johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Wapi nimesema wanajenga kwa ajili ya ulinzi?Inajenga kwa ajili ya niashati siyo ulinzi kama mleta mada alivyomaanisha. Lkn bado mchango wa mawazo yako ni mazuri na muhimu sana kutupa tahadhari. N
Chadema imewahi kuongoza Tanzania lini?Ni lazima viongozi wote wabadilishe namna ya kufikiri, haiwezekanu miaka 60 ya uhuru serikali imekazana kujenga madarasa tu na vyama vya siasa vimejikita kwenye kusaka ruzuku.
Mfano Chadema badala ya kuja na sera mbadala za maendeleo wao wanachangishana hela za kuwapa familia za makomandoo.
Wenzetu Rwanda wanajenga kinu cha Nyukria kwa ajili ya kuzalisha umeme sisi tunakazana na majenereta.
RIP Julius Kambarage Nyerere
John relax banaa 🤣Wapi nimesema wanajenga kwa ajili ya ulinzi?
Punguza mbege bwashee!
Comment ya DHAHABU 😍Nuclear ni cheap energy tatizo na ugumu na hatari ipo kwenye kudeal na mabaki...
Kwa Tanzania yenye vyanzo vingine kama bwawa la Nyerere umeme / nishati itakuwa excess (hatuna sababu ya kuhangaika na nuclear kama wenzetu wasio na alternative
We mbona huna akiri ndugu yangu. Badala ya kuishauri ccm unawaambia chadema as if wako madarakani. Siasa zenyewe wakizifanya wanachapwa risasi mpaka wanakimbia nchi, wakitaka kufanya mikutano wanavamiwa na polisi halafu hulioni hilo we unawalaumu tu unataka wafanyie siasa wapi na hizo sera wazisemee wapi. Labda waende kenya ndo wazisemee hukoNi lazima viongozi wote wabadilishe namna ya kufikiri, haiwezekanu miaka 60 ya uhuru serikali imekazana kujenga madarasa tu na vyama vya siasa vimejikita kwenye kusaka ruzuku.
Mfano Chadema badala ya kuja na sera mbadala za maendeleo wao wanachangishana hela za kuwapa familia za makomandoo.
Wenzetu Rwanda wanajenga kinu cha Nyukria kwa ajili ya kuzalisha umeme sisi tunakazana na majenereta.
RIP Julius Kambarage Nyerere
Bro rwanda ni nchi ndogo sana,kigoma pekee ni kubwa hivyo madarasa kwao ni kitu kidogo tuNi lazima viongozi wote wabadilishe namna ya kufikiri, haiwezekanu miaka 60 ya uhuru serikali imekazana kujenga madarasa tu na vyama vya siasa vimejikita kwenye kusaka ruzuku.
Mfano Chadema badala ya kuja na sera mbadala za maendeleo wao wanachangishana hela za kuwapa familia za makomandoo.
Wenzetu Rwanda wanajenga kinu cha Nyukria kwa ajili ya kuzalisha umeme sisi tunakazana na majenereta.
RIP Julius Kambarage Nyerere
Hahahaaaa......ahsante komredi!John relax banaa 🤣
Amenikumbusha Mimi....alidhani sijaelewa mkuu wangu...
Mkuu hebu tulifikiri na hili....Inajenga kinu kwa ajili ya niashati siyo ulinzi kama mleta mada alivyomaanisha. Lkn bado mchango wa mawazo yako ni mazuri na muhimu sana kutupa tahadhari. Ni hivi, ili aingize Urani toka nje atalazimika kutumia bandari ambayo hana, Tz itambana tu, bandari ya Kenya ni ya Wachina kwa miaka 50 ijayo kama zilivyo Lusaka Terminal 2 na mgodi wa shaba, Tz na China ni marafiki wa kihistoria. Civil flights zote za Rwanda na Burundi zinaongozwa na Rada za Tz tulizonunua 2019. Urani yake kama ni ya kutishia Tz itapitia wapi?
Mbona ACT wazalendo wanafanya siasa bwashee?!We mbona huna akiri ndugu yangu. Badala ya kuishauri ccm unawaambia chadema as if wako madarakani. Siasa zenyewe wakizifanya wanachapwa risasi mpaka wanakimbia nchi, wakitaka kufanya mikutano wanavamiwa na polisi halafu hulioni hilo we unawalaumu tu unataka wafanyie siasa wapi na hizo sera wazisemee wapi. Labda waende kenya ndo wazisemee huko
Shukran komredi mkuu wangu 🙏Hahahaaaa......ahsante komredi!
Mbege tena! wakati mimi nimekutetea mbele ya Herode aliyekuelewa kwamba umemaanisha security akaandika "security threat", mimi nikasema mleta mada amemaanisha nishati siyo ulinzi (security threat). Nafikiri uko innocent hujatembea na Herodia hivyo nashauri usikatwe kichwa.Wapi nimesema wanajenga kwa ajili ya ulinzi?
Punguza mbege bwashee!
Unalalama sana mkuuNi lazima viongozi wote wabadilishe namna ya kufikiri, haiwezekanu miaka 60 ya uhuru serikali imekazana kujenga madarasa tu na vyama vya siasa vimejikita kwenye kusaka ruzuku.
Mfano Chadema badala ya kuja na sera mbadala za maendeleo wao wanachangishana hela za kuwapa familia za makomandoo.
Wenzetu Rwanda wanajenga kinu cha Nyukria kwa ajili ya kuzalisha umeme sisi tunakazana na majenereta.
RIP Julius Kambarage Nyerere
Hahahaaaa...... Samahani mkuu nilidhani ni yule Daudi Mchambuzi wa Machame!Mbege tena! wakati mimi nimekutetea mbele ya Herode aliyekuelewa kwamba umemaanisha security akaandika "security threat", mimi nikasema mleta mada amemaanisha nishati siyo ulinzi (security threat). Nafikiri uko innocent hujatembea na Herodia hivyo nashauri usikatwe kichwa.
Uranium atachukulia Congo huyoWakijenga kinu wataimport madini ya Urani toka Tunduru Tz, kwahiyo bado ngoma droo mkuu. Rwanda haina Urani inajenga kinu, Tz tuna Urani hatuna kinu.
Rwanda hawana ubavu wa kujenga kinu cha nuclear. Achilia mbali ku-maintain kinu cha nuclear.Wapi nimesema wanajenga kwa ajili ya ulinzi?
Punguza mbege bwashee!
Nilipigana vita ya Kagera hammy!Unalalama sana mkuu
Sijui una mchango gani Kwa taifa hili
Hebu tuambie tangu uzaliwe umeshafanya nini cha kuibadili nchi hii?
Nyambafu UNAKERAManka umeshafura!
Endelea kukariri manka!Rwanda hawana ubavu wa kujenga kinu cha nuclear. Achilia mbali ku-maintain kinu cha nuclear.
Acheni porojo zenu za vijiwe vya alkasusi mujarab.