Rwanda wanachangamka kwa Kasi, Sisi tupo tu!

Rwanda wanachangamka kwa Kasi, Sisi tupo tu!

Kupata kibali kutua Heathrow Airport ni shughuli haswa
Halafu kuegesha tu malipo yake kwa siku ni balaa
Sasa jamaa kwa jeuri huwa linakaa hata wiki
Ila sijajua sababu
Huwa naiona imepaki Heathrow kila wakati sijui kwa sababu ya Gold za jirani
Sio mchezo, ila nafikiri sisi hatushindwi kwasababu ya parking London au Paris au Amsterdam. Fikra tu haziko sawa na sisi
 
Tunaipenda sana CCM na tabia zake.

Sasa hivi ATCL, DART, TRC ndio machaka yakuajili hovyo hovyo wajomba na ndugu incompetent kwa gharama za Watanzania.

Incompetent kila mahala, CEO wa ATCL na heads of departments, operations na maintenance waajiliwe foreigners hasa weupe kutoka Ulaya kama tunataka performance na return, ila kama tunataka show off na safari za machawa na makada basi tuendelee kufanya kazi wenyewe.
Wazo zuri sana hili
 
Wenzetu wanazidi kuchanja mbuga,

Na sasa wameanza kutumia fursa ya Vyanzo vyetu vya utalii kupiga pesa.

Rwanda Air kwasasa wana Direct flights kutoka baadhi ya Miji mikubwa Duniani to Kigali, then to JNIA and KIA.

Air Tanzania hawana mpango wowote, wacha majirani watusaidie.

Few to mention Rwanda Air wana Direct flight from Paris to Kigali then KIA/JNIA
London to Kigali then KIA/JNIA.

Na wako mbioni kutua na Zanzibar.

Air Tanzania wanapeleka Airbus na Boeing Songwe.
Sisi tupo na Mama anaupiga mwingi.....
 
Upo sahihi but Tanzania itabaki kuwa na watalii kwani tulivyonavyo ni asilia sio vya kuundwa.

Tuna mapungufu lakini hakuna zaidi ya Tanzania kwa swala la utalii Afrika Mashariki na Kati. Watalii watakuja tu

Serengeti Ngorongoro Mt Kilimanjaro etc vyapatikana Tanzania tu sio Rwanda Burundi Kenya Uganda etc.

Bado ni washindi wa utalii wengine wanalazimisha.
Kenya anapata wageni wengi kwa mwaka kuliko tanzania.unalijua hilo.Utalii wa dunia ya leo sio kua na mbuga tu.Utalii ni zaidi ya mbuga.kama huduma ni mbovu yule asiye na mbuga ila ana vivutio vyovyote na huduma nzuri atapata watalii wengi kuliko wewe usiyejishughulisha ukiwa na mind set kua una mbuga watakuja tu.
 
Upo sahihi but Tanzania itabaki kuwa na watalii kwani tulivyonavyo ni asilia sio vya kuundwa.

Tuna mapungufu lakini hakuna zaidi ya Tanzania kwa swala la utalii Afrika Mashariki na Kati. Watalii watakuja tu

Serengeti Ngorongoro Mt Kilimanjaro etc vyapatikana Tanzania tu sio Rwanda Burundi Kenya Uganda etc.

Bado ni washindi wa utalii wengine wanalazimisha.
Master kama vile unachekesha kidogo.
Unafikiri mapato yako ya utalii yanaizidi Kenya?
Hivi huoni faida ya mtalii kutoka Kwake na kuja kwako moja kwa moja?
Achilia mbali mapato yatakayotokana na nauli! Mtu akija Kigali na kulala pale wakati anakuja Tz huko kwenye hiyo Serengeti na Ngorongoro na Kilimanjaro!! huoni kabisa faida yake?

Hivi unafikiri wakenya wanavyozusha kuwa Mlima Kilimanjaro na Olduvai iko kwao wanakosea na hakuna faida yoyote?

Tuamke kwa kweli
 
Kupata kibali kutua Heathrow Airport ni shughuli haswa
Halafu kuegesha tu malipo yake kwa siku ni balaa
Sasa jamaa kwa jeuri huwa linakaa hata wiki
Ila sijajua sababu
Huwa naiona imepaki Heathrow kila wakati sijui kwa sababu ya Gold za jirani
Matangazo kaka. Kuonekana Heathrow hata kwa saa moja kunaongeza points.... Marketing.
 
Sio mchezo, ila nafikiri sisi hatushindwi kwasababu ya parking London au Paris au Amsterdam. Fikra tu haziko sawa na sisi
Huwa nashangaa sana yaani wakati mwingine unajiuliza hivi
Nchi yetu haina think tanks ?
Au hata akili kidogo?
Kutua tunaweza sana ila nashangaa madege tunayo ila hata ubia na kampuni zingine hatutaki
First 90 minutes ni bure Heathrow baada ya hapo ni £52 kila dakika 15
 
Wenzetu wanazidi kuchanja mbuga,

Na sasa wameanza kutumia fursa ya Vyanzo vyetu vya utalii kupiga pesa.

Rwanda Air kwasasa wana Direct flights kutoka baadhi ya Miji mikubwa Duniani to Kigali, then to JNIA and KIA.

Air Tanzania hawana mpango wowote, wacha majirani watusaidie.

Few to mention Rwanda Air wana Direct flight from Paris to Kigali then KIA/JNIA
London to Kigali then KIA/JNIA.

Na wako mbioni kutua na Zanzibar.

Air Tanzania wanapeleka Airbus na Boeing Songwe.
Tanzania ndio nchi pekee Duniani waliofeli mashuleni na vyuoni ndio watumishi wa unma
 
Wenzetu wanazidi kuchanja mbuga,

Na sasa wameanza kutumia fursa ya Vyanzo vyetu vya utalii kupiga pesa.

Rwanda Air kwasasa wana Direct flights kutoka baadhi ya Miji mikubwa Duniani to Kigali, then to JNIA and KIA.

Air Tanzania hawana mpango wowote, wacha majirani watusaidie.

Few to mention Rwanda Air wana Direct flight from Paris to Kigali then KIA/JNIA
London to Kigali then KIA/JNIA.

Na wako mbioni kutua na Zanzibar.

Air Tanzania wanapeleka Airbus na Boeing Songwe.
Wamejua kutumia dhana PPP vyema kuliko maigizo tunayoigiza apa Tanzania
 
Back
Top Bottom