Awajengee nyumba ya mil 400 aliyo ibomoa na kujenga hilo ghorofa. Njia halali na raisi ni kukaa nao mezani apewe hisa awe mmoja wa wamiliki. Sema hapo kuna kugeulana mbeleni vifo vya ghafla kuibiana nyaraka hila za kibiashara kurubuni wana hisa kuuza hisa zao n.k vinaweza kutamalaki😎😎😎Aombe mapitio ili mahakama iamuru waliokuwa wamiliki wa awali ambao wamerudishiwa umiliki wao wamlipe gharama za jengo au aruhusiwe kulivunja jengo lake ili wao wabaki na kiwanja chao.
Haruhusiwi, ni jambo lisilo na faida yoyote kwake na ni kuhujumu uchumi wa taifa!Je mwenyewe aliyejenga akiamua kuivunja vp?
Sheria ina mruhusu
Ova
Kwa Kariakoo bado haikuwa hela kubwa kihivyo... milioni 105 mwaka 2001 (20 yrs ago) was a hell of money!
Mahakama hizohizo zìnakosea. Km siyo Mahakama ya Rufani, bado chochote kinaweza tokea... benki hawawezi kuendesha mnada bila idhini ya mahakama nadhani. Lazima shauri lipelekewe mahakamani kwamba umeshindwa kulipa mkopo wao kwa mujibu wa mkataba (umekiuka mkataba) then mahakama itatoa hukumu ya nyumba yako kuuzwa. So, mnunuzi atakuwa ameinunua kwa utaratibu sahihi kuja kumgeuka itakuwa ngumu sana.
Ni kweli, wao wamemwaga ugali, yeye amwage mboga ili wite wakose, ingawa hapo panawaka moto, hawezi kutia mguu tena!Jamaa atoe jengo lake na amwachie kiwanja ndugu pazi na kesi iishie hapo
Isingekuwapo mahakama ya rufaa, haki ilikuwa imeshapotea!Huwa inapotea wakati mwingine
Bure/Rahisi ni gharama!Milioni 105 angeweza kupata kiwanja njia ya Tegeta na kujenga kwa nafasi, mji unapanuka. Pole zake.
Kariakoo ni low density! Mbona majengo yanapigana mabusu!Mmh mbona kama hiyo hera ni ndogo sana kupata kiwanja cha low density pamoja na kukijenga....
Kuna jengo limeungua moto mara kadhaa na wanunuzi kadhaa wamefariki punde baada ya kulinunua, lipo mtaa wa uhindini Dodoma linapakana na Studio za TBC Dodoma, unaweza kujaribu bahati yako mkuu. Nenda ukathubutuNadhani hii ni imani tu. Watu wanaoshindwa kulipa madeni wamekuwa wanavumisha hivyo ili nyumba zao zikose wanunuzi. Mnunuaji huna kosa lolote kama taratibu zimefuatwa. BTW siku za nyuma nilikuwa naulizia members hapa kama kuna mtu yeyote anayejua nyumba yenye mauzauza yoyote kama majini nk naomba awasiliane na mimi ili nikalala kwenye hiyo nyumba lakini sikupata mrejesho. Nadhani hukuona hilo ombi.
Nje ya mada, kwa wenye uelewa: Hivi entity kama benki ikiendesha mnada wa nyumba ya mtu aliyeshindwa kulipa deni na mahakama baadae ikasema mnada ulifanyika ndivyo sivyo, hivyo nyumba inatakiwa irudi kwa wenyewe, mimi mnunuzi nitapoteza? Gharama zangu nani atalipa na hasa kama nimeshaendeleza?
Ukinunua nyumba ya familia ni lazima ridhaa ya wote kimaandishi iwepo.Wakuu habari. Hiyo hoja ya wanahisa 6/7 kutokushirikishwa katika uuzwaji imenipa darasa kubwa sana, hili inabidi iwe angalizo kwetu sote.