Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

Kwa hili Rwanda nawapongeza sana, zile kelele za alfajiri zinakera sana.

Hii ni Taharifa ya BBC...

Waislamu wanaoadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani nchini Rwanda hawasikii adhana wakati wa swala ya asubuhi, na huenda wasisikie tena, kutokana na marufuku iliyowekwa na mamlaka nchi humo.

Mwezi uliopita mamlaka ilipiga marufuku matumizi ya vipaza sauti kwenye misikiti asubuhi na mapema, ikisema kuwa ilikiuka sheria za uchafuzi wa kelele ambazo zinakataza kelele zaidi ya decibel 55 wakati wa mchana na decibel 45 usiku katika maeneo ya makazi.

Mamlaka ya Rwanda inasema kuwa wakaazi walilalamika kuhusu mwito wa mapema wa maombi - ambao hufanyika majira ya alfajiri na huchukua kama dakika mbili au tatu.
===

Waislamu wanaoadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani nchini Rwanda hawasikii adhana wakati wa swala ya asubuhi, na huenda wasisikie tena, kutokana na marufuku iliyowekwa na mamlaka nchi humo

Mwezi uliopita mamlaka ilipiga marufuku matumizi ya vipaza sauti kwenye misikiti asubuhi na mapema, ikisema kuwa ilikiuka sheria za uchafuzi wa kelele ambazo zinakataza kelele zaidi ya decibel 55 wakati wa mchana na decibel 45 usiku katika maeneo ya makazi.

"Uamuzi huo ulikiuka haki zetu za kutekeleza imani yetu," anasema Zaina Mukamabano mwenye umri wa miaka 55 ambaye anaishi katika mji mkuu, Kigali.

Anasema ni mara ya kwanza katika maisha yake kuwa hakuna wito wa maombi, au "adhan", asubuhi wakati wa Ramadhani.

Zoezi la kupachika vipaza sauti kwenye minara kwenye misikiti lilianza huko Asia katika miaka ya 1930 na kuenea kote ulimwenguni. Wito tano hutolewa kwa siku, kuwaita waumini kwa sala zao tano za kila siku.

Mamlaka ya Rwanda inasema kuwa wakaazi walilalamika kuhusu mwito wa mapema wa maombi - ambao hufanyika majira ya alfajiri na huchukua kama dakika mbili au tatu.

"Hatuna furaha ... wakati wa Ramadhani ni adhana ambayo inatuambia kuwa ni wakati wa kuanza kufunga, na sio Waislamu wote nchini Rwanda wana saa za kengele," anasema mkazi mwingine, Nuhu Bihibindi.

Bi Mukamabano anasema serikali ingeweza kuiambia misikiti kupunguza tu sauti, "kama wanavyowaambia mabaa kupunguza sauti ya muziki wao".

“Adhana ni utamaduni wetu, ni imani yetu, kuipiga marufuku ni kuwakera Waislamu, kutokuwa nayo wakati wa Ramadhani kunatia uchungu zaidi,” anasema.

Mkazi mwingine wa Kigali, Issa Karim Mugabo, anasema yeye na wengine sasa wanafikiria kupeleka serikali mahakamani.

Lakini Sheikh Souleiman Mbarushimana, mshauri wa mufti wa Rwanda, na mwanazuoni wa Kiislamu, anasema viongozi wa Kiislamu tayari wamelijadili suala hilo na serikali na kukubaliana juu ya uamuzi huo.

"Waislamu wanasema haki yao ya imani ilikiukwa ... lakini mamlaka imetuambia (Adhana)] imepigwa marufuku kwa manufaa ya wote," Bw Mbarushimana anasema.

"Tulisema kwamba lazima tukubaliane na kuendelea, kwa sababu imani yetu pia inatutaka kuheshimu uamuzi wa mamlaka."

Sent from my Redmi Note 9S using JamiiForums mobile app
Mmmh
Haya tuendelee kuangalia nini kitajiri
 
Usipende kubishana ipi dini bora na ipi sio bora dini zote zimekuja na Meli na mitumbwi Waafrika walikua hawana dini tuishi kwa kuamini na kwa upendo tuliorithi kutoka kwa mababu zetu baasi lakini ukimuona mtu yupo busy kuelezea ubora wa dini yake kupitia vifungu jua anapotea..
Kwamba dini zimekuja na meli ni tafsiri potofu. Kwa sababu Mwenyezi Mungu yupo kila mahali na watu wote wanaishi kwa mipango yake.Basi dni zimo ndani ya miili yetu.Kuna watu tu ambao huwa wanakumbusha wenzao.Wengine katika kukumbusha wala hawafungi safari kwa ajili hiyo.Wako baashi walioshindwa wanaofanya hivyo na mara nyingi hawafanikiwi.
 
Nimesoma coments karibu zote ila najiuliza kitu, huo upendo na mafundisho mnayohubiri uku mbona ni tofauti na maisha halisi? Kuna siku nilitembea natafuta chumba cha kupanga wakati huo nasoma NIT pale asee niliteseka sana kila nikifika kwenye nyumba ya watu wa dini fln naulizwa wew dini gani? Hamn huruma wala nini na mvua ilikuwa inaninyeshea balaa adi dalali nilikuwa naongozana nae akawa ananiambia tukifika nyumba fln sema wew ni dini hii [emoji16][emoji16] , sasa ninapoona apa inahubiriwa nasaha njema tu yan sielew

Wengi wetu tuna takataka nyingi sana kwenye mioyo yetu na vichwa vyetu: negativity
 
Bora walivyo katazwa.
Hivi Mungu gani huyo kila saa anaimbwa.

Allah Mkubwa, Allah Mkubwa, Allah Mkubwa.

Ndio nini sasa. Bora kwanye adhana mngekuwa mnaitana.
Waumini tuje kwenye swala, tuje kuswali.

Sasa mnavyo paga Mikelele Allah Mkubwa ndio mnamaanisha watu wafanye nini ?

Huo mkelele wa adhana hauna maana yoyote zaidi ya kulitaja Jina la mungu wenu bure.

Watu wa Torati walisha katazwa na Mungu wao.

Kumbukumbu la Torati 5:7
"Usiwe na miungu mingine ila mimi"

Nyie mnao Uzza, Lutta na Manata.

"Kumbukumbu la Torati 5:8
Usijifanyie sanamu ya kuchonga, mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, au kilicho chini duniani, au kilicho majini chini ya nchi.
Kumbukumbu la Torati 5:9 Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu, nawapatiliza wana uovu wa baba zao; hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao",

Nyie mmechonga Jiwe Jeusi mmeliweka pale Maka ndani ya Alqaba mnalisujudia kila kukicha.

"Kumbukumbu la Torati 5:11 Usilitaje bure Jina la Bwana, Mungu wako; maana Bwana hatamhesabia kuwa hana hatia, mtu alitajaye jina lake bure."

Nyie kila dakika, Allah Mkubwa, Allah Mkubwa Allah Mkubwa.
Kama mmelogwa vile.

"Kumbukumbu la Torati 5:17
Usiue."
Nyie kila siku mnachinja watu eti wamemkejeri Mtume au Allah.
Nani aliwaambia muue kwa sababu hizo. Utasikia katuambia Allah.

Imeandikwa ktk Torati, usiue.


"Kumbukumbu la Torati 5:21 Wala usimtamani mke wa jirani yako; wala usiitamani nyumba ya jirani yako, wala shamba lake, wala mtumwa wake, wala mjakazi wake, wala ng'ombe wake, wala punda wake, wala kitu cho chote alicho nacho jirani yako."

Muhamadi kamtamani mke wa mtoto wake wa kufikia hadi kampora.
Eti ndio Nabii huyo. Nabii wa Allah.

"Kumbukumbu la Torati 5:18
Wala usizini."
Muhamadi kaanzisha ndoa ya Mutta ya siku moja, mbili au tatu kwa malipo.
Yeye anajipa haki ya kuchukua mwanamke yeyote wa mbele yake.

Ndio maana mwanamke mateka akamtilia sumu na kumwua shauri ya uroho wa Ngono.
Ninyi kawaahidi wanawake 72 mkijilipua kwa jina la Allah.

Allah na Muhammadi ni Wapinga Kristo dhahiri kabisa waache kumsingiza Dajar.
Kila alicho kiagiza Mungu wao wanakivunja.
Ahsante kwa maoni yako [emoji4]
 
Hao wamesema wanataka kuamshwa?Yaani wewe mfanyakazi au msafiri hujitambui mpaka utegemee adhana?Haya na siku ambayo husafiri au huendi kazini bado usumbuliwe!
Kuingilia UHURU wa wengine kuabudu ni uonevu
 
Adhana imekuwepo pwani ya Africa mashariki hata kabla ya ukoloni wa kiingereza, Waingereza wakaingia wakaikuta Adhana na wao wakaanzisha makanisa na kengele zake bado adhana ikawepo na wao wakaruhusu uhuru wa imani na maelewano miongoni mwa jamii hata huko kwao tunapowachukulia kwamba wamestaarabika adhana ni ruksa, sasa kazi imefika kwa mtu mweusi mwenye roho na AKILI nyeusi asiyejua vipaumbele nini yeye anaona Adhana ni kero lakini umalaya, ulevi, madanguro, nk ni neema wala hana mpango navyo isipokuwa tu cheap politics eti; watajilipua!!!.
Huko unakotolea mifano,hawapigi kelele kwenye makazi ya watu!Tena Kuna kitu kinaitwa noise pollution na Wana sheria zao!
Ulevi na umalaya unakuathiri wewe mwenyewe mshiriki,ila makele yanaathiri kila mtu!
 
Huko unakotolea mifano,hawapigi kelele kwenye makazi ya watu!Tena Kuna kitu kinaitwa noise pollution na Wana sheria zao!
Ulevi na umalaya unakuathiri wewe mwenyewe mshiriki,ila makele yanaathiri kila mtu!



Taifa lenye ulevi na umalaya na Taifa linaloathiriwa na "kelele" za dk 1 za adhana na kengele za kanisani tupilia mbali kelele za magari continuing lipi bora??!!

Kumbuka adhana na kengele zinaita watu kwenye moral.
 
Taifa lenye ulevi na umalaya na Taifa linaloathiriwa na "kelele" za dk 1 za adhana na kengele za kanisani tupilia mbali kelele za magari continuing lipi bora??!!

Kumbuka adhana na kengele zinaita watu kwenye moral.
Unazungumzia kipi bora Kwa nani?Maana hiyo ni dhana pana ndio maana unaambiwa serikali Haina dini ila wananchi wake wako huru kuwa waumini wa dini yeyote!So serikali inawahudumia wote,wenye dini na wasio na dini!Na hapa ndio inaweka mstari Ili uhuru wa upande mmoja usivuke mipaka na kuingilia uhuru wa upande mwingine!Ndio maana serikali inakusanya Kodi ya Pombe,Sigara na Kodi nyingine zinatoka katika miradi ya taasisi za dini!Hizi zote huwekwa kapu Moja na huja kuwahudumia wananchi wote bila kujali tofauti kiimani!
So habari ya kipi bora,nitakuuliza kipi bora Kwa nani!
 
Huo sio uhuru wa kuabudu,uhuru wako wa kuabudu usiingilie uhuru wa wengine wasio shiriki hiyo ibada Yako!
Yule ni mpita njia atapita ataondoka zake, katazo lake lingekuwa na maana kama anaishi milele. Akazuie kelele za magari na ndege nazo uleta kelele. Ukiona mtu anaanza shindana na dini jua amekaribia kufa.
 
Huyu mwishowe atakuwa shoga kama hao wafadhili wake. Tulimuona wa maana kumbe bure kabisa. Nani alimpa yeye cheti cha kuwa raisi.
Alijipa cheti mwenyewe kwa kuongoza Jeshi kushika nchi.Maspika msikitini Ni marufuku na Cha kumfanya hamna zaidi ya kulia Lia mitandaoni.
 
Analeta ujinga baada ya Ujinga jirani yetu.Hatutaki jirani mjinga kama Ukraine.Mara wakimbizi wa Uiengereza waje kwake.Mara adhana.Kama aliwahi kusifiwa eti ameleta maendeleo basi mwisho wake ni sasa.
Mwisho wake unaletwa kwa sababu ya kuzuia makelele ya msikitini?[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Kwani Kuna sehemu kwenye taarifa wamemtaja Kagame ndiye kaamua?
Jambo lolote kuu likipitishwa na mkuu wa nchi yupo maana lina baraka zake au ni maagizo yake.
Kwani yeye anazama front kuuwa watu au amri ndo utoka kwake ya kuua watu.
 
Jambo lolote kuu likipitishwa na mkuu wa nchi yupo maana lina baraka zake au ni maagizo yake.
Kwani yeye anazama front kuuwa watu au amri ndo utoka kwake ya kuua watu.
Sasa huenda yeye alipata malalamiko kutoka Kwa wananchi wake na serikali ikaamua!Angekuwa na agenda binafsi basi angeshazuia muda mrefu kwani ana miaka mingi madarakani!
Huenda adhana Imekuwa kero kubwa Kwa Sasa kuliko ilivyokuwa huko awali!
 
Kwa hili Rwanda nawapongeza sana, zile kelele za alfajiri zinakera sana.

Hii ni Taharifa ya BBC...

Waislamu wanaoadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani nchini Rwanda hawasikii adhana wakati wa swala ya asubuhi, na huenda wasisikie tena, kutokana na marufuku iliyowekwa na mamlaka nchi humo.

Mwezi uliopita mamlaka ilipiga marufuku matumizi ya vipaza sauti kwenye misikiti asubuhi na mapema, ikisema kuwa ilikiuka sheria za uchafuzi wa kelele ambazo zinakataza kelele zaidi ya decibel 55 wakati wa mchana na decibel 45 usiku katika maeneo ya makazi.

Mamlaka ya Rwanda inasema kuwa wakaazi walilalamika kuhusu mwito wa mapema wa maombi - ambao hufanyika majira ya alfajiri na huchukua kama dakika mbili au tatu.
===

Waislamu wanaoadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani nchini Rwanda hawasikii adhana wakati wa swala ya asubuhi, na huenda wasisikie tena, kutokana na marufuku iliyowekwa na mamlaka nchi humo

Mwezi uliopita mamlaka ilipiga marufuku matumizi ya vipaza sauti kwenye misikiti asubuhi na mapema, ikisema kuwa ilikiuka sheria za uchafuzi wa kelele ambazo zinakataza kelele zaidi ya decibel 55 wakati wa mchana na decibel 45 usiku katika maeneo ya makazi.

"Uamuzi huo ulikiuka haki zetu za kutekeleza imani yetu," anasema Zaina Mukamabano mwenye umri wa miaka 55 ambaye anaishi katika mji mkuu, Kigali.

Anasema ni mara ya kwanza katika maisha yake kuwa hakuna wito wa maombi, au "adhan", asubuhi wakati wa Ramadhani.

Zoezi la kupachika vipaza sauti kwenye minara kwenye misikiti lilianza huko Asia katika miaka ya 1930 na kuenea kote ulimwenguni. Wito tano hutolewa kwa siku, kuwaita waumini kwa sala zao tano za kila siku.

Mamlaka ya Rwanda inasema kuwa wakaazi walilalamika kuhusu mwito wa mapema wa maombi - ambao hufanyika majira ya alfajiri na huchukua kama dakika mbili au tatu.

"Hatuna furaha ... wakati wa Ramadhani ni adhana ambayo inatuambia kuwa ni wakati wa kuanza kufunga, na sio Waislamu wote nchini Rwanda wana saa za kengele," anasema mkazi mwingine, Nuhu Bihibindi.

Bi Mukamabano anasema serikali ingeweza kuiambia misikiti kupunguza tu sauti, "kama wanavyowaambia mabaa kupunguza sauti ya muziki wao".

“Adhana ni utamaduni wetu, ni imani yetu, kuipiga marufuku ni kuwakera Waislamu, kutokuwa nayo wakati wa Ramadhani kunatia uchungu zaidi,” anasema.

Mkazi mwingine wa Kigali, Issa Karim Mugabo, anasema yeye na wengine sasa wanafikiria kupeleka serikali mahakamani.

Lakini Sheikh Souleiman Mbarushimana, mshauri wa mufti wa Rwanda, na mwanazuoni wa Kiislamu, anasema viongozi wa Kiislamu tayari wamelijadili suala hilo na serikali na kukubaliana juu ya uamuzi huo.

"Waislamu wanasema haki yao ya imani ilikiukwa ... lakini mamlaka imetuambia (Adhana)] imepigwa marufuku kwa manufaa ya wote," Bw Mbarushimana anasema.

"Tulisema kwamba lazima tukubaliane na kuendelea, kwa sababu imani yetu pia inatutaka kuheshimu uamuzi wa mamlaka."

Sent from my Redmi Note 9S using JamiiForums mobile app
Kagame anelekea kubaya zaidi
 
Back
Top Bottom