mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Sasa nmeielewa mkuuSoma habari vizuri, Wadai waliomba mahakama itambue wao ndio wamiliki halali WA kiwanja na nyumba iliypjengwa humo
Inaonekana kuna figisu walifanyiwa
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa nmeielewa mkuuSoma habari vizuri, Wadai waliomba mahakama itambue wao ndio wamiliki halali WA kiwanja na nyumba iliypjengwa humo
Asante sana. Nadhani uko sahihi.... benki hawawezi kuendesha mnada bila idhini ya mahakama nadhani. Lazima shauri lipelekewe mahakamani kwamba umeshindwa kulipa mkopo wao kwa mujibu wa mkataba (umekiuka mkataba) then mahakama itatoa hukumu ya nyumba yako kuuzwa. So, mnunuzi atakuwa ameinunua kwa utaratibu sahihi kuja kumgeuka itakuwa ngumu sana.
Unaonekana Tegeta umepapenda.Milioni 105 angeweza kupata kiwanja njia ya Tegeta na kujenga kwa nafasi, mji unapanuka. Pole zake.
Hata kama utalipwa hela utayopewa ni sawa na hasara,miaka 20 ni mingi inflation lazima ile kwako.Nje ya mada, kwa wenye uelewa: Hivi entity kama benki ikiendesha mnada wa nyumba ya mtu aliyeshindwa kulipa deni na mahakama baadae ikasema mnada ulifanyika ndivyo sivyo, hivyo nyumba inatakiwa irudi kwa wenyewe, mimi mnunuzi nitapoteza? Gharama zangu nani atalipa na hasa kama nimeshaendeleza?
Umekosea kuripoti, hajarudishiwa nyumba ni amerudishiwa kiwanja, hivyo SH Amin, yuko free kuyachukua majengo yake, hivyo jamaa kubaki na kiwanja chake kirudishwe ile nyumba aliyoinunua.
P
Binafsi huwa sio muumini wa kununua mali za mnada, hazina baraka aisee kuna nyumba ilinunuliwa kwa bei chee baada ya bank kupiga mbada matokeo hiyo nyumba mpaka leo haikai mtu aliyenunua ameshindwa kukaa wanaopanga wanaondoka bila kumaliza kodiFedha zangu zinitese bila kosa lolote!
Haina hata tangawizi🥲Kuna jamaa alitaka kuniuzia Hilo jengo alisema 6.5b mie namwambia achukue 4 akakataa. Tukaishia Hapo. Afadhali ukosefu wa hela wangu uliniokoa na ambavyo sipendi kesi
Milioni 105 angeweza kupata kiwanja njia ya Tegeta na kujenga kwa nafasi, mji unapanuka. Pole zake.
Mungu ni mwema sana.
Hivi ndivyo haki inavyokua haipotea, ingawa inaweza tu ikacheleweshwa.
Miaka kuanzia ya 2014 kurudi nyumba, wafanya biashara/wanasiasa walionekana kua wenye mguvu kuliko hata serikali, na hii ndio matokeo ya sheria zilizo pindishwa na wenye fedha/mamlaka enzi hizo
Haki huwa haipotei...
Picha tafadhali ya mjengo unaoenda badilika umiliki...
milion 105 ya mwaka 2001Mmh mbona kama hiyo hera ni ndogo sana kupata kiwanja cha low density pamoja na kukijenga....
Yeye alikosea akanunua nyumba makusudi akijua kuna shauri mahakamani. Pia Ile aliyoivunja na Mali zao zilizokuwa ndani Kwa miaka ishirini fidia yake ni ipi?Aombe mapitio ili mahakama iamuru waliokuwa wamiliki wa awali ambao wamerudishiwa umiliki wao wamlipe gharama za jengo au aruhusiwe kulivunja jengo lake ili wao wabaki na kiwanja chao.
YesHata hii ya hapa TUKUYU?
Haiwezekani hata kukanyaga eneo hilo tena maana huyo keshatokewa hapo moja kwa moja! Akijanyaga tu hapo anapigiwa kelele za mwizi!Je mwenyewe aliyejenga akiamua kuivunja vp?
Sheria ina mruhusu
Ova
Nilipanga kusoma bila kuchangia huu uzi mpaka nilivyoshtuka mtu mwenye B's akichangia JfKuna jamaa alitaka kuniuzia Hilo jengo alisema 6.5b mie namwambia achukue 4 akakataa. Tukaishia Hapo. Afadhali ukosefu wa hela wangu uliniokoa na ambavyo sipendi kesi
Nadhani hii ni imani tu. Watu wanaoshindwa kulipa madeni wamekuwa wanavumisha hivyo ili nyumba zao zikose wanunuzi. Mnunuaji huna kosa lolote kama taratibu zimefuatwa. BTW siku za nyuma nilikuwa naulizia members hapa kama kuna mtu yeyote anayejua nyumba yenye mauzauza yoyote kama majini nk naomba awasiliane na mimi ili nikalala kwenye hiyo nyumba lakini sikupata mrejesho. Nadhani hukuona hilo ombi.Binafsi huwa sio muumini wa kununua mali za mnada, hazina baraka aisee kuna nyumba ilinunuliwa kwa bei chee baada ya bank kupiga mbada matokeo hiyo nyumba mpaka leo haikai mtu aliyenunua ameshindwa kukaa wanaopanga wanaondoka bila kumaliza kodi
[emoji23][emoji23][emoji23]Haina hata tangawizi🥲
Hebu tuonyeshane hizi nyumba.Binafsi huwa sio muumini wa kununua mali za mnada, hazina baraka aisee kuna nyumba ilinunuliwa kwa bei chee baada ya bank kupiga mbada matokeo hiyo nyumba mpaka leo haikai mtu aliyenunua ameshindwa kukaa wanaopanga wanaondoka bila kumaliza kodi
Hiyo haipo kisheria, yaani mahakama ya rufani imeshaamua, hakuna mapitio tena maana hadi kutoa hiyo hukumu mahakama ilishapitia.Aombe mapitio ili mahakama iamuru waliokuwa wamiliki wa awali ambao wamerudishiwa umiliki wao wamlipe gharama za jengo au aruhusiwe kulivunja jengo lake ili wao wabaki na kiwanja chao.