Rwanda yaipa Gaza msaada wa chakula, dawa na vifaa vya matibabu

Rwanda yaipa Gaza msaada wa chakula, dawa na vifaa vya matibabu

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Gaza.jpg

Serikali ya Rwanda imetuma Tani 16 za msaada wa Vyakula, dawa za binadamu, vifaa vya matibabu kwa Watu wa Gaza Nchini Palestina kutokana na vita inayoendelea baina ya Israel na Kundi la Hamas.

Naibu Msemaji Mkuu wa Serikali ya Rwanda, Alain Mukuralinda amesema misaada hiyo imefikishwa kupitia Taasisi ya Jordan Hashemite Charity Organisation (JHCO) huku akisema “Rwanda inasisitiza haja ya kulinda maisha ya raia wasio na hatia.”

Licha ya kutoa msaada kwa watu wa Palestina, Rwanda ni miongoni mwa Nchi zenye uhusiano wa karibu na Israel ambapo Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu alitembelea Rwanda Mwaka 2016.

==============

Rwanda sends 16 tonnes of aid to Gaza

The government of Rwanda says it’s sent humanitarian assistance to the Palestinian people in Gaza.

In a brief written statement sent to BBC Great Lakes, the government’s deputy spokesman, Alain Mukuralinda, said the donation was sent to the Jordan Hashemite Charity Organisation (JHCO) and has arrived in the Jordanian capital, Amman.

It was made "in support to the ongoing international rescue effort", Mr Mukuralinda wrote.

The donation comprises 16 tonnes of food items, medicines and medical supplies, he said, adding "Rwanda reiterates the need for a de-escalation to protect the lives of innocent civilians".

Rwanda is one of the countries on the continent that has close ties with Israel. Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu visited the Rwanda in 2016.

Both countries share "haunting similarities to the genocide of our own people", Mr Netanyahu wrote in the visitor’s book after touring a memorial for the victims of Rwanda's 1994 genocide.

Over 800,000 people, mostly ethnic Tutsis, were massacred in 1994. Six million Jewish people were killed in the Holocaust during the Second World War.

Source: BBC
 
Yaani wanasaidiwa hadi na Rwanda?? Mnayaanza yanini kama nguvu ndogo??
 
Arabs wa Gaza wana enjoy misaada katika maisha yao hawapendi kufanya kazi.. wavivu mno wala haitaisha hii tabia ndio maana hawapendwi na nchi za kiislam pia wanatabia za udokozi udokozi
 
Arabs wa Gaza wana enjoy misaada katika maisha yao hawapendi kufanya kazi.. wavivu mno wala haitaisha hii tabia ndio maana hawapendwi na nchi za kiislam pia wanatabia za udokozi udokozi
Pole sana
 

Serikali ya Rwanda imetuma Tani 16 za msaada wa Vyakula, dawa za binadamu, vifaa vya matibabu kwa Watu wa Gaza Nchini Palestina kutokana na vita inayoendelea baina ya Israel na Kundi la Hamas.

Naibu Msemaji Mkuu wa Serikali ya Rwanda, Alain Mukuralinda amesema misaada hiyo imefikishwa kupitia Taasisi ya Jordan Hashemite Charity Organisation (JHCO) huku akisema “Rwanda inasisitiza haja ya kulinda maisha ya raia wasio na hatia.”

Licha ya kutoa msaada kwa watu wa Palestina, Rwanda ni miongoni mwa Nchi zenye uhusiano wa karibu na Israel ambapo Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu alitembelea Rwanda Mwaka 2016.

==============

Rwanda sends 16 tonnes of aid to Gaza

The government of Rwanda says it’s sent humanitarian assistance to the Palestinian people in Gaza.

In a brief written statement sent to BBC Great Lakes, the government’s deputy spokesman, Alain Mukuralinda, said the donation was sent to the Jordan Hashemite Charity Organisation (JHCO) and has arrived in the Jordanian capital, Amman.

It was made "in support to the ongoing international rescue effort", Mr Mukuralinda wrote.

The donation comprises 16 tonnes of food items, medicines and medical supplies, he said, adding "Rwanda reiterates the need for a de-escalation to protect the lives of innocent civilians".

Rwanda is one of the countries on the continent that has close ties with Israel. Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu visited the Rwanda in 2016.

Both countries share "haunting similarities to the genocide of our own people", Mr Netanyahu wrote in the visitor’s book after touring a memorial for the victims of Rwanda's 1994 genocide.

Over 800,000 people, mostly ethnic Tutsis, were massacred in 1994. Six million Jewish people were killed in the Holocaust during the Second World War.

Source: BBC
wakati huo huo pale Rwanda kuna watu hawajui hata watakula nini leo. hata hivyo, wamefanya la maana just kuonyesha kwamba wanajali na kuitangaza nchi yao walau iendelee kujulikana duniani kuwa ipo. ila nina uhakika hata waarabu wenyewe wanaweza kuona kama wanatuniwa ili rwanda ipate promo.
 
Arabs wa Gaza wana enjoy misaada katika maisha yao hawapendi kufanya kazi.. wavivu mno wala haitaisha hii tabia ndio maana hawapendwi na nchi za kiislam pia wanatabia za udokozi udokozi
nadhani wanaonekana wavivu kwasababu hawana opportunities za kufanya kazi zao na kupata pesa. juzi hapa ulisikia kuwa israel inataka kucancel work permits, kumbe wengi ni vibarua kwa wayahudi, hata hayo majengo waisrael wanajenga kwenye maeneo wamevamia westbank, wapalestina ndio wakoroga zege na saidia fundi. kwa hapo nadhani tunatakiwa kuwaelewa kwamba hawana opportunities za kujitegemea kama tulizonazo sisi hapa kwasababu ya mazingira waliyo nayo. ningekuwa huko mimi hata nyumba nisingejenga, kwasababu unajenga afu inakuja kubomolewa any time na hakuna bima kwamba nitalipwa.
 
Arabs wa Gaza wana enjoy misaada katika maisha yao hawapendi kufanya kazi.. wavivu mno wala haitaisha hii tabia ndio maana hawapendwi na nchi za kiislam pia wanatabia za udokozi udokozi
Unawaonea wivu na wewe unataka?
 
Hata kule Syria kulitokea vita miaka kadhaa nyuma wananchi wakawa wanatimkia kwa wala kitimoto Germany, wakairuka Turkey kwa waarab wenzao.
Na sababu ya kufanya hivyo ni ipi ni kwamba walifuata kitimoto huko au walifuata ukafiri?
 
Back
Top Bottom