mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Wengi dhulmaMatajiribkaribu 90% bongo ni wezi na wanyang'anyi
Maisha yao ni kulalia wenzao
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi dhulmaMatajiribkaribu 90% bongo ni wezi na wanyang'anyi
kweli aiseeJe mwenyewe aliyejenga akiamua kuivunja vp?
Sheria ina mruhusu
Ova
Inawezekana ndugu wenyewe walusuka hilo diliHuyu utajiri kaupatia mbali
Tik taka kacheza sana
Bado ile mentality wanakuwa nayo
Angeshirikisha msomi hya yasingetokea
Ova
Mwenye kiwanja akagoma unafanyajeMmoja ana jengo mwingine ana uwanja wakae tu chini waungane wafanye business plan jinsi ya kugawana mapato
Unachukua jengo lako kumkomoa.Mwenye kiwanja akagoma unafanyaje
Maamuzi ya mahakama ndio yamesema hivyo? Soma tena hukumuUnachukua jengo lako kumkomoa.
Ndo faida ya majengo ya vyuma faida yake kama hio unafungua unahamisha kwingine
Kwa sasa maeneo ya Kerege, mapinga. Sio sehemu ya kununua viwanja kwa mtu...kuwa makini.Maeneo yanayoongoza kwa utapeli wa viwanja Dar es salaam ni kariokoo na Bunju
Unatakiwa ujiridhishe hasa sio utani
Uko sahihiKwa sasa maeneo ya Kerege, mapinga. Sio sehemu ya kununua viwanja kwa mtu...kuwa makini.
Wapeni walokole bure wasali humo na kulala humo mwezi sita tu .Hakikisheni wanasali na wanalala.Wekeni hata walinzi nje
Hiyo nyumba itakuwa vizuri ndani ya miezi sita bila shida
Kila kilichopo ni mali yao kwakuwa kinachotambulika hapo sio nyumba bali ni kiwanja..Ila hapa sijaelewa Hawa wanapewaje nyumba (ghorofa) ikiwa wao walikuwa wamiliki wa kiwanja na nyumba ya zaman (ndogo)
Wazungu walitudhulumu sana wakageuza babu zetu kuwa watumwa sioni karma ikiwachapaDhuruma ni dhambi yenye karma mbaya sana MUNGU wetu sote.
Nani kakwambia jamaa akiamua anaweza akavunja akachukua material zake za ujenzi usikariri akabaki kumuachia jamaa kiwanja chakeHaruhusiwi, ni jambo lisilo na faida yoyote kwake na ni kuhujumu uchumi wa taifa!
Mbona wamesema na uwekezaji wote uliofanyika kwenye kiwanja. Rejea taarifa ya mleta madaUmekosea kuripoti, hajarudishiwa nyumba ni amerudishiwa kiwanja, hivyo SH Amin, yuko free kuyachukua majengo yake, hivyo jamaa kubaki na kiwanja chake kirudishwe ile nyumba aliyoinunua.
P
Na kuchelewa huku kwa haki kumewafanya watu wengi kupoteza mali zao na kuishia kusema "tunamwachia Mungu"Mungu ni mwema sana.
Hivi ndivyo haki inavyokua haipotea, ingawa inaweza tu ikacheleweshwa.
Miaka kuanzia ya 2014 kurudi nyumba, wafanya biashara/wanasiasa walionekana kua wenye mguvu kuliko hata serikali, na hii ndio matokeo ya sheria zilizo pindishwa na wenye fedha/mamlaka enzi hizo
Hapo akianza kubomoa tu kichwani atafakari namna ya kuwaonyesha nyumba yao ya awali ambayo kimsingi alishaibomoaJe mwenyewe aliyejenga akiamua kuivunja vp?
Sheria ina mruhusu
Ova
Hiyo ni kesi nyingine na ninaweza kusema kwamba huo ni uzembe kwenye swala mtambuka...Na kuchelewa huku kwa haki kumewafanya watu wengi kupoteza mali zao na kuishia kusema "tunamwachia Mungu"