Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

Kwan n Nan huyo usimtaje tu
 
Naomba nikukumbushe mada: RWANDA wamepiga marufuku "adhana" al-fajiri
Soma kwa nini tunefikia hapo , Cha muhimu umethibitisha tayari Umar nae alikuwa mtume na alikuwa anapokea Koran pia
 
Yaani nilikuwa nahangaika kumuamsha mtu anayejifanya amelala[emoji23][emoji23][emoji23] asikwambie mtu ni kipengele.

Halafu anajifanya anakoroma kabisa[emoji1787]
Wewe baba Yako ni Shetani kama alivyo sema Yesu , kwenu hakuna kweli kabisa
Full uongo, na nakuakikishia Uislamu bila uongo unakufa
 
Jaribuni kuiga muone cha moto!
 
Jaribuni kuiga muone cha moto!
Msimtishe yeyote.
Msfikiri tutawadekeza siku zote.

Tambua kuwa Duniani kote Mkristo ana nguvu kuliko Mwislamu.

Sema Wakristo huwa hatulipuki kijingajinga.
Chokozeni moto uwawakie.

Bwana Yesu alisha wafahamu siku nyingi sana akatukabidhi Upanga wenye makali kuwili.

Luka 22:36
"Akawaambia, Lakini sasa mwenye mfuko na auchukue, na mkoba vivyo hivyo; naye asiye na upanga, na auze joho yake akanunue"

Bila Wakristo kuwazidi nguvu Waislamu Mngesha tusilimisha kwa nguvu siku nyingi sana.
Au kutuchinja kwa jina la Allah.

Hilo tunalijua sana na tushachukua tahadhari muda mrefu.

Neno la Hekima.
 
Nikiwa kama Muislam safi siwezi kuacha kumcha Mungu kwa swala dogo kama hili, naweka alarm muda husika maisha yanaendelea maana Rwanda si nchi ya Kiislam wana uamuzi wa kufanya hivyo. Hata siku Tanzania wakiamua hivyo hakuna matata 😍
 
Nikiwa kama Muislam safi siwezi kuacha kumcha Mungu kwa swala dogo kama hili, naweka alarm muda husika maisha yanaendelea maana Rwanda si nchi ya Kiislam wana uamuzi wa kufanya hivyo. Hata siku Tanzania wakiamua hivyo hakuna matata [emoji7]
Wewe ndio muislamu muungwana haswa unafata imani yako pasipo kumbugudhi mwingine ni njia nzuri sana ya kuishi kwa utengamano.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Yaani nilikuwa nahangaika kumuamsha mtu anayejifanya amelala[emoji23][emoji23][emoji23] asikwambie mtu ni kipengele.

Halafu anajifanya anakoroma kabisa[emoji1787]
[emoji23]

Repel in a way that is best
 
It's gettin' worse in here
 
Can schedule the fight between you two, how 'bout that? #Che Mittoga vs Maulaga59
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…