Rwanda yatuma majeshi yake mpakani na nchi ya DRC Congo, yasema iko tayari kwa vita!

Mnamkuza huyo PK bila sababu yoyote. Kanchi kapo kama Wilaya ya Sikonge Mkoa wa Tabora then mnakasifia na kumsifia huyo Rais ambaye cancer inamla. Pia kwani kuna kitu gani special amelifanya humu duniani hadi mnampamba na kumfanya unique zaidi ya kuua wapinzani wake? Huo ujasusi mnaomsifia ameifanya wapi?

Binafsi nawaunga mkono Wakongo kwani wanateseka bila sababu sasa Vijana wameamua kuingia mtaani kujitetea na kuitetea nchi yao toka kwa wapuuzi kama huyo mzee.
 
Ningekua ni Mimi DRC ,kwanza ningeimalisha taasisi yangu ya ujasusi wa nje iwe na uwezo wa kutengeneza tension within Rwanda kati ya Serikali ya Kagame na wapinzani wake (hasa wahutu) ,wakianza vurugana kazi yangu kuwaongezea nguvu wapinzani.
 
Sema wakongo nao wamechachamaa naona patawaka moto si mda mrefu... kainchi km mkoa kanasumbua nchi kubwaaaaaa...wakongo nyinyi amsheni vita wahutu watakua upande wenu watamalizana nae maana wanamachungu wanashindwa ni wapi wapumulie
Kuna makundi mengi yapo tayari kuwa bega kwa bega na Congo, kama AK47, mizinga n.k hata sisi tutawapa.
 
Vikundi vya uasi dhidi ya Kagame vipo vingi sana, Congo wakinukishe tu, hata sisi tutawapa Mizinga.
 
Naona tshekeledi alikuja kuchukua madini last week, Rwanda inaharibi utulivu wa East Africa, let's see
Madini gani wkt alipotoka tu Huku kufika Congo tu wanajeshi wake wamepewa kichapo heavy mpk eneo lao jingine likachukuliwa,ili kuficha aibu na kubadili upepo wa kisiasa Tshisekedi akaona amfukuze huyo balozi.Akikaa Vibaya na Goma itachukuliwa.

Congo Ina tatizo la Uongozi,Hakuna Uzalendo kwa nchi Yao,Rushwa etc

Yaani maeneo yako yanachukuliwa na waasi Muda huo rais Yuko na viongozi wake Kinshasa(Stampede) kwny shoo kubwa ya fally Ipupa wanakula zao Maisha.

A Failed State.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…