Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Hahahaha umenikumbusha simulizi ya BulichekaAchukue jengo lake awaachie uwanja wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha umenikumbusha simulizi ya BulichekaAchukue jengo lake awaachie uwanja wao
Ipo nyumba hapa Ilala mtaa wa Pangani ina majini na wenyewe ni Waarab wameikimbia, na inasemekana hayo majini yana tabia kama za Popobawa yani lazima ubakwe.Nadhani hii ni imani tu. Watu wanaoshindwa kulipa madeni wamekuwa wanavumisha hivyo ili nyumba zao zikose wanunuzi. Mnunuaji huna kosa lolote kama taratibu zimefuatwa. BTW siku za nyuma nilikuwa naulizia members hapa kama kuna mtu yeyote anayejua nyumba yenye mauzauza yoyote kama majini nk naomba awasiliane na mimi ili nikalala kwenye hiyo nyumba lakini sikupata mrejesho. Nadhani hukuona hilo ombi.
S H Amon darasa la saba sema hujifanya mjuaji kwa kuwa ana pesa .Angeshirikisha wasomiMali za urithi bora mkafanye biashara mahakamani au kupitia mawakili
Ukitaka urahisi utakuja kulia
Ova
Chini ya serikali ya ccmMaeneo yanayoongoza kwa utapeli wa viwanja Dar es salaam ni kariokoo na Bunju
Unatakiwa ujiridhishe hasa sio utani
Sauli ana option mbili baada ya rufaa kufungwa.
1.Awaite wahusika wabargain awape pesa watakayo. Au pesa na nyumba hata tatu tatu ya kuishi na ya kupanga
2.Aondoe jengo lake awaachie uwanja wao.
Kufikia hapo tambua madawa yamekwisha nguvuHiyo nyumba itasababisha kurogana, mauzauza na vifo vya watu wengi sana
Wapeni walokole bure wasali humo na kulala humo mwezi sita tu .Hakikisheni wanasali na wanalala.Wekeni hata walinzi njeIpo nyumba hapa Ilala mtaa wa Pangani ina majini na wenyewe ni Waarab wameikimbia, na inasemekana hayo majini yana tabia kama za Popobawa yani lazima ubakwe.
Na kama upo tayari nicheki inbox nikuunganishe ukalale kwa wiki moja mkuu.
Jeuri ya pesa ya wabunge wa ccm.
Lakini huyu landmark hotel ana majengo mengi Sana nchini,awaaachie tu wanafamilia nao wale
Walokole gani mkuu unaowakusudia?Wapeni walokole bure wasali humo na kulala humo mwezi sita tu .Hakikisheni wanasali na wanalala.Wekeni hata walinzi nje
Hiyo nyumba itakuwa vizuri ndani ya miezi sita bila shida
Nje ya mada, kwa wenye uelewa: Hivi entity kama benki ikiendesha mnada wa nyumba ya mtu aliyeshindwa kulipa deni na mahakama baadae ikasema mnada ulifanyika ndivyo sivyo, hivyo nyumba inatakiwa irudi kwa wenyewe, mimi mnunuzi nitapoteza? Gharama zangu nani atalipa na hasa kama nimeshaendeleza?
Huyu utajiri kaupatia mbaliS H Amon darasa la saba sema hujifanya mjuaji kwa kuwa ana pesa .Angeshirikisha wasomi
Matajiribkaribu 90% bongo ni wezi na wanyang'anyiMungu ni mwema sana.
Hivi ndivyo haki inavyokua haipotea, ingawa inaweza tu ikacheleweshwa.
Miaka kuanzia ya 2014 kurudi nyumba, wafanya biashara/wanasiasa walionekana kua wenye mguvu kuliko hata serikali, na hii ndio matokeo ya sheria zilizo pindishwa na wenye fedha/mamlaka enzi hizo
Kwa kipindi kile tegeta ilikuwa inaonekana poriniThamani ya nyumba kariakoo sio sawa na Tegeta hata kidogo. Kariakoo wenye nyumba za udongo waliondolewa kwa kuuza hadi B 1
Je kama kitu kimefanyika miaka 6 iliyopita na sijafatilia nini kitatokea?... benki hawawezi kuendesha mnada bila idhini ya mahakama nadhani. Lazima shauri lipelekewe mahakamani kwamba umeshindwa kulipa mkopo wao kwa mujibu wa mkataba (umekiuka mkataba) then mahakama itatoa hukumu ya nyumba yako kuuzwa. So, mnunuzi atakuwa ameinunua kwa utaratibu sahihi kuja kumgeuka itakuwa ngumu sana.
Hata sasa hawagusiki...hii familia imebahatisha tu.Miaka 20 mingi sana acha wafaidike,Hawa viongozi wengi wa CCM walikuwa waporaji wakiamini hawagusiki.