Saa 1 na dakika 11 usiku hapa Mbeya jua bado linawaka

Saa 1 na dakika 11 usiku hapa Mbeya jua bado linawaka

Niko Mbeya, hapa ni saa moja usiku kwa mujibu wa saa yangu ila bado jua linawaka. Nimewasiliana na mtu yuko Dar ananiambia wao huko giza tayari na wako wanakula supper.

Kwanini kuna tofauti hii ya kuzama kwa jua kati ya mikoa hii miwili?
Hivi ni kweli bado unauliza, chukua tufe, mulika uoande mmoja halafu mwingine ubakixbila mwabga, halafu jijibu mwenyewe
 
Greenwich Meridian is Longitude Zero.
Mashariki au Magharibi mwa Greenwich hufanya jua kuwahi kuzama ama Kuchelewa.

Viewed from above:

Dunia ni moja na tofauti ya masaa kati ya sehemu na sehemu ni kwa sababu ya utofauti wa coordinates za Longitudes.

Simply put,Kwenda mashariki Long 15degrees hupunguza lisaa na magharibi kunaongeza lisaa.

Tofauti ya long less than 15 au hata ya moja inaweza isionekane hadi kwa close observation- Seconds.
 
Nipo Manyovu hapa jua linazama saa 2:30 usiku huku majira ni Africa Magharibi
 
Niko Mbeya, hapa ni saa moja usiku kwa mujibu wa saa yangu ila bado jua linawaka. Nimewasiliana na mtu yuko Dar ananiambia wao huko giza tayari na wako wanakula supper.

Kwanini kuna tofauti hii ya kuzama kwa jua kati ya mikoa hii miwili?
Wakati sir Mwakisyala au madam Mwakalinga wanafundisha concept ya rotation ya Earth on its axis we ulikua unasugua mkono kunusa mavi ya kuku au siyo kyagata hio inatokana na Dunia kujizungusha kwenye mhimili wake na kusababisha tofauti muda kati ya longitude licha ya kwamba tupo Longitude sawa "45° Mash" lakini baadhi ya maeneo yanatofautiana kidogo suala la muda Kwa mfano eneo la kigoma Ujiji na Mtwara Mikindani wanachukua mda mmoja ila Kigali Rwanda na Kibondo kigoma wanachukua mda tofauti licha ya kuwa jirani sana
 
Nilikuwa Kigoma mwezi wa 8, nikarekodi muda wa jua kuzama, kule jua linazama saa 6:53 iweje Mbeya lizame saa 7:13 wakati Kigoma ndio Magharibi zaidi?
Yani bado Geography inatembea kuna miezi kadhaa ambayo jua linawahi kuzama tofauti na mingine
 
Wakati sir Mwakisyala au madam Mwakalinga wanafundisha concept ya rotation ya Earth on its axis we ulikua unasugua mkono kunusa mavi ya kuku au siyo kyagata hio inatokana na Dunia kujizungusha kwenye mhimili wake na kusababisha tofauti muda kati ya longitude licha ya kwamba tupo Longitude sawa "45° Mash" lakini baadhi ya maeneo yanatofautiana kidogo suala la muda Kwa mfano eneo la kigoma Ujiji na Mtwara Mikindani wanachukua mda mmoja ila Kigali Rwanda na Kibondo kigoma wanachukua mda tofauti licha ya kuwa jirani sana
Bora wewe umeniponda ila umenipa elimu mimi ngumbaru
 
Wakati nchi nyingine huko duniani wakati wa summer jua linawaka mpaka saa nane usiku.. Haya ni mambo ya kawaida tu
Hii kitu inatafakarisha Sana hasa sisi tuliopo mtambaswala
 
Mutakuwa hamfatilii vizuri, siku hizi hata dar jua linazama kwa kuchelewa hata hiyo saa moja mara nyingi bado mwanga wa jua huwepo.
 
Back
Top Bottom