Watoto wapate elimu boraKwani katiba inasemaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoto wapate elimu boraKwani katiba inasemaje?
Ukija Swax pitia hapa Safari bar tubadilishane mawazo kidogoNiko Nkasi, Kacheche ni bado kweupee
Saa moja si usiku ni jioni, usiku unaanza saa mbili, pia hayo ni majira ya mwaka ndiyo yanayosababisha hilo. Kuna kipindi mchana mkubwa kuliko usiku, utajua unapoona kunawahi kupambazuka na kuchelewa kuingia giza.Niko Mbeya, hapa ni saa moja usiku kwa mujibu wa saa yangu ila bado jua linawaka. Nimewasiliana na mtu yuko Dar ananiambia wao huko giza tayari na wako wanakula supper.
Kwanini kuna tofauti hii ya kuzama kwa jua kati ya mikoa hii miwili?
Niko Mbeya, hapa ni saa moja usiku kwa mujibu wa saa yangu ila bado jua linawaka. Nimewasiliana na mtu yuko Dar ananiambia wao huko giza tayari na wako wanakula supper.
Kwanini kuna tofauti hii ya kuzama kwa jua kati ya mikoa hii miwili?
Huko ulaya na dunia ya kaskazini au kusini kuna msimu hadi saa 4 usiku jua bado lipo. Ngoja waje wataalam wa jiografia kukuelimisha.😳jaman🙌
Jana hakukuwa na Jua hiyo saa 1 ndo maana nikashangaaHuko ulaya na dunia ya kaskazini au kusini kuna msimu hadi saa 4 usiku jua bado lipo. Ngoja waje wataalam wa jiografia kukuelimisha.
Nyanda za juu kusini hizo
Yanga bado mechi 6 atangazwe Bingwa.Jamani akuna mwenye taharifa ya msimamo wa ligi kuu
Alitakiwa kueleza huko shule amefundishwa nini kuhusu mbeya, maana hata vitabu vya kufundishia vinatofautiana kulingana na nyakati.Ndio sikuwahi kukanyaga shule kabisa mkuu,nipe elimu,acha story.
Sema sisi Watanzania tunajifanya tumesomaa, ila hatuelimika, kwa mfano nyie wasomi hamjui kuwa siyo kila mtanzania, aliyesoma shule anayajua kila mazingira ya Kitanzania.Nenda memkwa kwanza