Rwanda wanajenga kinu cha Nyuklia; sisi bado tuna maono ya kujenga madarasa miaka 60 ya uhuru

Rwanda wanajenga kinu cha Nyuklia; sisi bado tuna maono ya kujenga madarasa miaka 60 ya uhuru

Inajenga kwa ajili ya niashati siyo ulinzi kama mleta mada alivyomaanisha. Lkn bado mchango wa mawazo yako ni mazuri na muhimu sana kutupa tahadhari. N
Wapi nimesema wanajenga kwa ajili ya ulinzi?

Punguza mbege bwashee!
 
Ni lazima viongozi wote wabadilishe namna ya kufikiri, haiwezekanu miaka 60 ya uhuru serikali imekazana kujenga madarasa tu na vyama vya siasa vimejikita kwenye kusaka ruzuku.

Mfano Chadema badala ya kuja na sera mbadala za maendeleo wao wanachangishana hela za kuwapa familia za makomandoo.

Wenzetu Rwanda wanajenga kinu cha Nyukria kwa ajili ya kuzalisha umeme sisi tunakazana na majenereta.

RIP Julius Kambarage Nyerere
Chadema imewahi kuongoza Tanzania lini?

Tangu uhuru nchi inatawaliwa na ccm, shame on you all maccm.
 
Nuclear ni cheap energy tatizo na ugumu na hatari ipo kwenye kudeal na mabaki...

Kwa Tanzania yenye vyanzo vingine kama bwawa la Nyerere umeme / nishati itakuwa excess (hatuna sababu ya kuhangaika na nuclear kama wenzetu wasio na alternative
 
Nuclear ni cheap energy tatizo na ugumu na hatari ipo kwenye kudeal na mabaki...

Kwa Tanzania yenye vyanzo vingine kama bwawa la Nyerere umeme / nishati itakuwa excess (hatuna sababu ya kuhangaika na nuclear kama wenzetu wasio na alternative
Comment ya DHAHABU 😍
 
Ni lazima viongozi wote wabadilishe namna ya kufikiri, haiwezekanu miaka 60 ya uhuru serikali imekazana kujenga madarasa tu na vyama vya siasa vimejikita kwenye kusaka ruzuku.

Mfano Chadema badala ya kuja na sera mbadala za maendeleo wao wanachangishana hela za kuwapa familia za makomandoo.

Wenzetu Rwanda wanajenga kinu cha Nyukria kwa ajili ya kuzalisha umeme sisi tunakazana na majenereta.

RIP Julius Kambarage Nyerere
We mbona huna akiri ndugu yangu. Badala ya kuishauri ccm unawaambia chadema as if wako madarakani. Siasa zenyewe wakizifanya wanachapwa risasi mpaka wanakimbia nchi, wakitaka kufanya mikutano wanavamiwa na polisi halafu hulioni hilo we unawalaumu tu unataka wafanyie siasa wapi na hizo sera wazisemee wapi. Labda waende kenya ndo wazisemee huko
 
Ni lazima viongozi wote wabadilishe namna ya kufikiri, haiwezekanu miaka 60 ya uhuru serikali imekazana kujenga madarasa tu na vyama vya siasa vimejikita kwenye kusaka ruzuku.

Mfano Chadema badala ya kuja na sera mbadala za maendeleo wao wanachangishana hela za kuwapa familia za makomandoo.

Wenzetu Rwanda wanajenga kinu cha Nyukria kwa ajili ya kuzalisha umeme sisi tunakazana na majenereta.

RIP Julius Kambarage Nyerere
Bro rwanda ni nchi ndogo sana,kigoma pekee ni kubwa hivyo madarasa kwao ni kitu kidogo tu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Inajenga kinu kwa ajili ya niashati siyo ulinzi kama mleta mada alivyomaanisha. Lkn bado mchango wa mawazo yako ni mazuri na muhimu sana kutupa tahadhari. Ni hivi, ili aingize Urani toka nje atalazimika kutumia bandari ambayo hana, Tz itambana tu, bandari ya Kenya ni ya Wachina kwa miaka 50 ijayo kama zilivyo Lusaka Terminal 2 na mgodi wa shaba, Tz na China ni marafiki wa kihistoria. Civil flights zote za Rwanda na Burundi zinaongozwa na Rada za Tz tulizonunua 2019. Urani yake kama ni ya kutishia Tz itapitia wapi?
Mkuu hebu tulifikiri na hili....

Rwanda itoe Urani kutoka nje na kupitia bandari za Tanzania?!!! 😳

Urani Yao itatoka humuhumu Afrika....je ni wapi?!!!

Je "mzigo utakuwa endelevu" miaka na miaka?!!!

Kutokea wapi huko kwani Rwanda haina Urani.....hapa panafikirisha....
 
We mbona huna akiri ndugu yangu. Badala ya kuishauri ccm unawaambia chadema as if wako madarakani. Siasa zenyewe wakizifanya wanachapwa risasi mpaka wanakimbia nchi, wakitaka kufanya mikutano wanavamiwa na polisi halafu hulioni hilo we unawalaumu tu unataka wafanyie siasa wapi na hizo sera wazisemee wapi. Labda waende kenya ndo wazisemee huko
Mbona ACT wazalendo wanafanya siasa bwashee?!
 
Wapi nimesema wanajenga kwa ajili ya ulinzi?

Punguza mbege bwashee!
Mbege tena! wakati mimi nimekutetea mbele ya Herode aliyekuelewa kwamba umemaanisha security akaandika "security threat", mimi nikasema mleta mada amemaanisha nishati siyo ulinzi (security threat). Nafikiri uko innocent hujatembea na Herodia hivyo nashauri usikatwe kichwa.
 
Ni lazima viongozi wote wabadilishe namna ya kufikiri, haiwezekanu miaka 60 ya uhuru serikali imekazana kujenga madarasa tu na vyama vya siasa vimejikita kwenye kusaka ruzuku.

Mfano Chadema badala ya kuja na sera mbadala za maendeleo wao wanachangishana hela za kuwapa familia za makomandoo.

Wenzetu Rwanda wanajenga kinu cha Nyukria kwa ajili ya kuzalisha umeme sisi tunakazana na majenereta.

RIP Julius Kambarage Nyerere
Unalalama sana mkuu

Sijui una mchango gani Kwa taifa hili

Hebu tuambie tangu uzaliwe umeshafanya nini cha kuibadili nchi hii?
 
Mbege tena! wakati mimi nimekutetea mbele ya Herode aliyekuelewa kwamba umemaanisha security akaandika "security threat", mimi nikasema mleta mada amemaanisha nishati siyo ulinzi (security threat). Nafikiri uko innocent hujatembea na Herodia hivyo nashauri usikatwe kichwa.
Hahahaaaa...... Samahani mkuu nilidhani ni yule Daudi Mchambuzi wa Machame!
 
Wapi nimesema wanajenga kwa ajili ya ulinzi?

Punguza mbege bwashee!
Rwanda hawana ubavu wa kujenga kinu cha nuclear. Achilia mbali ku-maintain kinu cha nuclear.
Acheni porojo zenu za vijiwe vya alkasusi mujarab.
 
Back
Top Bottom