Saa 12 alfajri hadi saa 12 jioni, mtoto wa shule ya msingi anasoma nini kikubwa hivyo huko shuleni?

Saa 12 alfajri hadi saa 12 jioni, mtoto wa shule ya msingi anasoma nini kikubwa hivyo huko shuleni?

Sisi wakati tunasoma darasa la kwanza tunaingia saa mbili tunatoka saa tano. Darasa la pili kuanzia saa sita hadi saa kumi. Na tulikuwa vizuri sana
ndio hapo Sasa tabu vitu vyenyewe wanavyohenya ni historia za kina kinjeketile Ngwale,mzingo na mduara wa pembe tatu,uraia na maadili Yaani elimu ya kiboya tu ambayo hata mtu ambaye hajaenda shule anaijua Katika mazingira halisia!
Hiiii BHA ghoshaaaa!
 
Back
Top Bottom