Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,510
- 6,877
Qu raan imeanza mwaka 600+AD, umeambiwa hayo mambo ya ADHANA yameanza mwaka 1930 tena huko Asia; so kama ni sheria ya Kiislamu ni kwamba unataka kutwambia sheria za kiislamu zinakuaga edited? Is that what you mean? Cause uislamu umeanza kabla ya tecknolojia ya micrphone na loud speakers havijagunduliwa!Vyote maana vinapingana na sheria za kiislamu.
Qur'an ni muujiza tangu kushuka kwake mpaka mwisho wa dunia.Kama ni mashairi ,washairi wote wa enzi hizo waliinua mikono.Na kama ni mayahudi Qur'an ina mambo ambayo wayahudi hawakupata kuyasikia kabla na yapo mengi wameyeajua baadae ambayo yamo kwenye Qur'an na kuna mengi ambayo hata sisi wenyewe tunayasoma na hatujajuwa maana zake.Tunayaheshimu na yatabaki hivyo.Kwa sababu yapo mengi yalikuwa hivyo tumeyajua sasa.Qur'an inazungumzia makuzi ya mimba sawa na wanavyojuwa madaktari bingwa leo na Muhammad s.a.w hakuwahi kuwa na kifaa cha Ultra soundUkija swala la Mungu kwa wakristo elewa kwanza wakristo Mungu wao yupoje , unavyo andika nakuona mjinga flani
Allah - physical being
Jehovah - spirit
Unapoleta nature ya mungu wako Allah physical being ni sawa unapouliza maswali ya kitoto
Ametairiwa?
Yupo tumboni?
Aliwekwa msalaba?
Hayo maswali kwa nature ya Allah hayajibiki na ni utata mkubwa , ndio maana ta mwenyewe Allah physical being mwenye mguu mmoja, macho,mikono miwili upande mmoja na penis anajiulizaga na hana majibu
Wewe bora ukak..halafu ukalale,Umejiunga na mjadala bila kusoma hoja za wenzio.Kwa kauli yako hii hata huyu mhuni Mokiti anakuona umechelewa.Yeye anajuwa kuwa wakati wa Muhammada s.a.w adhana ilikuwepo na Bilal alikuwa ndiye muadhini wa mwanzo katika Uislamu.Qu raan imeanza mwaka 600+AD, umeambiwa hayo mambo ya ADHANA yameanza mwaka 1930 tena huko Asia; so kama ni sheria ya Kiislamu ni kwamba unataka kutwambia sheria za kiislamu zinakuaga edited? Is that what you mean? Cause uislamu umeanza kabla ya tecknolojia ya micrphone na loud speakers havijagunduliwa!
Watu kama nyie ndio mnawapaga points kina Kilanga kusema kwamba HAKUNA Mungu
Koran ni kakitabu kadogo mno kana sura kama 100 tu , na kuja mda nasoma huwa nakacheka Sana maana ni vituko,Qur'an ni muujiza tangu kushuka kwake mpaka mwisho wa dunia.Kama ni mashairi ,washairi wote wa enzi hizo waliinua mikono.Na kama ni mayahudi Qur'an ina mambo ambayo wayahudi hawakupata kuyasikia kabla na yapo mengi wameyeajua baadae ambayo yamo kwenye Qur'an na kuna mengi ambayo hata sisi wenyewe tunayasoma na hatujajuwa maana zake.Tunayaheshimu na yatabaki hivyo.Kwa sababu yapo mengi yalikuwa hivyo tumeyajua sasa.
Qur'an inazungumzia historia ya mbali tangu dunia ilivyoanza na inazungumzia mambo ya anga ambapo Muhammad s.a.w hakuwahi kuwa na darubini.
Huu udogo wake halafu ikawa imesheheni matamko ya ajabu ndio muujiza wake.Koran ni kakitabu kadogo mno kana sura kama 100 tu , na kuja mda nasoma huwa nakacheka Sana maana ni vituko,
Siafu kaongea , mara ndege HUD HUD anaongea , majini yanaongea
Kweli inaisoma Qur'an wewe. Nikuulize maswali halafu ujibu haraka kabla hujafungua google.Uko tayari.Naona uko online pamoja na mimi.Kwa sababu kwa maneno yako huwa unaisoma mara kwa mara halafu unafahamu sana mpaka unachekaKoran ni kakitabu kadogo mno kana sura kama 100 tu , na kuja mda nasoma huwa nakacheka Sana maana ni vituko,
Siafu kaongea , mara ndege HUD HUD anaongea , majini yanaongea
Allah kasema hakuna muujiza kwa Muhammad maana amezuia miujiza , wewe nani unamrekebisha ?Huu udogo wake halafu ikawa imesheheni matamko ya ajabu ndio muujiza wake.
Nilitaka tuchat kuhusu Qur'an hapa hapa.Nimekusubiri muda hujatokea.Itakuwa umekimbia na mimi naondoka.Huu udogo wake halafu ikawa imesheheni matamko ya ajabu ndio muujiza wake.
Wapi imeandikwa hiyo kwenye Qur'an.Allah kasema hakuna muujiza kwa Muhammad maana amezuia miujiza , wewe nani unamrekebisha ?
Yani Koran ikija kwa bible inakuwa ni ile index , Yani pale panaposema yaliyomo
Ndio maana nipo hapa kukufundishaWapi imeandikwa hiyo kwenye Qur'an.
Muhammad alikuwa hajui kusoma wala kuandika..Allah alijiuliza inakuwaje awe na mtoto
Badae akasema kama akitaka mtoto ana piga machine houris au Malaika , Yani hapo ndio ujue Alie andika Koran ni Muhammad na hakuna Cha mungu wala nini? Na kidogo alisaidiwa na majini
Muhammad Koran ukisoma ni yeye aliandika kwa ku copy , biblia vitabu vya fairy tale stories za wayahudi kama zile za siafu kuonge, mashahiri ya washahiri wa enzi zake kama ile ya kupasuka kwa mwezi ( hii stori ni ya mshahiri alimuandikia mpenzi wake ) Muhammad ka copy kama ilivyo kaweka Kwenye Koran
Mwisho wa siku wayahudi wakaona anazingua wakamlisha sumu akafa
Jibu maswali kwanza..Ukija swala la Mungu kwa wakristo elewa kwanza wakristo Mungu wao yupoje , unavyo andika nakuona mjinga flani
Allah - physical being
Jehovah - spirit
Unapoleta nature ya mungu wako Allah physical being ni sawa unapouliza maswali ya kitoto
Ametairiwa?
Yupo tumboni?
Aliwekwa msalaba?
Hayo maswali kwa nature ya Allah hayajibiki na ni utata mkubwa , ndio maana ta mwenyewe Allah physical being mwenye mguu mmoja, macho,mikono miwili upande mmoja na penis anajiulizaga na hana majibu
Anae wafundisha dini yenu anawadanganya Sana , nani ka kwambia muhammad alikuwa hajui kusoma na kuandika?Muhammad alikuwa hajui kusoma wala kuandika..
Ilivyo kusanywa Quran ndio hivyo ilivyokisanywa Injili
Yaani Muhammad alikuwa anahubiri walioandika wanaandika walio hifandhi wanahifandhi,hivyo hivyo ndivyo alivyofanya Isa aka Yesu
Nitakujibu , mapaka kwanza useme umeelewa tofauti ya nature ya Allah na Jehovah,Jibu maswali kwanza..
Je mungu Yesu hakukatwa govi akiwa na siku nane baada ya kuzaliwa?
Je Mungu Yesu hakukaa tumboni kwa Maryam kwa muda wa miezi Tisa
Je Mungu YESU hakuuliwa na Binaadamu,alishindwa kutumia nguvu za Uungu wake kujiokoa
Je Mungu YESU hakumuomba Allah amuokoe wakati yuko msalabani
jibu hayo maswali ...Ramadhan Karim
Kama hutojali unaweza kurejea kusoma komenti yangu no:805.Qu raan imeanza mwaka 600+AD, umeambiwa hayo mambo ya ADHANA yameanza mwaka 1930 tena huko Asia; so kama ni sheria ya Kiislamu ni kwamba unataka kutwambia sheria za kiislamu zinakuaga edited? Is that what you mean? Cause uislamu umeanza kabla ya tecknolojia ya micrphone na loud speakers havijagunduliwa!
Watu kama nyie ndio mnawapaga points kina Kilanga kusema kwamba HAKUNA Mungu
Ivi Muhammad alirusu mziki kama kaswida, aliruhusu kupiga picha?maana ukifanya hivyo tutajikuta tumeunda uislamu mpya ambao sio ule aliyokujanao mtume Muhammad swallallahu allaihi wasallam.
Leo hii kutokana na maendeleo ya teknolojia watu wanaenda hijjah kwa ndege, ambazo hazikuwe kipindi cha Mtume swallallahu allaihi wasallam.Qu raan imeanza mwaka 600+AD, umeambiwa hayo mambo ya ADHANA yameanza mwaka 1930 tena huko Asia; so kama ni sheria ya Kiislamu ni kwamba unataka kutwambia sheria za kiislamu zinakuaga edited? Is that what you mean? Cause uislamu umeanza kabla ya tecknolojia ya micrphone na loud speakers havijagunduliwa!
Watu kama nyie ndio mnawapaga points kina Kilanga kusema kwamba HAKUNA Mungu
Ni kwa nini mnaenda kubusu jiwe?Leo hii kutokana na maendeleo ya teknolojia watu wanaenda hijjah kwa ndege, ambazo hazikuwe kipindi cha Mtume swallallahu allaihi wasallam.
Sasa ikitokea serikali imezuia waislamu kutumia ndege kwenda hijjah, basi tunyamaze na tuseme hakuna shida hizo ndege wala hazikuwepo kipindi cha Mtume, hivyo watu waende kwa njia za chini.
Hivi unajua utakuwa umeongeza mzigo na mshaka kiasi gani kwa waislamu kwenda hija?
Kuna kitu kinaitwa njia(wasila) na lengo(makusudio)
Huwenda bado hujaona ni ugumu na mashaka kiasi gani yatapatikana endapo tutasema watu watumie alarm badala ya adhana kutolewa msikitini lakini........
موكيتي، ما زلت معاي؟ ألست أنت الذي تفسر النصوص؟Ivi Muhammad alirusu mziki kama kaswida, aliruhusu kupiga picha?
Je mnamuiga Muhammad kama vile kuchamba kwa kutumia mawe?
أصلا أنت تستفيد شنو؟ سواء تقبل الحجر أو نبلعه؟Ni kwa nini mnaenda kubusu jiwe?