4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 9,214
- 8,306
viongoz wako wanawaza rushwa tuHuwa nashangaa sana yaani wakati mwingine unajiuliza hivi
Nchi yetu haina think tanks ?
Au hata akili kidogo?
Kutua tunaweza sana ila nashangaa madege tunayo ila hata ubia na kampuni zingine hatutaki
First 90 minutes ni bure Heathrow baada ya hapo ni £52 kila dakika 15