watumie saa na alarm za simu

🇹🇿Ibada za kelele mitaani zifutwe kwani hizi ndio chanzo cha kurushiana maneno

🇹🇿 Majumuiko ya mikesha ya kijamii kama harusi za kiswazi na misiba iwekewe utaratibu ili isiwe kero kwa watu wengine wasiohusika , usiku sauti inakwenda mbali sana hivyo wakati ninyi mnasherekea au kuomboleza na mamiziki yenu kuna wagojwa ambao wanahitaji utulivu ili wapumzike na kuongeza siku za kuishi

🇹🇿 Magari ua pikipiki za masharobaro zilizotobolewa exhaust na kupiga kelele makusudi mjini au pikipiki kuwekewa ma horn ya meli ni kero kubwa na mishtuko kwa watu ,itungwe sheria msli hizo ziteketezwe na wao waende jela

🇹🇿🇹🇿🇹🇿UNAPOFURAHIA HAKI/UHURU WAKO USIINGILIINGILIE UHURU /HAKI YA MWINGINE🇹🇿🇹🇿
Nadhani thread ifungwe Kwa comment hii!
 
Mtaongea mpaka lakini adhana itaendelea kuwepo tena kwa sauti ile ile na dakika hazizidi 3, hata kama ni 4.
 
Mimi nakaa jirani na wakristo na waislamu maaswi wasiosali na wote hao wanatumia adhana na wakati wa watu kwenda msikitini na wao kuelekea kwenye shughuli zao.Kiuhakika muda wa adhana ni muda wa kuingia kazini na si muda wa kulala.Ni muda salama kutoka kweenda uendako kwani watu wema huwa waingia mitaani na vibaka wanaamua kujificha. Nchi ambayo watu muda wa swala ya alfajiri wanalala basi itakuwa nchi maskini sana. Hivyo sababu za kukatazwa adhana popote duniani hazina mashiko na itakuwa ni hoja za maadui wa Mwenyezi Mungu.
Huko Rwanda kwenyewe watu hawalali muda wa swala ya alfajiri.Kagame asituongopee.Wasingetajwa kuwa wamepiga hatua katika uchumi wa nchi yao.Ana kitu kibaya ndani ya moyo wake baasi.
 
Acha Ujinga na utumwa wa fikra Kwa dini zilizokuja Kwa meli!Kabla ya waarabu na WA missionary kuja Africa,mababu zetu walikuwa hawana maadili?Walikuwa hawawafunzi watoto wao mpaka pale tulipoletewa hizo dini?
Huko ambako adhana zinapigwa Kwa sana ndiko huko kwenye machafuko sana na civil unrest!
Ujinga wa mtu mweusi ni kufikiri kaletewa maadili na mwarabu au mzungu,Swain!


Mkuu, hivi tumefikia hatua ya kuitana Shwain??!.--mimi sitakutukana kwani upeo wako wa dini na maadili ni finyu sana na unahitaji tiba ya kiroho kwani umgonjwa, isitoshe sitaki kuharibu funga yangu.

Ukisoma Qur'an inasema:-- (tafsiri) "Na katika kila umma tulituma muonyaji"---- hii maana yake ni kwamba duniani kote waonyaji/mitume walifika hata huku kwetu walifika na ndio maana hata wazee wetu walikuwa na maadili, maadili ni sawa na standard measures kwenye sayansi, wanasayansi walikaa na wakaweka hizo standards kulingaana na tafiti na mazingira mbalimbali ya wakati, sasa hebu niambie ni wapi wazee wetu na wazee wa sehemu zingine za dunia walikaa pamoja na kufikia muafaka kwamba zinaa, ulevi, uongo nk,ni dhambi??!---- bila shaka ni mafundisho kutoka kwa Mungu kupitia kwa hao manabii wake waliopata kupita sehemu mbalimbali za dunia ndio tumepata kujua kupitia mapokeo na vitabu vya dini za hivi karibuni kwamba matendo hayo ni dhambi, kwa kifupi standard zote za maadili zimetoka kwa Mungu ama sivyo duniani tungeishi kama wanyama kwani kila jamii ingeishi na standards zake, mf, jamii moja ingesema zinaa ni halali na jambo la tunu na jamii nyingine ingesema zinaa ni mbaya nk, unaona hapo vipi dunia ingekuwa??!!.

Nilichogundua kwako ni chuki iliyokithiri dhidi ya Uisilamu ndiyo inayokuongoza kusema uyasemayo lakini kama si wewe utakayekuwa muisilamu basi mwanao au mjukuu wako atakuwa Muisilamu kwakuwa; Islam is the fastest growing religion.
 
Huna hoja za kupelekea mjadala kufungwa.Wacha uendelee mpaka watu wakinai hoja..Adhana ina maana nyingi na faida nyingi kuliko unavyoelewa wewe.
Inamaana Kwa muumini wa dini husika,Kwa wengine ni kelele!
 
Mkuu, hivi tumefikia hatua ya kuitana Shwain??!.--mimi sitakutukana kwani upeo wako wa dini na maadili ni finyu sana na unahitaji tiba ya kiroho kwani umgonjwa, isitoshe sitaki kuharibu funga yangu.

Ukisoma Qur'an inasema:-- (tafsiri) "Na katika kila umma tulituma muonyaji"---- hii maana yake ni kwamba duniani kote waonyaji/mitume walifika hata huku kwetu walifika na ndio maana hata wazee wetu walikuwa na maadili, maadili ni sawa na standard measures kwenye sayansi, wanasayansi walikaa na wakaweka hizo standards kulingaana na tafiti na mazingira mbalimbali ya wakati, sasa hebu niambie ni wapi wazee wetu na wazee wa sehemu zingine za dunia walikaa pamoja na kufikia muafaka kwamba zinaa, ulevi, uongo nk,ni dhambi??!---- bila shaka ni mafundisho kutoka kwa Mungu kupitia kwa hao manabii wake waliopata kupita sehemu mbalimbali za dunia ndio tumepata kujua kupitia mapokeo na vitabu vya dini za hivi karibuni kwamba matendo hayo ni dhambi, kwa kifupi standard zote za maadili zimetoka kwa Mungu ama sivyo duniani tungeishi kama wanyama kwani kila jamii ingeishi na standards zake, mf, jamii moja ingesema zinaa ni halali na jambo la tunu na jamii nyingine ingesema zinaa ni mbaya nk, unaona hapo vipi dunia ingekuwa??!!.

Nilichogundua kwako ni chuki iliyokithiri dhidi ya Uisilamu ndiyo inayokuongoza kusema uyasemayo lakini kama si wewe utakayekuwa muisilamu basi mwanao au mjukuu wako atakuwa Muisilamu kwakuwa; Islam is the fastest growing religion.
Kwanini usiseme Mungu kampa binadamu akili ndio maana haishi kama mnyama na badala yake unajaribu kusema ni manabii wamekuja kumfundisha binadamu ustaarabu!
Naturally binadamu kazaliwa na Huo uwezo!
Mimi ni mtu mwenye fikra huru,Wala sibebeshwi mzigo ambao siko tayari kuubeba!Hata kwangu nikikuta mtu kaweka redio sauti ya juu,namkaripia kwasababu najua inaweza kuwa kero Kwa majirani!
Sasa ninyi kama jamii ya watu mliostaarabika,mmeshawahi kujiuliza hizo adhana zenu zinawasumbua watu wasio wa Imani yenu Kwa kiasi gani?Hilo mnaona ni sawa?Au kwakuwa watu wanavumilia basi mnaona wanafurahia hayo makelele ya asubuhi?Kwa wakristo amri kuu ni Upendo,Upendo umebeba amri Karibu zote zilizobaki!Sasa kama unampenda jirani Yako,utamletea usumbufu kisa wewe unafanya ibada Yako ambayo yeye haimuhusu?
Wengine mmenda mbali mpaka mnawazuia watu kula hadharani wakati huu wa mfungo!Yaani dini Yako,ufunge wewe halafu Mimi unizuie kula!
Kuna mambo hayapo sawa hapo!
Nikuombe radhi Kwa neno Shwain,lakini wewe pia umenikosea kuniita mgonjwa!Yawezekana wewe ukawa mgonjwa zaidi yangu!
 
Hivi wakati was mtume maspika yalikuwepo? Kama hayakuwepo waislam walitumia Nini tuanzie hapo kuhoji uhalali wa adhana ya maspika

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app

Unalikosea heshima hilo jina, ni jina zuri, so haliendani na wewe.

jiite tu josef, damian, mapunda au shadrak hapo sawa

Adhana itaendelea kuwepo mpaka kiama kitakaposimama,,,huko rwanda waislamu wachache ndio maana yule kafiri kapata nguvu kuzuia, sasa ninyi kama ni vidume zuieni tuone, najua hamuwezi, hizi kelele za mitandaoni tu, na mlivyo na idadi ndogo mtarudi huko kwenu Vatican
 
Kwanini usiseme Mungu kampa binadamu akili ndio maana haishi kama mnyama na badala yake unajaribu kusema ni manabii wamekuja kumfundisha binadamu ustaarabu!
Naturally binadamu kazaliwa na Huo uwezo!
Mimi ni mtu mwenye fikra huru,Wala sibebeshwi mzigo ambao siko tayari kuubeba!Hata kwangu nikikuta mtu kaweka redio sauti ya juu,namkaripia kwasababu najua inaweza kuwa kero Kwa majirani!
Sasa ninyi kama jamii ya watu mliostaarabika,mmeshawahi kujiuliza hizo adhana zenu zinawasumbua watu wasio wa Imani yenu Kwa kiasi gani?Hilo mnaona ni sawa?Au kwakuwa watu wanavumilia basi mnaona wanafurahia hayo makelele ya asubuhi?Kwa wakristo amri kuu ni Upendo,Upendo umebeba amri Karibu zote zilizobaki!Sasa kama unampenda jirani Yako,utamletea usumbufu kisa wewe unafanya ibada Yako ambayo yeye haimuhusu?
Wengine mmenda mbali mpaka mnawazuia watu kula hadharani wakati huu wa mfungo!Yaani dini Yako,ufunge wewe halafu Mimi unizuie kula!
Kuna mambo hayapo sawa hapo!
Nikuombe radhi Kwa neno Shwain,lakini wewe pia umenikosea kuniita mgonjwa!Yawezekana wewe ukawa mgonjwa zaidi yangu!


Ugonjwa wako ni pale uliponiita "shwain", mimi sina ugonjwa kwasababu tangu tuanze mjadala huu naamini sijakutusi au kukuudhi kama nimefanya hivyo nisamehe.

Neno langu la mwisho; let's agree in our disagreement.--- na huo ndio ubinadamu kwani ubinadamu ni zaidi ya utu.
 
Unalikosea heshima hilo jina, ni jina zuri, so haliendani na wewe.

jiite tu josef, damian, mapunda au shadrak hapo sawa

Adhana itaendelea kuwepo mpaka kiama kitakaposimama,,,huko rwanda waislamu wachache ndio maana yule kafiri kapata nguvu kuzuia, sasa ninyi kama ni vidume zuieni tuone, najua hamuwezi, hizi kelele za mitandaoni tu, na mlivyo na idadi ndogo mtarudi huko kwenu Vatican
Adhana ilibuniwa na mtu anaitwa Umar wala sio Muhammad, waislamu walikuwa hawana jinsi ya kuitana kwenda kwenye salat , wakajadili waige wakristo kutumia kengele au waige wayahudi kutumia tarumbeta , Umar ndie akaja na idea ya adhana Muhammad akadakia hapo hapo kumuamrisha mtumwa anaitwa Bilal Aite watu , kumbuka ilikuwa anaanza asubuhi kombora ndio maana wakamuweka mtumwa

Hadith
"When the Muslims arrived in AI-Madinah, they used to assemble for the Salat, and guess the time for it there was no one who called for it (the prayer). One day they discussed that and some of them said that they should use a bell like the bell the Christians use. Others said they should use a trumpet like the horn the Jews use. But Umar [bin Al-Khattab] said: 'Wouldn't it better if we had a man call for the prayer?'" He said: "So Muhammad said: 'O Bilal! Stand up and call for the Salat.'" Jami` at-Tirmidhi 190
 
Hizo ndiyo serikali zinazosikiliza wananchi wake bila unafiki.

Huku kwetu wengi wanaishi na manung'uniko ya hayo makelele.

Mtu serious na ibada hahitaji kukumbushwa muda na spika ni kuendekeza negligence!

Huyo muadhini yeye huamshwa na nani kila siku?
 
Hizo ndiyo serikali zinazosikiliza wananchi wake bila unafiki.

Huku kwetu wengi wanaishi na manung'uniko ya hayo makelele.

Mtu serious na ibada hahitaji kukumbushwa muda na spika ni kuendekeza negligence!

Huyo muadhini yeye huamshwa na nani kila siku?
Adhana kwa waislamu ni kama shamba la kuongeza thawabu katika matendo yake ya duniani.Kitu kidogo unachokiacha duniani ukiondoka utakijutia. Kwa mujibu wa hadithi kila kipande katika adhana inapaswa anayesikiliza akiitikie na mwisho kuna dua.Dua inayoombwa baada ya adhana ni miongoni mwa dua ambazo zinatarajiwa hupokelewa moja kwa moja.Hapo alarm haiwezi kufaa kitu.Jengine ni kuwa adhana inatakiwa iwe ni ushahidi kwa kila kiumbe aliyeisikia kuwa alipata kusikia ukumbusho huo kama alifatilia hakuna neno na kama alipuuza madhara atakayopata atajua ni kwa uzembe na kiburi chake wakati wa uhai wake.Miti inasikia adhana na wadudu na ndege wanasikia na kuithamini kwamba kweli Mwenyezi Mungu wetu sote ni MKUBWA.Viumbe hao vinaweza kuwa mashahidi dhidi yetu binadamu itakapobidi iwapo mtu atabishia.Iwapo unasafiri msituni na uko peke yako basi pia utasoma adhana japo kwa sauti ya chini halafu ndipo utaswali.Kwanini iwe hivyo kwa sababu kila kiumbe hapo kisikie ukumbusho na utukufu wa Mwenyezi Mungu na iwe sababu ya kumtukuza na kumshukuru kwa neema zake. Kwa hali hiyo utaona ulazima wa adhana ni mkubwa zaidi mijini kwenye makazi ya watu ili wote wasikie.
 
Hizi adhana zilikua mbadala wa saa kwangu ikipigwa ya asubuhi najua kumekucha ya saa kumi alasiri inanikumbusha muda wa tuisheni. Iliyokua inaniogopesha ni matangazo ya vifo asubuhi sana daah
Je mambo yako yote unayoyafanya kwa kufuata muda huwa unaongozwa na adhana?

Acheni kujiendekeza kwa kukumbatia imani ma mila kuja,huu siyo muda wake tena mabadiliko ni lazima ni swala la muda tu
 
Je mambo yako yote unayoyafanya kwa kufuata muda huwa unaongozwa na adhana?

Acheni kujiendekeza kwa kukumbatia imani ma mila kuja,huu siyo muda wake tena mabadiliko ni lazima ni swala la muda tu
Huoni kuwa kwa vigezo vya adhana unakuwa umepunguziwa shida ya kuchungulia saa kila wakati.
 
Huoni kuwa kwa vigezo vya adhana unakuwa umepunguziwa shida ya kuchungulia saa kila wakati.


Tokea ramadhani ianze ni mwendo wa kutushambulia hawa jamaa 😁

Qur'an👇🏽

وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.
 
Adhana kwa waislamu ni kama shamba la kuongeza thawabu katika matendo yake ya duniani.Kitu kidogo unachokiacha duniani ukiondoka utakijutia. Kwa mujibu wa hadithi kila kipande katika adhana inapaswa anayesikiliza akiitikie na mwisho kuna dua.Dua inayoombwa baada ya adhana ni miongoni mwa dua ambazo zinatarajiwa hupokelewa moja kwa moja.Hapo alarm haiwezi kufaa kitu.Jengine ni kuwa adhana inatakiwa iwe ni ushahidi kwa kila kiumbe aliyeisikia kuwa alipata kusikia ukumbusho huo kama alifatilia hakuna neno na kama alipuuza madhara atakayopata atajua ni kwa uzembe na kiburi chake wakati wa uhai wake.Miti inasikia adhana na wadudu na ndege wanasikia na kuithamini kwamba kweli Mwenyezi Mungu wetu sote ni MKUBWA.Viumbe hao vinaweza kuwa mashahidi dhidi yetu binadamu itakapobidi iwapo mtu atabishia.Iwapo unasafiri msituni na uko peke yako basi pia utasoma adhana japo kwa sauti ya chini halafu ndipo utaswali.Kwanini iwe hivyo kwa sababu kila kiumbe hapo kisikie ukumbusho na utukufu wa Mwenyezi Mungu na iwe sababu ya kumtukuza na kumshukuru kwa neema zake. Kwa hali hiyo utaona ulazima wa adhana ni mkubwa zaidi mijini kwenye makazi ya watu ili wote wasikie.
Adhana iliyotungwa na Umar , inahusika vipi na Allah kutoa thawabu ?
 
Back
Top Bottom