S.H Amon apoteza jengo la ghorofa nane Kariakoo

S.H Amon apoteza jengo la ghorofa nane Kariakoo

Nadhani hii ni imani tu. Watu wanaoshindwa kulipa madeni wamekuwa wanavumisha hivyo ili nyumba zao zikose wanunuzi. Mnunuaji huna kosa lolote kama taratibu zimefuatwa. BTW siku za nyuma nilikuwa naulizia members hapa kama kuna mtu yeyote anayejua nyumba yenye mauzauza yoyote kama majini nk naomba awasiliane na mimi ili nikalala kwenye hiyo nyumba lakini sikupata mrejesho. Nadhani hukuona hilo ombi.
Ipo nyumba hapa Ilala mtaa wa Pangani ina majini na wenyewe ni Waarab wameikimbia, na inasemekana hayo majini yana tabia kama za Popobawa yani lazima ubakwe.
Na kama upo tayari nicheki inbox nikuunganishe ukalale kwa wiki moja mkuu.
 
N
Sauli ana option mbili baada ya rufaa kufungwa.
1.Awaite wahusika wabargain awape pesa watakayo. Au pesa na nyumba hata tatu tatu ya kuishi na ya kupanga
2.Aondoe jengo lake awaachie uwanja wao.

Na awajengee nyumba aliyoibomoa. Pia usumbufu wa miaka ishirini.
 
Allah kareem, haki ya m2 haipotei,,,hongera sana ustazi kwa kupambana kudai haki yako,,hatimae umeshinda,,al hamdulilahi
 
Ipo nyumba hapa Ilala mtaa wa Pangani ina majini na wenyewe ni Waarab wameikimbia, na inasemekana hayo majini yana tabia kama za Popobawa yani lazima ubakwe.
Na kama upo tayari nicheki inbox nikuunganishe ukalale kwa wiki moja mkuu.
Wapeni walokole bure wasali humo na kulala humo mwezi sita tu .Hakikisheni wanasali na wanalala.Wekeni hata walinzi nje

Hiyo nyumba itakuwa vizuri ndani ya miezi sita bila shida
 
Wapeni walokole bure wasali humo na kulala humo mwezi sita tu .Hakikisheni wanasali na wanalala.Wekeni hata walinzi nje

Hiyo nyumba itakuwa vizuri ndani ya miezi sita bila shida
Walokole gani mkuu unaowakusudia?
 
Nje ya mada, kwa wenye uelewa: Hivi entity kama benki ikiendesha mnada wa nyumba ya mtu aliyeshindwa kulipa deni na mahakama baadae ikasema mnada ulifanyika ndivyo sivyo, hivyo nyumba inatakiwa irudi kwa wenyewe, mimi mnunuzi nitapoteza? Gharama zangu nani atalipa na hasa kama nimeshaendeleza?

Daaah umeuliza swali zuri sana, ingawa watu hawajui kuwa hata Bank wanaweza kufanya makosa ya kuuza au kufanya mnada wa nyumba kimakosa hata kama ilikuwa na kesi mahakamani. Jibu: Ukinunua nyumba ya mnada wa bank na baadae mahakama ikasema nyumba irudi kwa mwenyewe basi bank itakurudishia gharama zako na pia itakuwa faida kwako bcz bank zinapesa kuliko kununua kwa mtu binafsi… nilishawai kuona sehemu mtu anarudishiwa pesa zake baada ya mteja kushinda rufaa ya kesi kupinga mnada wa Bank baada ya bank kushinda kesi ya kuomba kuuza mali ya mteja aliyeshindwa mkopo.
 
Ila hapa sijaelewa Hawa wanapewaje nyumba (ghorofa) ikiwa wao walikuwa wamiliki wa kiwanja na nyumba ya zaman (ndogo)
 
Mungu ni mwema sana.
Hivi ndivyo haki inavyokua haipotea, ingawa inaweza tu ikacheleweshwa.
Miaka kuanzia ya 2014 kurudi nyumba, wafanya biashara/wanasiasa walionekana kua wenye mguvu kuliko hata serikali, na hii ndio matokeo ya sheria zilizo pindishwa na wenye fedha/mamlaka enzi hizo
Matajiribkaribu 90% bongo ni wezi na wanyang'anyi
 
Thamani ya nyumba kariakoo sio sawa na Tegeta hata kidogo. Kariakoo wenye nyumba za udongo waliondolewa kwa kuuza hadi B 1
Kwa kipindi kile tegeta ilikuwa inaonekana porini

Ova
 
... benki hawawezi kuendesha mnada bila idhini ya mahakama nadhani. Lazima shauri lipelekewe mahakamani kwamba umeshindwa kulipa mkopo wao kwa mujibu wa mkataba (umekiuka mkataba) then mahakama itatoa hukumu ya nyumba yako kuuzwa. So, mnunuzi atakuwa ameinunua kwa utaratibu sahihi kuja kumgeuka itakuwa ngumu sana.
Je kama kitu kimefanyika miaka 6 iliyopita na sijafatilia nini kitatokea?
 
Back
Top Bottom