Rwanda yafunga Parokia 47 za Kanisa Katoliki

Rwanda yafunga Parokia 47 za Kanisa Katoliki

Serikali ya Rwanda imezifunga Parokia 47 za Kanisa Katoliki kwa madai ya kukiuka kanuni na sheria za nchi hiyo.

Kwa mujibu wa ripoti ambayo imetolewa na Maaskofu wa Kanisa Katoliki, inasema kuwa suala la uhuru wa kuabudu limekuwa changamoto kubwa nchini Rwanda.

Ripoti hiyo inasema kuwa kati ya Parokia 231 zilizopo nchini humo, 47 tu ndizo ambazo zimefungwa kutoka katika Dayosisi tisa.

Hadi kufikia mwanzano mwa mwezi wa Septemba mwaka huu, Serikali ya Rais Paul Kagame ilikuwa imeyafunga Madhehebu na Misikiti takribani 10,000 kwa kile ilichokiita kukiuka sheria za nchi hiyo
Tanzania ina cha kujifunza kwenye hizo parokia!
 
Wafuate vigezo na masharti kama hayo ambayo hayajafungiwa....maana viboko wa wachawi wapo wegni africa.
 
Kuna sheikh ana degree kule Rwanda kweli? Maanake kigezo kilikua ndio hicho; huna ANAFUNGA na jamaa hanaga gear ya reverse kama JPM
Alafu usichokijua msikiti ni tofauti na kanisa kwamba ukipata sehemu we unafungua tu unaanza kupiga hela,, msikiti sio wa shekhe bali ni waumini,, hebu nitajie shekhe yoyote unaemjua wewe anaemiliki msikiti, na kwenye imani ya kiislam kigezo sio degree huku ni kufuata mafundisho ya kiislam kama yalivyoagizwa na mungu so hizo degree zake ukiingia msikitini unaziacha nje
 
1728226604319.jpg
 
Serikali ya Rwanda imezifunga Parokia 47 za Kanisa Katoliki kwa madai ya kukiuka kanuni na sheria za nchi hiyo.

Kwa mujibu wa ripoti ambayo imetolewa na Maaskofu wa Kanisa Katoliki, inasema kuwa suala la uhuru wa kuabudu limekuwa changamoto kubwa nchini Rwanda.

Ripoti hiyo inasema kuwa kati ya Parokia 231 zilizopo nchini humo, 47 tu ndizo ambazo zimefungwa kutoka katika Dayosisi tisa.

Hadi kufikia mwanzano mwa mwezi wa Septemba mwaka huu, Serikali ya Rais Paul Kagame ilikuwa imeyafunga Madhehebu na Misikiti takribani 10,000 kwa kile ilichokiita kukiuka sheria za nchi hiyo
Hapa kwetu walokole wangepigwa pini maana ndo kila kitu wanaimba prey for isreli
 
Ukileta hapa kwetu nchi itawaka moto,,imagine Kizee kivaa kobazi na kanzu lake limepauka, imagine vimama vya kilokole vilivozoea kukanyaga mafuta....watu hawa wamepokea dini kuliko wenye nazo...chanzo cha umaskini wa taifa letu.
Ujuwe umenivunja mbavu wewe nikivuta na kumbukumbu, hapa watu hawaelewi nachekea nini?
 
Historia ya miaka ya karibuni inaonyesha kwamba,tawala zote zinazoenda kinyume na neno la MUNGU huwa zinakoma kutawala,yaani huwa zinaparagantika,tuanze na mfano wa iliyokuwa Urusi ya zamani yaani Soviet union au (USSR).
 
Back
Top Bottom