Rwanda wanachangamka kwa Kasi, Sisi tupo tu!

Rwanda wanachangamka kwa Kasi, Sisi tupo tu!

Huwa nashangaa sana yaani wakati mwingine unajiuliza hivi
Nchi yetu haina think tanks ?
Au hata akili kidogo?
Kutua tunaweza sana ila nashangaa madege tunayo ila hata ubia na kampuni zingine hatutaki
First 90 minutes ni bure Heathrow baada ya hapo ni £52 kila dakika 15
Think tank ya nchi wanawaza kuteka na kuua tu
 
Wenzetu wanazidi kuchanja mbuga,

Na sasa wameanza kutumia fursa ya Vyanzo vyetu vya utalii kupiga pesa.

Rwanda Air kwasasa wana Direct flights kutoka baadhi ya Miji mikubwa Duniani to Kigali, then to JNIA and KIA.

Air Tanzania hawana mpango wowote, wacha majirani watusaidie.

Few to mention Rwanda Air wana Direct flight from Paris to Kigali then KIA/JNIA
London to Kigali then KIA/JNIA.

Na wako mbioni kutua na Zanzibar.

Air Tanzania wanapeleka Airbus na Boeing Songwe.
Uko too negative aisee

Unadhani we are doing nothing?

Hizo route ulizotaja zinawalipa? Wao wangetamani sana wawe na Songwe, KIA, Dodoma, mwanza etc…. The guy is punching above his weight

Strategy nzuri ni kujiunga na global network ili uwe part ya big fleet kuliko kutembea mwenyewe

Atc inakwenda china, India, Dubai, Zimbabwe, Zambia… not bad
 
Huwa nashangaa sana yaani wakati mwingine unajiuliza hivi
Nchi yetu haina think tanks ?
Au hata akili kidogo?
Kutua tunaweza sana ila nashangaa madege tunayo ila hata ubia na kampuni zingine hatutaki
First 90 minutes ni bure Heathrow baada ya hapo ni £52 kila dakika 15
Kinacholitatiza taifa letu ni watu wa kufanya maamuzi sahihi tu ndio changamoto. Na ndio maana yule mzee aliyehudumu awamu ilioisha alionekana kama superhero kwa raia na miongoni mwa wanamboga mboga wenzie hadi wakamchukia vibaya mno.

Rasilimali zipo, fedha zipo ila panapotakiwa kufanya maamuzi flani ya maana tunaanza kuangaliana usoni na chamani. Mtu mwenye nafasi anakaa kimya mambo yaende hobela hobela kwa sababu anaona akifanya maamuzi sahihi yatavuruga maslahi ya kundi flani la mafisadi na watamuondoa kwenye payroll. Tumeendekeza siasa na kulindana kwa gharama za walipakodi.
 
Wenzetu wanazidi kuchanja mbuga,

Na sasa wameanza kutumia fursa ya Vyanzo vyetu vya utalii kupiga pesa.

Rwanda Air kwasasa wana Direct flights kutoka baadhi ya Miji mikubwa Duniani to Kigali, then to JNIA and KIA.

Air Tanzania hawana mpango wowote, wacha majirani watusaidie.

Few to mention Rwanda Air wana Direct flight from Paris to Kigali then KIA/JNIA
London to Kigali then KIA/JNIA.

Na wako mbioni kutua na Zanzibar.

Air Tanzania wanapeleka Airbus na Boeing Songwe.
Tanzania tuna chawa wa mama wao hawana hivyo ngoma draw
 
Sijui Air Tanzania wanashida gani!
Ukipanda Rwanda air from London to Dar, Inakulazimu kusubiria Kigali flight exchange for more than 5hrs, Kigali, na bahati mbaya wana ndege inayopita KIA then Dar, ndio unamaliza siku nzima Kigali to DAr.
Air Tanzania wamelogwa sijui na nini!!
Na sasa naona watu wanaikwepa Kenya Airways. Nairobi wasumbufu sana
Hata kwenda India, ATCL ni direct flight.
Lakini Rwandaair itaanzia Znz, Dar, Mombasa, Kigali mnasubiri for 5 hrs ndio safari ianze kupitia Dubai ambako pia kuna masaa 2 ya kupumzika airport.
 
Tunaipenda sana CCM na tabia zake.

Sasa hivi ATCL, DART, TRC ndio machaka yakuajili hovyo hovyo wajomba na ndugu incompetent kwa gharama za Watanzania.

Incompetent kila mahala, CEO wa ATCL na heads of departments, operations na maintenance waajiliwe foreigners hasa weupe kutoka Ulaya kama tunataka performance na return, ila kama tunataka show off na safari za machawa na makada basi tuendelee kufanya kazi wenyewe.
NHIF, ....
 
Mwanza na Mbeya, hivi haya ma airbus na boing yanalipa?
Mkuu yalipe wapi
Ni show off ya kijinga sijawahi kuona maishani mwangu

Yaani hela zinachotwa serikalini zinalipa huku ilimradi yaonekane yako kwenye mzunguko

Bora wangeingia ubia tu na majirani na nchi kubwa na local wakaweka ndogo
Sijaona biashara inaanza na kuzuia ndege nje kisa madeni

Leo tunaona SGR inakwama hata baada ya kuanza tu
 
Kenya anapata wageni wengi kwa mwaka kuliko tanzania.unalijua hilo.Utalii wa dunia ya leo sio kua na mbuga tu.Utalii ni zaidi ya mbuga.kama huduma ni mbovu yule asiye na mbuga ila ana vivutio vyovyote na huduma nzuri atapata watalii wengi kuliko wewe usiyejishughulisha ukiwa na mind set kua una mbuga watakuja tu.
Tz Ina mabango mengi sana barabarani ya MAMA ABDUL, kuliko mabango ya kutangaza vivutio vya utalii 🤣🤣🤣🤣
 
Wenzetu wanazidi kuchanja mbuga,

Na sasa wameanza kutumia fursa ya Vyanzo vyetu vya utalii kupiga pesa.

Rwanda Air kwasasa wana Direct flights kutoka baadhi ya Miji mikubwa Duniani to Kigali, then to JNIA and KIA.

Air Tanzania hawana mpango wowote, wacha majirani watusaidie.

Few to mention Rwanda Air wana Direct flight from Paris to Kigali then KIA/JNIA
London to Kigali then KIA/JNIA.

Na wako mbioni kutua na Zanzibar.

Air Tanzania wanapeleka Airbus na Boeing Songwe.
Kwa kenge wanaotawala bongo, kipaumbele Chao, ni kubaki madarakani tu, mengine yote,hayana maana Sana, wakiona kijana anapinga, anataka kuwatoa usingizini wananchi, wanamzima,
 
Back
Top Bottom