Saa 12 alfajri hadi saa 12 jioni, mtoto wa shule ya msingi anasoma nini kikubwa hivyo huko shuleni?

Saa 12 alfajri hadi saa 12 jioni, mtoto wa shule ya msingi anasoma nini kikubwa hivyo huko shuleni?

Aisee Hili Tatizo kubwa Sana yaani ujue ulichosoma shule ya msingi Kwa Miaka Saba Kwa kiswahili,unaenda kukirudia Secondary Kwa kingereza,ukifika chuo uaply kozi ni Mbingu na ardhi Kwa uliyosoma Shule ya msingi na Secondary
Yaani Kiufupi elimu yetu Haina muunganiko kabisa Kila kitu kinajiendea tu bila mpangilio

Hizi nchi za kiafrika shida kweli kweli!
Shida..
 
Serikali ipige marufuku utaratibu wa kumfanyisha mitihani mwanafunzi siku za jumamosi kufanya mitihani 6 kwa masaa matatu halafu wanasahihisha wanafunzi wenyewe.Upimaji wa namna hii hauna tija
 
Salamu kwenu ndugu.

Ningeomba uzi huu MODS wanisaidie kuusambaza kwa wenye mamlaka.

Sasa hivi kuna kamtindo kameshamiri kwa shule za msingi za serikali kuwachukua wanafunzi na kukaa nao kuanzia saa 12 Alfajr hadi saa 12 jioni... Kwa kisingizio cha kusoma na masomo kuzidi kasi.

Hivi hasa ni nani kawadanganya walimu hawa kuwa MTOTO atafaulu kwa kuwa na muda mrefu wa kusoma?

Hata hizo shule zinazoongoza kwa ufaulu kama ST. FRANCIS ukiangalia kikubwa wanachokisisitiza ni NIDHAMU, Kuanzia kwa walimu mpaka kwa wanafunzi...

Wanazingatia sana ratiba na TEACHING MANUAL(Kama sijakosea) YAANI kila kitu kina wakati wake...sio kwamba wanasoma muda woteee...

Yaani ukiangalia ratiba zao, kuna muda wa kusoma, muda wa kucheza, muda wa kusali na muda wa kupumzika na kulala. NA WANAFANIKIWA.

ILA hizi shule zetu sasa za SERIKALI...wanafanya hivi miaka nenda miaka rudi lakini bado hatujaona hasa nini wamepakipata kwamba walikuwa wanakitafuta.

Yaani kuanzia Saa 12 ASUBUHI hadi saa 12 Jioni KILA SIKU, JUMATATU MPAKA JUMAMOSI Vilevile Kasoro JUMAPILI TU(na KWANINI IWE JUMAPILI TU? Tuseme UDINI ama)...

MUHULA MZIMA WA MIEZI 12...Yaani na LIKIZO VILEVILE wanawaita watoto wasiende likizo nyumbani(na hii tunawashukuru MAWAZIRI UMMY na NDALICHAKO waliliingilia kati suala hili kwa likizo hii).

SWALI LANGU NI;

Je Walimu hawa wanatafuta nini? LENGO LAO NI NINI?

Kama lengo ni kufaulisha, WANATAKA WAFAULISHEJE KWA MTINDO HUU...Mbona matokeo ni yale yale?

Mfano kuna shule iko jirani hapa...MWAKA JANA WAMEFANYA UTARATIBU HUO...Lakini wametoa WANAFUNZI WOTE WAMEENDA SHULE YA KATA ILIYO KARIBU...Hakuna hata mmoja alienda KIPAJI MAALUM...

Ina maana hawafanyi tathmini juu ya mbinu wanazotumia?

Mimi kwa Upande wangu nimeona yafuatayo;-

1. Hii ni dalili ya KUTOKUWAJIBIKA IPASAVYO na UVIVU kwa walimu wetu hawa, Kama hukuweza kufundisha na kumaliza at a given time frame WEWE NI MZEMBE, Hata ukipewa muda mwingi iweje you wont succeed.

2. Ukiwauliza kwanini hivi, watakwambia HIVI NDIVYO TULIVYOKUBALIANA NA WAZAZI KWENYE MKUTANO WA WAZAZI(Huku kwenye mkutano ndipo wanakotumia kupitisha vimichango vyao kwa kisingizio tumekubaliana).

Siri ni hivi...WAZAZI wa zama hizi ni wavivu na hawataki kulibeba jukumu lao la malezi...kwahiyo kukaa na mtoto siku nzima kwao ni AFUENI ya malezi, kwahiyo wazazi na walimu wana malengo tofauti kwa maslahi yao binafsi.

MATOKEO YAKE NI NINI?

1. Mtoto kukosa elimu ya muhimu ya uendeshaji wa maisha yake akiwa mtaani mbali na shule. Watoto wanashinda siku nzima kusoma JIOGRAFIA, HISTORIA YA KINA LIVINGSTONE, HISABATI ZA KKS NA KDS, SAYANSI YA KUMSOMA PANZI...Wanapomaliza masomo na kurudi mtaani, SERIKALI inakuachia mzigo wako mwenyewe TOTO LIMEKUWA JINGA, hata namna ya kuchomeka BULB Ili iwake ATAMWITA FUNDI amfanyie...huku AKILILIA AJIRA YA SERIKALI ili aweze kuifanyia kazi(kuapply) elimu yake ya SAYANSI YA KUMSOMA PANZI na sehemu zake katika maisha yake, wapi aapply HESABU ZA KKS na KDS kwenye maisha...hakuna.

Na sasa hivi sijui kama hata lile somo la STADI ZA KAZI likifundishwa...maana sioni hata watoto wakichonga mifagio ya chelewa kupeleka shuleni...labda ingesaidia...

BILA SHAKA hakuna asiyekubali kuwa kumekithiri yale maneno ya MJIAJIRI kutoka kwa viongozi...hii inathibitisha elimu hii INAYOTOLEWA TOTALLY FAILED

2. NAAMINI TUTAKUBALIANA WOTE KUWA...HAKUNA MAHALA PANAPOHARIBU MAADILI NA TABIA YA MTOTO KAMA SHULENI...

Shuleni hasa za serikali, WANAJAZANA WATOTO WA AINA TOFAUTI WALIOTOKA KWENYE FAMILIA TOFAUTI WENYE MALEZI TOFAUTI NA TABIA TOFAUTI...

Na kwa vile walimu wale wa serikali hawapo pale kurekebisha tabia za mtoto wa mtu...zaidi ya kuhakikisha AMEFUNDISHA ZAKE HESABU ZAKE KUTAFUTA "X"...Huyo mtoto wa mtu hamuhusu na tabia zake mbaya ..

Mwisho wa siku WATOTO wenye tabia mbaya watawaathiri watoto wenye malezi mazuri ..mwisho wa siku wote wanaharibika...

Tujiulize hizi MIMBA ZA SHULENI zimefuata nini huko? Kama shuleni ni sehemu salama tena...?

NI NINI NACHOOMBA KWA WENYE MAMLAKA.

1. Mamlaka ziratibu utoaji wa elimu kwa manufaa mema ya mtoto wa kitanzania ..badala ya kustick kwenye elimu ambayo tayari ina KILA DALILI ZA KUFAIL. Badilisheni sylabus...muda wa kusoma KKS na KDS na ALGEBRA, kusoma PANZI tuutumie kufundisha watoto mazingira halisi ya kuishi maisha yao.

2. GAWENI MUDA WENU HATA MPAKA SAA 6 AU SAA 8 INATOSHA...ILI MTOTO ARUDI MTAANI JAMII IMFUNDISHE "ELIMU MTAA".

3. Haya maadili ambayo kila kukicha viongozi mnalalamikia viongozi wa dini wayatengeneze...unadhani uharibifu wake...unaanzia wapi? Unaanzia kwenu shuleni...mtoto mnakaa nae akiwa mdogo kutwa nzima...akiharibika mnamrudisha mtaani...huyo kiongozi wa dini atatengeneza nini sasa? SAMAKI MKUNJE ANGALI MBICHI.

4. Kwa mustakabali wa kimaadili, Wekeni sera ya KULAZIMISHA KILA MZAZI KUHAKIKISHA Mtoto wake anapata elimu ya dini yake kwanza akiwa mdogo kama elimu ya awali. Na anapoanza elimu ya msingi KUHAKIKISHA ule muda baada ya saa 8 kila mtoto aruhusiwe arudi nyumbani na kuhudhuria mafunzo ya dini yake kwa lazima...hii italinda maadili ya jamii.

SERIKALI MSIKAE NA WATOTO KUTWA NZIMA, TUACHIENI NA SISI JAMII TUITENGENEZE JAMII TUITAKAYO. KWA MWALIMU BORA NA ELIMU BORA...MASAA 8 KWA SIKU YANATOSHA KUFUNDISHA NA ELIMU IKAWA NA MANUFAA...KULIKO KUSHINDA NAO SIKU NZIMA.

INATOSHA KWA LEO.
Baada ya harakati zangu za kuwa busy na shule kuanzia nikiwa little kid mpaka kumaliza chuo , sijalizika na nilichokipata ukilinganisha na muda nilioutumia shule, ndo maana sikuhizi nawaona miyeyusho watu wanaotaka watoto wasome muda wote
 
Hakika tupaaze sauti aisee kinachoharibu watoto siku hizi ni hizo ratiba za masomo zisizo rasmi pamoja na baadhi yawamiliki wa shule za binafsi wanaolazimisha walimu wabaki na watoto muda wote.
Kuna shule moja kule mwanza ratiba ya masomo ilikuwa inaanza saa 10 alfajir. Sijui wameacha??
 
Salamu kwenu ndugu.

Ningeomba uzi huu MODS wanisaidie kuusambaza kwa wenye mamlaka.

Sasa hivi kuna kamtindo kameshamiri kwa shule za msingi za serikali kuwachukua wanafunzi na kukaa nao kuanzia saa 12 Alfajr hadi saa 12 jioni... Kwa kisingizio cha kusoma na masomo kuzidi kasi.

Hivi hasa ni nani kawadanganya walimu hawa kuwa MTOTO atafaulu kwa kuwa na muda mrefu wa kusoma?

Hata hizo shule zinazoongoza kwa ufaulu kama ST. FRANCIS ukiangalia kikubwa wanachokisisitiza ni NIDHAMU, Kuanzia kwa walimu mpaka kwa wanafunzi...

Wanazingatia sana ratiba na TEACHING MANUAL(Kama sijakosea) YAANI kila kitu kina wakati wake...sio kwamba wanasoma muda woteee...

Yaani ukiangalia ratiba zao, kuna muda wa kusoma, muda wa kucheza, muda wa kusali na muda wa kupumzika na kulala. NA WANAFANIKIWA.

ILA hizi shule zetu sasa za SERIKALI...wanafanya hivi miaka nenda miaka rudi lakini bado hatujaona hasa nini wamepakipata kwamba walikuwa wanakitafuta.

Yaani kuanzia Saa 12 ASUBUHI hadi saa 12 Jioni KILA SIKU, JUMATATU MPAKA JUMAMOSI Vilevile Kasoro JUMAPILI TU(na KWANINI IWE JUMAPILI TU? Tuseme UDINI ama)...

MUHULA MZIMA WA MIEZI 12...Yaani na LIKIZO VILEVILE wanawaita watoto wasiende likizo nyumbani(na hii tunawashukuru MAWAZIRI UMMY na NDALICHAKO waliliingilia kati suala hili kwa likizo hii).

SWALI LANGU NI;

Je Walimu hawa wanatafuta nini? LENGO LAO NI NINI?

Kama lengo ni kufaulisha, WANATAKA WAFAULISHEJE KWA MTINDO HUU...Mbona matokeo ni yale yale?

Mfano kuna shule iko jirani hapa...MWAKA JANA WAMEFANYA UTARATIBU HUO...Lakini wametoa WANAFUNZI WOTE WAMEENDA SHULE YA KATA ILIYO KARIBU...Hakuna hata mmoja alienda KIPAJI MAALUM...

Ina maana hawafanyi tathmini juu ya mbinu wanazotumia?

Mimi kwa Upande wangu nimeona yafuatayo;-

1. Hii ni dalili ya KUTOKUWAJIBIKA IPASAVYO na UVIVU kwa walimu wetu hawa, Kama hukuweza kufundisha na kumaliza at a given time frame WEWE NI MZEMBE, Hata ukipewa muda mwingi iweje you wont succeed.

2. Ukiwauliza kwanini hivi, watakwambia HIVI NDIVYO TULIVYOKUBALIANA NA WAZAZI KWENYE MKUTANO WA WAZAZI(Huku kwenye mkutano ndipo wanakotumia kupitisha vimichango vyao kwa kisingizio tumekubaliana).

Siri ni hivi...WAZAZI wa zama hizi ni wavivu na hawataki kulibeba jukumu lao la malezi...kwahiyo kukaa na mtoto siku nzima kwao ni AFUENI ya malezi, kwahiyo wazazi na walimu wana malengo tofauti kwa maslahi yao binafsi.

MATOKEO YAKE NI NINI?

1. Mtoto kukosa elimu ya muhimu ya uendeshaji wa maisha yake akiwa mtaani mbali na shule. Watoto wanashinda siku nzima kusoma JIOGRAFIA, HISTORIA YA KINA LIVINGSTONE, HISABATI ZA KKS NA KDS, SAYANSI YA KUMSOMA PANZI...Wanapomaliza masomo na kurudi mtaani, SERIKALI inakuachia mzigo wako mwenyewe TOTO LIMEKUWA JINGA, hata namna ya kuchomeka BULB Ili iwake ATAMWITA FUNDI amfanyie...huku AKILILIA AJIRA YA SERIKALI ili aweze kuifanyia kazi(kuapply) elimu yake ya SAYANSI YA KUMSOMA PANZI na sehemu zake katika maisha yake, wapi aapply HESABU ZA KKS na KDS kwenye maisha...hakuna.

Na sasa hivi sijui kama hata lile somo la STADI ZA KAZI likifundishwa...maana sioni hata watoto wakichonga mifagio ya chelewa kupeleka shuleni...labda ingesaidia...

BILA SHAKA hakuna asiyekubali kuwa kumekithiri yale maneno ya MJIAJIRI kutoka kwa viongozi...hii inathibitisha elimu hii INAYOTOLEWA TOTALLY FAILED

2. NAAMINI TUTAKUBALIANA WOTE KUWA...HAKUNA MAHALA PANAPOHARIBU MAADILI NA TABIA YA MTOTO KAMA SHULENI...

Shuleni hasa za serikali, WANAJAZANA WATOTO WA AINA TOFAUTI WALIOTOKA KWENYE FAMILIA TOFAUTI WENYE MALEZI TOFAUTI NA TABIA TOFAUTI...

Na kwa vile walimu wale wa serikali hawapo pale kurekebisha tabia za mtoto wa mtu...zaidi ya kuhakikisha AMEFUNDISHA ZAKE HESABU ZAKE KUTAFUTA "X"...Huyo mtoto wa mtu hamuhusu na tabia zake mbaya ..

Mwisho wa siku WATOTO wenye tabia mbaya watawaathiri watoto wenye malezi mazuri ..mwisho wa siku wote wanaharibika...

Tujiulize hizi MIMBA ZA SHULENI zimefuata nini huko? Kama shuleni ni sehemu salama tena...?

NI NINI NACHOOMBA KWA WENYE MAMLAKA.

1. Mamlaka ziratibu utoaji wa elimu kwa manufaa mema ya mtoto wa kitanzania ..badala ya kustick kwenye elimu ambayo tayari ina KILA DALILI ZA KUFAIL. Badilisheni sylabus...muda wa kusoma KKS na KDS na ALGEBRA, kusoma PANZI tuutumie kufundisha watoto mazingira halisi ya kuishi maisha yao.

2. GAWENI MUDA WENU HATA MPAKA SAA 6 AU SAA 8 INATOSHA...ILI MTOTO ARUDI MTAANI JAMII IMFUNDISHE "ELIMU MTAA".

3. Haya maadili ambayo kila kukicha viongozi mnalalamikia viongozi wa dini wayatengeneze...unadhani uharibifu wake...unaanzia wapi? Unaanzia kwenu shuleni...mtoto mnakaa nae akiwa mdogo kutwa nzima...akiharibika mnamrudisha mtaani...huyo kiongozi wa dini atatengeneza nini sasa? SAMAKI MKUNJE ANGALI MBICHI.

4. Kwa mustakabali wa kimaadili, Wekeni sera ya KULAZIMISHA KILA MZAZI KUHAKIKISHA Mtoto wake anapata elimu ya dini yake kwanza akiwa mdogo kama elimu ya awali. Na anapoanza elimu ya msingi KUHAKIKISHA ule muda baada ya saa 8 kila mtoto aruhusiwe arudi nyumbani na kuhudhuria mafunzo ya dini yake kwa lazima...hii italinda maadili ya jamii.

SERIKALI MSIKAE NA WATOTO KUTWA NZIMA, TUACHIENI NA SISI JAMII TUITENGENEZE JAMII TUITAKAYO. KWA MWALIMU BORA NA ELIMU BORA...MASAA 8 KWA SIKU YANATOSHA KUFUNDISHA NA ELIMU IKAWA NA MANUFAA...KULIKO KUSHINDA NAO SIKU NZIMA.

INATOSHA KWA LEO.
Hakuna matokeo mazuri kutoka a na ukweli kuwa hao watoto wanakalishwa tu, hakuna mwalimu atakayefundisha tangu 12 asubuhi mpaka 12 jioni! Kwa malipo gani?
 
Duh. Ngoja waje wataalamu.

Ila mimi nimechoka kufanya homeworks za wanangu aisee.. yani ada nitoe na homeworks nije nifanye mimi. Hawa walimu hawaaa!!???
Unafanyaje wewe? Pengine umeamua. Kama unatoa ada, iweje umfundishe au umfanyie mwanao kazi zake. Mrudishe akiwa amekosea au hakufanya, update mrejesho kafanywa nini huko shule, ili ukawaulize, nani anayepaswa kumfundisha?
 
Hao walimu walisomea ujinga na wao wanasomesha ujinga.

Mtoto ambae hajafika miaka 14 hapaswi kusomeshwa zaidi ya masaa 2 tu kwa siku, kwa vipindi vya dakika 20 mpaka 30 tu. Tena wanasomeshwa kwa mchezo mchezo.

Mtoto ana haki ya kucheza na kupumzika zaidi ya haki ya kusomeshwa kwa lazima. Mtoe kabisa mwanao shule inayomg'an'ania mtoto kuanzia alfajiri mpaka jioni, utakuta wanafanyishwa mambo ya kijinga jinga tu.
 
Kuna shule nimeikuta huku mbeya,,,,inaitwa MPUGUSO SECONDARY SCHOOL wilayani RUNGWE, sio ya bweni....! wanafunzi wanaenda shule saa kumi na mbili asubuhi wanatoka saa tatu kasoro usiku, imagine saa tatu kasoro usiku!!!!! Sasa shule ni ya kata na kuna mabinti wanaanza safari ya kurudi makwao ambapo ni zaidi ya 3km to 4km.

Siku niliposhuhudia hili nilisisimka sana....haya huyu mwanafunzi ukiacha maswahibu yote anayokutana nayo njiani usiku huo wa saa tatu kasoro, ambapo ni vibaka, walevi, wale wa kumgasi na kumtongoza njiani na uchovu wa zaidi ya masaa 13 ya kukaa kwenye madawati..........! Anapumzika sa ngapi huyu mwanafunzi? Ana refresh mind saa ngap? Anatuliza akili na kujisomea saa ngapi? Anafanya kazi zake za nyumban sa ngap?

WIZARA YA ELIMU IANGALIE HILI SWALA TENA KWA UKARIBU.....kama ni sababu ya ugumu wa vichwa vya wanafunzi basi alie washauri kwamba kuwatoa usiku kutasaidia kulainisha vichwa vya wanafunzi, hakuishia hapo......akaenda mbali mpaka kuwashika na makalio.

stupidy.
 
Uzi umekaa vizuri, haya mambo yanandelea na kufanyika, jambo linalokera ni vile walimu wanatafuta sympathy ya wazazi kupitisha jambo lao so wazazi wanakuwa kinga yao ikitokea kuhoji.

Utasikia"
TULIKUBALIANA KWENYE VIKAO NA WAZAZI" au hayo ni "maamuzi ya wazazi!"
 
Zile kazi za kufanya nyumbani inakua ni kama kazi za wazazi walimu wana relux tuu harafu wanatoa maswali ya kutosha...mwalimu mwingine wa kifaransa nilimfata shuleni anampa mtoto maswali eti kafanye na baba yaani wanajua wote tumesoma wanavyofundisha....shule za siku hizi tunasoma wazazi.
 
Ufaulu na alama za juu kwa watoto was shule NI Credit kwa mwalimu kwakuwa yupo kazini na hvyo ndio vithibitisho kuwa ana piga kazi
Kikubwa ni kulinda maslahi yao binafsi.

#SalaryAndPositionAdiction🤔
 
Haingii akilini mtoto wa darasa la 4 kuanza masomo saa 12 mpaka saa12 jioni au mpaka saa 3 usiku na mbaya zaidi jumamosi pia wanaenda.
Shule za private zinakaririsha watoto muda huo ili tu wafaulu mitihani ya taifa na shule kuonekana inafaulisha hivyo kujitangaza kibiashara.

Shule za serikali wanafanya hivyo wakiamini watapandisha ufaulu na hivyo kutosumbuliwa na wanasiasà.

Kwa kuanza NECTA wabadili namna ya kutangaza matokeo ya mitihani. Kama mtoto amefikisha alama za ufaulu kama ni 30 aandikiwe P (pass) sawa sawa na yule aliepata 80 nae awekewe P. Hii itaondoa utofauti mkubwa wa ufaulu kati ya shule na shule hivyo shule asilimia kubwa kuonekana zinaufaulu sawa.
Iwe kama GS kwa advance.

Hivyo shule ijitangaze kwa vigezo vya miundombinu na huduma zingine na sio matokeo ya mitihani ya watoto wetu waliokaririshwa.
 
Huu upupu ukemewe kabisa Kuna shule wanajiita Montessori ya hapo town daslam,wanafunzi inakupasa ufike saa kumi na mbili mapema ikifika saa Moja au saa mbili mtoto haruhusiwi kuingia darasani,
Kuna dogo yupo std seven anatoka chanika saa kumi,anapambana na daladala mpka city siku akipitisha tu akifika kule saa 2 haloo
Yule mkuu wao ambaye ni sister ana roho mbayaaaaa huingii shule unaishia getini,yule dogo anahenya Sana
Hawa watawa Wana roho Mbaya sana Aisee Yaani hajali Wala Nini halafu watoto wanarudi saa Moja jioni dogo kufika chanika saa 4 usiku analala masaa ma 4 tu
Daaa hata kama elimu hii too much wadau
Mamlaka shughulikieni mbona huko Nchi za Scandinavian watoto wanatimba skulii saa tatu asubuhi bila presha na wametuzidi mbali wajameni?
Tafakari!
Sisi wakati tunasoma darasa la kwanza tunaingia saa mbili tunatoka saa tano. Darasa la pili kuanzia saa sita hadi saa kumi. Na tulikuwa vizuri sana
 
Serikali ipige marufuku utaratibu wa kumfanyisha mitihani mwanafunzi siku za jumamosi kufanya mitihani 6 kwa masaa matatu halafu wanasahihisha wanafunzi wenyewe.Upimaji wa namna hii hauna tija
Huu mtindo uko tokea mwanzoni mwaka 2000 ina maana kwa sasa uko na zaidi ya miaka 20.
Mnafanyana mitihani hasa mnashindanishwa kishule, halafu wanachaguliwa top layer wachache kusaidiana na walimu kusahihisha.
 
Back
Top Bottom