Saa 1 na dakika 11 usiku hapa Mbeya jua bado linawaka

Saa 1 na dakika 11 usiku hapa Mbeya jua bado linawaka

Kama Elimu yako ni kidato cha nne ungejiuliza na kupata majibu mwenyewe... Any way ntaleta sababu za hili swala na picha kwa evidence but niko busy kwa leo.. Asante
 
Kama Elimu yako ni kidato cha nne ungejiuliza na kupata majibu mwenyewe... Any way ntaleta sababu za hili swala na picha kwa evidence but niko busy kwa leo.. Asante
 
Kama Elimu yako ni kidato cha nne ungejiuliza na kupata majibu mwenyewe... Any way ntaleta sababu za hili swala na picha kwa evidence but niko busy kwa leo.. Asante
Kama umeweza kuingia humu na kucomment,ni ubize gani huo unaousema mkuu?
 
Saa 1:12 Jioni Mbeya
20230209_191205.jpg
 
Niko mbeya,hapa ni saa moja usiku kwa mujibu wa saa yangu ila bado jua linawaka,nimewasliana na mtu yuko dar ananiambia wao huko giza tayari na wako wanakula supper.
Kwa nini kuna tofauti hii ya kuzama kwa jua kati ya mikoa hii miwili?

Kawaida hiyo kwa mikoa iliyopo magharibi mwa Tanzania kama Kigoma, Kagera, Katavi, Rukwa, Mbeya, Songwe na baadhi ya maeneo ya Njombe...tena ndio kwanza kuna raia mida hiyo wapo huru hata kuanika nguo 🤣🤣

Kuna picha nishawahi weka kwenye uzi wa road trip...moja jioni ni kweupe kama 12 kasoro ya Dar au Pwani...
 
Ni kweli kabisa, ndio maana Zambia wapo nyuma saa 1.
 
Kawaida hiyo kwa mikoa iliyopo magharibi mwa Tanzania kama Kigoma, Kagera, Katavi, Rukwa, Mbeya, Songwe na baadhi ya maeneo ya Njombe...tena ndio kwanza kuna raia mida hiyo wapo huru hata kuanika nguo 🤣🤣

Kuna picha nishawahi weka kwenye uzi wa road trip...moja jioni ni kweupe kama 12 kasoro ya Dar au Pwani...
Nilikuwa Kigoma mwezi wa 8, nikarekodi muda wa jua kuzama, kule jua linazama saa 6:53 iweje Mbeya lizame saa 7:13 wakati Kigoma ndio Magharibi zaidi?
 
Nilikuwa Kigoma mwezi wa 8, nikarekodi muda wa jua kuzama, kule jua linazama saa 6:53 iweje Mbeya lizame saa 7:13 wakati Kigoma ndio Magharibi zaidi?
Majira ya mwezi wa nane hayafanani na sasa. Kama lilizama 6:53 basi Mbeya lilizama mapema zaidi. Kama leo Mbeya limezama 7:13 basi huko Kigoma lilichelewa zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sunrise and sunset

Mawio na Machweo
Mikoa ya Pwana au ukanda wa pwani Lindi,Mtwara,Zenji ,morogora na Dan kote huko jus lipo tatizo.
 
Niko mbeya,hapa ni saa moja usiku kwa mujibu wa saa yangu ila bado jua linawaka,nimewasliana na mtu yuko dar ananiambia wao huko giza tayari na wako wanakula supper.
Kwa nini kuna tofauti hii ya kuzama kwa jua kati ya mikoa hii miwili?
Nyanda za juu kusini hizo
 
Niko mbeya,hapa ni saa moja usiku kwa mujibu wa saa yangu ila bado jua linawaka,nimewasliana na mtu yuko dar ananiambia wao huko giza tayari na wako wanakula supper.
Kwa nini kuna tofauti hii ya kuzama kwa jua kati ya mikoa hii miwili?
Wakati wenzako tunamsikiliza mwalimu,wewe ulikuwa unaweka kioo chini ya madawati uangalie chupi za wadada.
 
Wakati wenzako tunamsikiliza mwalimu,wewe ulikuwa unaweka kioo chini ya madawati uangalie chupi za wadada.
Ndio ni kweli kabisa msomi, sasa mbona hujatoa jibu umeishia kunidhihaki tu ndugu msomi?
 
Ha ha, yani hapo ni jiografia tu tena ile basic kabisa ya shule ya msingi darasa la 5 au 6 unapata majibu yote...
Sasa mbona hamtoi majibu nyie wasomi,mmeishia tu kusema mara sijui geography ya darasa la 3 mara darasa la 6 na 5 ila majibu hamtoi.
 
Back
Top Bottom