Rwanda wanajenga kinu cha Nyuklia; sisi bado tuna maono ya kujenga madarasa miaka 60 ya uhuru

Rwanda wanajenga kinu cha Nyuklia; sisi bado tuna maono ya kujenga madarasa miaka 60 ya uhuru

Mbege tena! wakati mimi nimekutetea mbele ya Herode aliyekuelewa kwamba umemaanisha security akaandika "security threat", mimi nikasema mleta mada amemaanisha nishati siyo ulinzi (security threat). Nafikiri uko innocent hujatembea na Herodia hivyo nashauri usikatwe kichwa.
Relax nawe 🤣🤣

SECURITY THREAT sikumaanisha hivyo.....


Nilimaanisha jinsi ya "kuihandle"...kutoingia katika mikono isiyo salama...hususani siku Kagame atakapokuwa hayupo.....

Pia kuna suala la "AJALI" Kama kule FUKUSHIMA NA CHERNOBYL....

Kijiografia Raanda huwa inakumbwa na mafuriko mara kwa mara....tusiisahau hilo....

Ok mkuu shukran👊
 
Rwanda ni nchi ndogo sana kama mkoa mmoja tu wa Tanzania Bara. Ukumbuke hilo unapozilinganisha hizi nchi mbili.
Kwa utafiti upi uliofanya?

Kumbuka ili kupata maendeleo unahitaji vitu vifuatavyo: watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora. Sasa kati ya hivyo unapaswa kuainisha ni vipi Rwanda wametuzidi na vipi tumewazidi. Vinginevyo ni mbaazi ukikosa maua husingizia jua!

Zanzibar ni ndogo lakini haijaendelea! Pia Burundi ni ndogo kama Rwanda haiendelei?
 
Ni lazima viongozi wote wabadilishe namna ya kufikiri, haiwezekanu miaka 60 ya uhuru serikali imekazana kujenga madarasa tu na vyama vya siasa vimejikita kwenye kusaka ruzuku.

Mfano Chadema badala ya kuja na sera mbadala za maendeleo wao wanachangishana hela za kuwapa familia za makomandoo.

Wenzetu Rwanda wanajenga kinu cha Nyukria kwa ajili ya kuzalisha umeme sisi tunakazana na majenereta.

RIP Julius Kambarage Nyerere
Mavi huwa yanakukaba usipoitaja chadema???
Hivi wao ndo wameshika dola????

Ni SERIKALI ambayo ipo katika kampeni ya NYUMBA NI CHOO, unajua nani wanaoshika dola ,ndo hao ambao wanaendelea kujenga madarasa....
 
Tukipiga kelele sisiemu inatakiwa itoke madarakani vijana mnalipwa 7000 mnashinda kwenye mitandao kueneza propaganda na ikifika kipindi cha uchaguzi mnapangwa kwenye vituo kuiba kura na wala hamkatai damu ya usaliti haitawaacha salama
 
Hahahaaaa.... Kunywa mafuta ya taa!
Listen carefully you Chagga hater. I promise you I will use all my massive blessed resources to track you down and fix you up. This is a solemnly promise I swear to God Jesus you must pay for this atrocities.

QENGAY
 
Ni lazima viongozi wote wabadilishe namna ya kufikiri, haiwezekanu miaka 60 ya uhuru serikali imekazana kujenga madarasa tu na vyama vya siasa vimejikita kwenye kusaka ruzuku.

Mfano Chadema badala ya kuja na sera mbadala za maendeleo wao wanachangishana hela za kuwapa familia za makomandoo.

Wenzetu Rwanda wanajenga kinu cha Nyukria kwa ajili ya kuzalisha umeme sisi tunakazana na majenereta.

RIP Julius Kambarage Nyerere
Shida Yako ni cdm na siyo maendeleo ya nchi. Na unaumia Sana Kwa jinsi wanacdm wanavyochangishana kusaidiwa familia za wale mliowabambikia kesi zisizo na tija Kwa maendeleo ya nchi.
Wewe umia TU na kuvimba Kwa wivu juu ya wanacdm wanaojitambua!
 
Tukipiga kelele sisiemu inatakiwa itoke madarakani vijana mnalipwa 7000 mnashinda kwenye mitandao kueneza propaganda na ikifika kipindi cha uchaguzi mnapangwa kwenye vituo kuiba kura na wala hamkatai damu ya usaliti haitawaacha salama
Hayo ya 7000 ni propaganda tu mkuu...🤣

UVCCM haikosi vijana hodari walioiva itikadi na uzalendo.....

Kazi yetu ni kujikumbusha/kuwakumbusha watanzania UADHIMU wa CCM kulifanya taifa letu liwe moja ,amani usalama na UTULIVU.....
 
Listen carefully you Chagga hater. I promise you I will use all my massive blessed resources to track you down and fix you up. This is a solemnly promise I swear to God Jesus you must pay for this atrocities.

QENGAY
Duuh mkuu unakwenda kuwa TERRORIST sasa mmmh TUNAKUOGOPA....🤣
 
Hayo ya 7000 ni propaganda tu mkuu...🤣

UVCCM haikosi vijana hodari walioiva itikadi na uzalendo.....

Kazi yetu ni kunikumbusha/kuwakumbusha watanzania UADHIMU wa CCM kulifanya taifa letu liwe moja ,amani usalama na UTULIVU.....
Unajisikiaje kuwa mmoja wa watu wa kueneza propaganda mitandaoni wakati mama zako na ndugu zako kule vijijini wanapata shida ya huduma bora za afya pamoja na shida ya maji katika maeneo yao??miaka 60 sasa wapo na shida hizo..Huoni kama unawasaliti?
 
Kazi wanazoziweza CCM ni hizi
1. Kuteka wenye mawazo tofauti na wao
2. Kuiba kura
3. Kuiba mali ya umma
4. Kubambikia kesi
5. Kukimbiza na kuzima mwenge


Hayo ndio wamefanikiwa kuyafanya kikamilifu kwa miaka 60.
 
Unajisikiaje kuwa mmoja wa watu wa kueneza propaganda mitandaoni wakati mama zako na ndugu zako kule vijijini wanapata shida ya huduma bora za afya pamoja na shida ya maji katika maeneo yao??miaka 60 sasa wapo na shida hizo..Huoni kama unawasaliti?
Akili zao walishasalimisha lumumba wanaishi kama misukule. Hawezi kukuelewa huyo
 
Duuh mkuu unakwenda kuwa TERRORIST sasa mmmh TUNAKUOGOPA....🤣
Just keep on praying our race don't get to power. Keep on crossing your fingers tightly we don't own magogoni and Dodoma.
 
Mkuu John tatizo kubwa linalotuumiza watanzania ni UJINGA. Siku zote watu wamekuwa wakisema lakini wanaonekana wana chuki dhidi ya serikali. Ila ukweli ni kwamba sisi tulikuwa na nafasi kubwa ya kupiga hatua kubwa sana kimaendeleo kuliko ncho yoyote ile barani Afrika.

Kamati ya haki ya mtoto ya Umoja wa Afrika (African Committee on Rights and Welfare of the Child) iliwahi kuchapisha taarifa yake ya mwaka na kutaja nchi ambazo zinatoa elimu bora yenye viwango kwa watoto barani Afrika. Rwanda ndiyo ilikuwa ya kwanza, na wataalamu wengi wakapinga. Timu maalumu (Special Rapporteur) walipelekwa Rwanda kuhakikisha hili na kuthibitisha yote ndani ya ripoti.

Kila mtoto ambaye anaanza elimu ya msingi nchini Rwanda anatumia Laptop/Ipad kusoma. Binafsi sikuamini lakini nikazungumza na watu wa kwenye kamati wakathibitisha hilo. Nikashangaa tena kusikia kule nchini Rwanda ni marufuku mtoto kupelekwa kwenye shule ya bweni mpaka afikishe miaka 14. Nikasema kama Raisi Paul Kagame ataendelea kufanya hivi, kuna siku tutaiangalia Rwanda kiutofauti sana.

Rwanda iko na madhaifu mengi kiutawala na kimfumo: UKABILA umeshamiri kwenye kila eneo na kama Raisi Kagame atabadilika na kukubali kuelewana na Wahutu bila kuweka masharti (Conditions) zozote zile kwenye amani, basi Rwanda itafika mbali sana. Maana taifa lolote lile ambalo linawekeza kwenye rasilimali watu ndiyo hufanikiwa kufika juu.

Ukweli mchungu ni lazima kukubali kwamba Tanzania tulijisahau sana, na hatupendi kukubali ukweli kwamba wananchi na viongozi wetu akili zetu ziko chini ya kiwango (Below Avarage). Tumewekeza rasilimali zetu nyingi kwenye mambo ambayo siyo sahihi: Tunatumia mabilioni ya pesa kwenye siasa, ulinzi (political surveillance), matumizi yasiyo na msingi na ubadhilifu.

Tangu aondoke Mzee Nyerere madarakani hakujawahi tokea Raisi wa nchi hii ambaye aliweza kutambua nini haswa kinatakiwa kuwa kipaumbele kwa taifa. Mzee Nyerere mbali na madhaifu yake yote, aliwekeza sana kwenye ELIMU ya watu wake. Vijana wa Nyerere japo wengi waliasi falsafa na wengi wao kuwa walafi, ndiyo wameisaidia Tanzania isitumbukie korongoni kwa spidi kubwa. Hivyo tunatumbukia kidogo kidogo (Gradually Disintegrating)...

Mzee Lowassa alivyosema ELIMU, ELIMU, ELIMU hakukosea kabisa. Kuikomboa Tanzania tunahitaji watu wenye uelewa mzuri kuhusu mazingira ya nchi yetu. Nchi hii inategemea kilimo, uvuvi na ufugaji kama shughuli asilia za kiuchumi, lakini tumefanya nini kwenye kuwawezesha wananchi kwenye kilimo, uvuvi na ufugaji ??? Tuna wataalamu wangapi ambao wanaweza kutusaidia ??? Sisi tumekazania siasa na katiba mpya: Mambo ya muhimu sana, japo sidhani kama kila kitu kinaweza kutatuliwa kisiasa.

Nchi ndogo kama Uingereza na Japan ziliweza kuwa mataifa yenye nguvu sana duniani kwasababu walijua nini madhaifu yao na kufahamu vipaumbele vyao. Ingekuwa leo mtu anaenda Uingereza mwaka 1500 au Japani mwaka 1800 na akaambiwa hizi nchi zitakuja kuwa tajiri sana duniani asingeamini hata kidogo.
The real problem is that when you don't keep your word you loose credibility you break the bonds of trust. Hii inatokea kwa viongozi wetu wengi wakati wa kampeni ahadi ni kede kede lakini vitendo hamna.
 
Kwa utafiti upi uliofanya?

Kumbuka ili kupata maendeleo unahitaji vitu vifuatavyo: watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora. Sasa kati ya hivyo unapaswa kuainisha ni vipi Rwanda wametuzidi na vipi tumewazidi. Vinginevyo ni mbaazi ukikosa maua husingizia jua!

Zanzibar ni ndogo lakini haijaendelea!
Mkuu Tanzania mpaka leo bado inapeleka umeme vijijini na kazi inakwisha 2022, jiulize imeanza lini.

Mkuu Tanzania mpaka leo inajenga barabara na shule za msingi, ni kazi inayoendelea.

Rwanda ni eneo dogo sana linahitaji muda mdogo kumaliza miundo mbinu yote.

Usiilinganishe Tanzania na vinchi vidogo vidogo.
 
Unajisikiaje kuwa mmoja wa watu wa kueneza propaganda mitandaoni wakati mama zako na ndugu zako kule vijijini wanapata shida ya huduma bora za afya pamoja na shida ya maji katika maeneo yao??miaka 60 sasa wapo na shida hizo..Huoni kama unawasaliti?
Hizo nazo pia propaganda hasi mkuu 🤣🤣

Hebu jionee hapa......
 
Mkuu John tatizo kubwa linalotuumiza watanzania ni UJINGA. Siku zote watu wamekuwa wakisema lakini wanaonekana wana chuki dhidi ya serikali. Ila ukweli ni kwamba sisi tulikuwa na nafasi kubwa ya kupiga hatua kubwa sana kimaendeleo kuliko ncho yoyote ile barani Afrika.

Kamati ya haki ya mtoto ya Umoja wa Afrika (African Committee on Rights and Welfare of the Child) iliwahi kuchapisha taarifa yake ya mwaka na kutaja nchi ambazo zinatoa elimu bora yenye viwango kwa watoto barani Afrika. Rwanda ndiyo ilikuwa ya kwanza, na wataalamu wengi wakapinga. Timu maalumu (Special Rapporteur) walipelekwa Rwanda kuhakikisha hili na kuthibitisha yote ndani ya ripoti.

Kila mtoto ambaye anaanza elimu ya msingi nchini Rwanda anatumia Laptop/Ipad kusoma. Binafsi sikuamini lakini nikazungumza na watu wa kwenye kamati wakathibitisha hilo. Nikashangaa tena kusikia kule nchini Rwanda ni marufuku mtoto kupelekwa kwenye shule ya bweni mpaka afikishe miaka 14. Nikasema kama Raisi Paul Kagame ataendelea kufanya hivi, kuna siku tutaiangalia Rwanda kiutofauti sana.

Rwanda iko na madhaifu mengi kiutawala na kimfumo: UKABILA umeshamiri kwenye kila eneo na kama Raisi Kagame atabadilika na kukubali kuelewana na Wahutu bila kuweka masharti (Conditions) zozote zile kwenye amani, basi Rwanda itafika mbali sana. Maana taifa lolote lile ambalo linawekeza kwenye rasilimali watu ndiyo hufanikiwa kufika juu.

Ukweli mchungu ni lazima kukubali kwamba Tanzania tulijisahau sana, na hatupendi kukubali ukweli kwamba wananchi na viongozi wetu akili zetu ziko chini ya kiwango (Below Avarage). Tumewekeza rasilimali zetu nyingi kwenye mambo ambayo siyo sahihi: Tunatumia mabilioni ya pesa kwenye siasa, ulinzi (political surveillance), matumizi yasiyo na msingi na ubadhilifu.

Tangu aondoke Mzee Nyerere madarakani hakujawahi tokea Raisi wa nchi hii ambaye aliweza kutambua nini haswa kinatakiwa kuwa kipaumbele kwa taifa. Mzee Nyerere mbali na madhaifu yake yote, aliwekeza sana kwenye ELIMU ya watu wake. Vijana wa Nyerere japo wengi waliasi falsafa na wengi wao kuwa walafi, ndiyo wameisaidia Tanzania isitumbukie korongoni kwa spidi kubwa. Hivyo tunatumbukia kidogo kidogo (Gradually Disintegrating)...

Mzee Lowassa alivyosema ELIMU, ELIMU, ELIMU hakukosea kabisa. Kuikomboa Tanzania tunahitaji watu wenye uelewa mzuri kuhusu mazingira ya nchi yetu. Nchi hii inategemea kilimo, uvuvi na ufugaji kama shughuli asilia za kiuchumi, lakini tumefanya nini kwenye kuwawezesha wananchi kwenye kilimo, uvuvi na ufugaji ??? Tuna wataalamu wangapi ambao wanaweza kutusaidia ??? Sisi tumekazania siasa na katiba mpya: Mambo ya muhimu sana, japo sidhani kama kila kitu kinaweza kutatuliwa kisiasa.

Nchi ndogo kama Uingereza na Japan ziliweza kuwa mataifa yenye nguvu sana duniani kwasababu walijua nini madhaifu yao na kufahamu vipaumbele vyao. Ingekuwa leo mtu anaenda Uingereza mwaka 1500 au Japani mwaka 1800 na akaambiwa hizi nchi zitakuja kuwa tajiri sana duniani asingeamini hata kidogo.
"Elimu ni ukombozi " wakati mwingine napata wasiwasi , kutokana na mambo yanayofanywa na wasomi wa nchi hii. Angali watu wenye PHD Tanzania , wanafanya mambo ya ajabu ajabu ambayo inafikia mahali naona elimu haina maana yoyote
 
Back
Top Bottom