Lack of vision ni tatizo nchi hii, wenzetu wanakazana na mambo muhimu. Si tunapambana na politicsWenzetu wanazidi kuchanja mbuga,
Na sasa wameanza kutumia fursa ya Vyanzo vyetu vya utalii kupiga pesa.
Rwanda Air kwasasa wana Direct flights kutoka baadhi ya Miji mikubwa Duniani to Kigali, then to JNIA and KIA.
Air Tanzania hawana mpango wowote, wacha majirani watusaidie.
Few to mention Rwanda Air wana Direct flight from Paris to Kigali
London to Kigali.
Air Tanzania wanapeleka Airbus na Boeing Songwe.
Yetu haitusaidii ?😂mikopo inawasaidia
Upo sahihi but Tanzania itabaki kuwa na watalii kwani tulivyonavyo ni asilia sio vya kuundwa.Wenzetu wanazidi kuchanja mbuga,
Na sasa wameanza kutumia fursa ya Vyanzo vyetu vya utalii kupiga pesa.
Rwanda Air kwasasa wana Direct flights kutoka baadhi ya Miji mikubwa Duniani to Kigali, then to JNIA and KIA.
Air Tanzania hawana mpango wowote, wacha majirani watusaidie.
Few to mention Rwanda Air wana Direct flight from Paris to Kigali
London to Kigali.
Air Tanzania wanapeleka Airbus na Boeing Songwe.
Wenzetu wanazidi kuchanja mbuga,
Na sasa wameanza kutumia fursa ya Vyanzo vyetu vya utalii kupiga pesa.
Rwanda Air kwasasa wana Direct flights kutoka baadhi ya Miji mikubwa Duniani to Kigali, then to JNIA and KIA.
Air Tanzania hawana mpango wowote, wacha majirani watusaidie.
Few to mention Rwanda Air wana Direct flight from Paris to Kigali
London to Kigali.
Air Tanzania wanapeleka Airbus na Boeing Songwe.
Kwani na Sisi tulishindwa nini kuwa na hata kidole na wajomba zetu flai emireti,,,Acha hoja Upuuzi kaka..Rwanda Air ina mkono wa Qatar Air usiilinganishe na Atcl.
Air Tanzania hata ingeruka kutoka hapa hadi makao makuu ya Bank ya dunia ina msaada gani kwa mkulima wa Tangawizi kijijini anayesubiri muujiza wa barabara?Wenzetu wanazidi kuchanja mbuga,
Na sasa wameanza kutumia fursa ya Vyanzo vyetu vya utalii kupiga pesa.
Rwanda Air kwasasa wana Direct flights kutoka baadhi ya Miji mikubwa Duniani to Kigali, then to JNIA and KIA.
Air Tanzania hawana mpango wowote, wacha majirani watusaidie.
Few to mention Rwanda Air wana Direct flight from Paris to Kigali
London to Kigali.
Air Tanzania wanapeleka Airbus na Boeing Songwe.
Sijui Air Tanzania wanashida gani!Wenzetu wanazidi kuchanja mbuga,
Na sasa wameanza kutumia fursa ya Vyanzo vyetu vya utalii kupiga pesa.
Rwanda Air kwasasa wana Direct flights kutoka baadhi ya Miji mikubwa Duniani to Kigali, then to JNIA and KIA.
Air Tanzania hawana mpango wowote, wacha majirani watusaidie.
Few to mention Rwanda Air wana Direct flight from Paris to Kigali
London to Kigali.
Air Tanzania wanapeleka Airbus na Boeing Songwe.
Tunapendaje kama wahusika hawachangamkiitupende vya kwetu
Msaada wake ni indirect zaidi, unataka direct impact kwa mkulima lazima wizara husika ije na njia hizoAir Tanzania hata ingeruka kutoka hapa hadi makao makuu ya Bank ya dunia ina msaada gani kwa mkulima wa Tangawizi kijijini anayesubiri muujiza wa barabara?