Sio mchezo, ila nafikiri sisi hatushindwi kwasababu ya parking London au Paris au Amsterdam. Fikra tu haziko sawa na sisiKupata kibali kutua Heathrow Airport ni shughuli haswa
Halafu kuegesha tu malipo yake kwa siku ni balaa
Sasa jamaa kwa jeuri huwa linakaa hata wiki
Ila sijajua sababu
Huwa naiona imepaki Heathrow kila wakati sijui kwa sababu ya Gold za jirani
Wazo zuri sana hiliTunaipenda sana CCM na tabia zake.
Sasa hivi ATCL, DART, TRC ndio machaka yakuajili hovyo hovyo wajomba na ndugu incompetent kwa gharama za Watanzania.
Incompetent kila mahala, CEO wa ATCL na heads of departments, operations na maintenance waajiliwe foreigners hasa weupe kutoka Ulaya kama tunataka performance na return, ila kama tunataka show off na safari za machawa na makada basi tuendelee kufanya kazi wenyewe.
Sisi tupo na Mama anaupiga mwingi.....Wenzetu wanazidi kuchanja mbuga,
Na sasa wameanza kutumia fursa ya Vyanzo vyetu vya utalii kupiga pesa.
Rwanda Air kwasasa wana Direct flights kutoka baadhi ya Miji mikubwa Duniani to Kigali, then to JNIA and KIA.
Air Tanzania hawana mpango wowote, wacha majirani watusaidie.
Few to mention Rwanda Air wana Direct flight from Paris to Kigali then KIA/JNIA
London to Kigali then KIA/JNIA.
Na wako mbioni kutua na Zanzibar.
Air Tanzania wanapeleka Airbus na Boeing Songwe.
Seriously?Faida ni nyingi,
Kenya anapata wageni wengi kwa mwaka kuliko tanzania.unalijua hilo.Utalii wa dunia ya leo sio kua na mbuga tu.Utalii ni zaidi ya mbuga.kama huduma ni mbovu yule asiye na mbuga ila ana vivutio vyovyote na huduma nzuri atapata watalii wengi kuliko wewe usiyejishughulisha ukiwa na mind set kua una mbuga watakuja tu.Upo sahihi but Tanzania itabaki kuwa na watalii kwani tulivyonavyo ni asilia sio vya kuundwa.
Tuna mapungufu lakini hakuna zaidi ya Tanzania kwa swala la utalii Afrika Mashariki na Kati. Watalii watakuja tu
Serengeti Ngorongoro Mt Kilimanjaro etc vyapatikana Tanzania tu sio Rwanda Burundi Kenya Uganda etc.
Bado ni washindi wa utalii wengine wanalazimisha.
Halafu kweli aisee.Kagame anavyojenga viwanja vya mpira kwa kasi, ni kama anajua kwamba sisi hatutakidhi vigezo vya AFCON
Master kama vile unachekesha kidogo.Upo sahihi but Tanzania itabaki kuwa na watalii kwani tulivyonavyo ni asilia sio vya kuundwa.
Tuna mapungufu lakini hakuna zaidi ya Tanzania kwa swala la utalii Afrika Mashariki na Kati. Watalii watakuja tu
Serengeti Ngorongoro Mt Kilimanjaro etc vyapatikana Tanzania tu sio Rwanda Burundi Kenya Uganda etc.
Bado ni washindi wa utalii wengine wanalazimisha.
Matangazo kaka. Kuonekana Heathrow hata kwa saa moja kunaongeza points.... Marketing.Kupata kibali kutua Heathrow Airport ni shughuli haswa
Halafu kuegesha tu malipo yake kwa siku ni balaa
Sasa jamaa kwa jeuri huwa linakaa hata wiki
Ila sijajua sababu
Huwa naiona imepaki Heathrow kila wakati sijui kwa sababu ya Gold za jirani
Huwa nashangaa sana yaani wakati mwingine unajiuliza hiviSio mchezo, ila nafikiri sisi hatushindwi kwasababu ya parking London au Paris au Amsterdam. Fikra tu haziko sawa na sisi
Tanzania ndio nchi pekee Duniani waliofeli mashuleni na vyuoni ndio watumishi wa unmaWenzetu wanazidi kuchanja mbuga,
Na sasa wameanza kutumia fursa ya Vyanzo vyetu vya utalii kupiga pesa.
Rwanda Air kwasasa wana Direct flights kutoka baadhi ya Miji mikubwa Duniani to Kigali, then to JNIA and KIA.
Air Tanzania hawana mpango wowote, wacha majirani watusaidie.
Few to mention Rwanda Air wana Direct flight from Paris to Kigali then KIA/JNIA
London to Kigali then KIA/JNIA.
Na wako mbioni kutua na Zanzibar.
Air Tanzania wanapeleka Airbus na Boeing Songwe.
mbona unasema Ukweli we kijana alaa! 🐒mikopo inawasaidia
Wamejua kutumia dhana PPP vyema kuliko maigizo tunayoigiza apa TanzaniaWenzetu wanazidi kuchanja mbuga,
Na sasa wameanza kutumia fursa ya Vyanzo vyetu vya utalii kupiga pesa.
Rwanda Air kwasasa wana Direct flights kutoka baadhi ya Miji mikubwa Duniani to Kigali, then to JNIA and KIA.
Air Tanzania hawana mpango wowote, wacha majirani watusaidie.
Few to mention Rwanda Air wana Direct flight from Paris to Kigali then KIA/JNIA
London to Kigali then KIA/JNIA.
Na wako mbioni kutua na Zanzibar.
Air Tanzania wanapeleka Airbus na Boeing Songwe.
Tena politics zisizo na tija😅Lack of vision ni tatizo nchi hii, wenzetu wanakazana na mambo muhimu. Si tunapambana na politics