Rwanda wanachangamka kwa Kasi, Sisi tupo tu!

Rwanda wanachangamka kwa Kasi, Sisi tupo tu!

Wenzetu wanazidi kuchanja mbuga,

Na sasa wameanza kutumia fursa ya Vyanzo vyetu vya utalii kupiga pesa.

Rwanda Air kwasasa wana Direct flights kutoka baadhi ya Miji mikubwa Duniani to Kigali, then to JNIA and KIA.

Air Tanzania hawana mpango wowote, wacha majirani watusaidie.

Few to mention Rwanda Air wana Direct flight from Paris to Kigali then KIA/JNIA
London to Kigali then KIA/JNIA.

Na wako mbioni kutua na Zanzibar.

Air Tanzania wanapeleka Airbus na Boeing Songwe.
Kwakuwa ndege tayari tunazo suala la kwenda paris inawezekana, ingekuwa je kama tusingekuwa nazo kabisa sijui ungeandika nini najaribu kuwaza.
 
Huwa nashangaa sana yaani wakati mwingine unajiuliza hivi
Nchi yetu haina think tanks ?
Au hata akili kidogo?
Kutua tunaweza sana ila nashangaa madege tunayo ila hata ubia na kampuni zingine hatutaki
First 90 minutes ni bure Heathrow baada ya hapo ni £52 kila dakika 15
Think tanks WA Taifa Ndio hao Makada na machawa wa Chama Cha Mazezeta (CCM) ambao wanaweza kutengeneza death squads za kuteka na kuua wapinzani ili kubakisha chama cha mazezeta Tanzania madarakani daima na si kuangalia future ya nchi , Una tegemea nini hapo ? , wachumia tumbo kila mahala , majitu yanawaza vyeo ,sifa , wizi na madaraka tu ,ndio nchi yako hii
 
Sahizi wabongo hawataki shirika lifufuke na hawataki wawekezaji. Ukijaribu tu kila mtu anapiga kelele unauza nchi. Hapo hapo wanasema kwanini wengine wanaendelea. Smh
Kitu cha kwanza kwanini hayo mashirikiano yali shindwa, na sasa yatawezaje kufanikiwa
 
Sahizi wabongo hawataki shirika lifufuke na hawataki wawekezaji. Ukijaribu tu kila mtu anapiga kelele unauza nchi. Hapo hapo wanasema kwanini wengine wanaendelea. Smh
Well said

Kwa ujumla sisi ni wachawi mnooo

Bahati mbaya tunajichawia wenyewe
 
Think tanks WA Taifa Ndio hao Makada na machawa wa Chama Cha Mazezeta (CCM) ambao wanaweza kutengeneza death squads za kuteka na kuua wapinzani ili kubakisha chama cha mazezeta Tanzania madarakani daima na si kuangalia future ya nchi , Una tegemea nini hapo ? , wachumia tumbo kila mahala , majitu yanawaza vyeo ,sifa , wizi na madaraka tu ,ndio nchi yako hii
Another waste of sperm,

Tofautisha siasa na uchumi
 
Think tanks WA Taifa Ndio hao Makada na machawa wa Chama Cha Mazezeta (CCM) ambao wanaweza kutengeneza death squads za kuteka na kuua wapinzani ili kubakisha chama cha mazezeta Tanzania madarakani daima na si kuangalia future ya nchi , Una tegemea nini hapo ? , wachumia tumbo kila mahala , majitu yanawaza vyeo ,sifa , wizi na madaraka tu ,ndio nchi yako hii
Hebu angalia hapa nilipo na hapo mlipo tofauti zake
Huku mmoja angepigwa na mayai
Screenshot_20240911_141004_upday~2.png
Screenshot_20240911_110105_Instagram~2.png
 
Kwakuwa ndege tayari tunazo suala la kwenda paris inawezekana, ingekuwa je kama tusingekuwa nazo kabisa sijui ungeandika nini najaribu kuwaza.
Endelea kuwaza
 
Upo sahihi but Tanzania itabaki kuwa na watalii kwani tulivyonavyo ni asilia sio vya kuundwa.

Tuna mapungufu lakini hakuna zaidi ya Tanzania kwa swala la utalii Afrika Mashariki na Kati. Watalii watakuja tu

Serengeti Ngorongoro Mt Kilimanjaro etc vyapatikana Tanzania tu sio Rwanda Burundi Kenya Uganda etc.

Bado ni washindi wa utalii wengine wanalazimisha.
Hizi akili ni sawa na mtu kwa vile anakinyeo basi anaamini lazima ataenda choo tu. Sasa ukimuuliza unadhani nin kitamsababisha ndo anaanza kuwaza 😃😃😃
 
Mkuu yalipe wapi
Ni show off ya kijinga sijawahi kuona maishani mwangu

Yaani hela zinachotwa serikalini zinalipa huku ilimradi yaonekane yako kwenye mzunguko

Bora wangeingia ubia tu na majirani na nchi kubwa na local wakaweka ndogo
Sijaona biashara inaanza na kuzuia ndege nje kisa madeni

Leo tunaona SGR inakwama hata baada ya kuanza tu
Masikitiko kwa kweli
 
Rwanda wanaiba madini Congo, sisi hatuibi, Rwanda wanaua watu Congo, maendeleo yao yananuka damu
Nakumbuka Kagame aliwahi kujibu hii shutuma kwa uwazi kabisa.

Alisema Rwanda, ni kama njia tu! wao hawahusiki wala hawafaidiki na chochote kwenye rasilimali zinaporwa DRC
 
Nyie sending mnasemaga ndege sinaendeshwa kwa hasara? Poa kuna wakati waponzani walihiyaji kiongozi atakayefanya mambo kama rais wa Rwanda ailipokuja wakamwita majina yote mabaya.
 
Upo sahihi but Tanzania itabaki kuwa na watalii kwani tulivyonavyo ni asilia sio vya kuundwa.

Tuna mapungufu lakini hakuna zaidi ya Tanzania kwa swala la utalii Afrika Mashariki na Kati. Watalii watakuja tu

Serengeti Ngorongoro Mt Kilimanjaro etc vyapatikana Tanzania tu sio Rwanda Burundi Kenya Uganda etc.

Bado ni washindi wa utalii wengine wanalazimisha.
Kwakifupi hao wameamua kufanya udalali sasa tatizo liko wapi??
Acha wawapige watalii vya juu lakin watawaleta tu hapa hapa na sisi cheru kitalipwa. Ndio biashara zilivyo hakuna shida kabisaa
 
Kupata kibali kutua Heathrow Airport ni shughuli haswa
Halafu kuegesha tu malipo yake kwa siku ni balaa
Sasa jamaa kwa jeuri huwa linakaa hata wiki
Ila sijajua sababu
Huwa naiona imepaki Heathrow kila wakati sijui kwa sababu ya Gold za jirani
Mimi niko maeneo ya Slough mbona siioni imepaki muda mrefu huo? Huwa nazunguka kuanzia terminal 1-5
 
Mimi niko maeneo ya Slough mbona siioni imepaki muda mrefu huo? Huwa nazunguka kuanzia terminal 1-5
Nimecheka sana
Sasa mkuu unazunguka mdani wakati zimepaki nje
Pita Southern Perimeter Road kutokea Hatton X
Karibu na Hilton Garden Inn London Heathrow, ndio huwa ina park hapo
Sasa ukiitafuta ndani ya Heathrow utaishia kuwaona warundi tu
 
Back
Top Bottom