Mwl Athumani Ramadhani
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,280
- 2,522
Amani itawale kwakweli!kule Ukraine na urusi huku Rwanda na Congo!
Tumechoshwa!!
Tumechoshwa!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana wewe ni mwalimu wa UPE with very low IQ. Sasa kiwanda cha kuassemble magari kinahusiana vipi na ujasusi unaomsifia nacho?MKUU
MIMI simkuzi Bali,naisifu Akili yake tu!!
Angalau ana kiwanda cha magari sisi hatuna na KAZI yetu unaijua! Ni kupambania chama tu badala ya maendeleo!
EAC imejaa marais wanafiki sana. Wakienda Congo wanaongea hivi wakienda Rwanda wanaongea vingine.Wakuu ni kwamba kagame kashindikana kabisa au ni nchi hazijaamua tu kumvalia njuga?
Kwamba kumuonya?EAC imejaa marais wanafiki sana. Wakienda Congo wanaongea hivi wakienda Rwanda wanaongea vingine.
Hawana uchungu na Wacongo wanaoteseka. Hivi Museveni au Samia wana uwezo wa kumuonya Kagame?! Never!
Cha Kwetu kiko wapi!!?Inaonekana wewe ni mwalimu wa UPE with very low IQ. Sasa kiwanda cha kuassemble magari kinahusiana vipi na ujasusi unaomsifia nacho?
Wanamuopa balaa, KAGAME THE BLOOD SUCKER!Kwamba kumuonya?
Yaani unaanzaje kumuonya?Kwa kumtishia Kwamba ntakupiga au ntakufanya Nini?Wanamuopa balaa, KAGAME THE BLOOD SUCKER!
Anywas,.....Wanajeshi wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa walijeruhiwa Jumamosi kutokana na shambulizi la kundi la waasi wa M23 katika sehemu ya Kiwanja, Rutshuru, Kivu Kaskazini.
Waasi wa M23 wamekataa kuondoka mji wa Bunagana licha ya viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuwataka kuondoka sehemu hiyo na kuacha mapigano.
source: Voice of America
Mikwara ya mdomo, vikao vya jumuiya kama alivyofanya Kenyata na vikwazo vya biashara/uchumi na kufunga mipaka. Vita ni option ya mwisho.Yaani unaanzaje kumuonya?Kwa kumtishia Kwamba ntakupiga au ntakufanya Nini?
Gari la walinda amani huko Congo(MONUSCO) lilianguka,likakutwa na magunia ya mchanga wa madini.Anywas,
Hili suala la waasi kuwashambulia walinda amani ni wazi kwamba hao walinda amani wapo na mission ya looting resourcea za DRC
M23 seems wanapambana na serikali na wezi wa mali za Kongo
Duuh hii Ni hatar sanaGari la walinda amani huko Congo(MONUSCO) lilianguka,likakutwa na magunia ya mchanga wa madini.
Hivyo ndivyo MONUSCO wanavyolinda amani huko Congo.View attachment 2403378
Sio kila nchi Ni Superpower Kama ilivyo Marekani/EU zinazoweza kutoa sanctions tu kwa jinsi zinavyoamua.Nchi zetu Ni maskini hizi na zina matatizo yake ya ndani kibao tu.Na Marais wa Jumuia wao Wenyewe Wana Vita vyao vya kiuchumi/kijeshi/kisiasa.Mfano Tanzania vs Kenya, Uganda vs Rwanda(imepoa kidogo), Burundi vs Rwanda etcMikwara ya mdomo, vikao vya jumuiya kama alivyofanya Kenyata na vikwazo vya biashara/uchumi na kufunga mipaka. Vita ni option ya mwisho.
JWTZ iliwafurusha M23 Kabila akiwa nani pale DRC?"Mbona wakati wa joseph kabila akiwa kitalani hakukuwa na hizo!!?
Anatetea nchi yake, ni ujinga kuacha kanchi ka ajabu (Rwanda) kaisumbue nchi kubwa (DRC)Ya ngoswe mwachie ngoswe.....
Ikibidi askari waliopo congo warudi makwao maana tshekedi anaona kama vile anaiweza vita na pia anatumia mwanya huo kutuchonganisha..
Wamuachie tu apambane kivyake sisi tuwe observer
Kiwanda cha kutengeneza au kuunganisha?MKUU
MIMI simkuzi Bali,naisifu Akili yake tu!!
Angalau ana kiwanda cha magari sisi hatuna na KAZI yetu unaijua! Ni kupambania chama tu badala ya maendeleo!
Kipo Nyumbu cha JWTZCha Kwetu kiko wapi!!?
Ku assemble sio cha kutengeneza kabisa!!?
Hawezi, hajawahi na hatawahi.Huwezi amini na jeshi letu la kuvunja matofali, Rwanda anaweza kututoa kamasi....