Ikowapi hiyo audio mkuu? Tuwekee hapa.Mnyika katumia nguvu kubwa kuhalalisha mamlaka yake halafu jioni Halima Mdee anasambaza audio ya kumkejeli.
Mbowe, Mnyika na viongozi wa juu wa CDM umefika wakati wajiuzulu kwa kuambiwa na nafsi zao wenyewe na sio kusubiri fedheha za majukwaani na njiani.
Najaribu tu kuwaza kwa akili huru kwa mustakabali mwema wa taifa la Tanzania.Babu rokapu isikiee tuuuu
Hili nakuunga mkonoUshauri wa bure kwa mtoa mada
1. Achana na siasa za Tanzania. Kwa usalama wa afya yako, NEVER TAKE TANZANIAN POLITICS SERIOUSLY
2. Tumia muda wako kula vizuri, kunywa maji mengi, kula matunda na fanya mazoezi
3. Hakikisha unatafuta future ya watoto wako na wewe mwenyewe kwa njia zingine zozote nje ya siasa
4. Sio kila unaemuona kanisani kavaa koti kafunga mikono kifuani anasali kwa unyenyekevu anakuwa ana maanisha
Sent from my SM-G973F using JamiiForums mobile app
Ikowapi hiyo audio mkuu? Tuwekee hapa.
Zetu dua. Ila nalifuatilia hili suala kwa ukaribu kabla ya kustaafu kufatilia siasa zetu hizi.Ili mtu ateuliwe kuwa Mbunge V.Maalum anatakiwa kujaza fomu za NEC namba 8D ambazo sehemu C Inatakiwa kujazwa na Katibu Mkuu wa Chama, na kiapo mbele ya Hakimu. Kama NEC imepokea hizo fomu, Mnyika alizijaza?...
Ulipoitwa kuandamana ulijitokeza?Duh....[emoji848]kweli tumesalitiwa, imefikia hatua hadi tunakosa na usingizi.
Mahakamaccm ni vigumu itende haki kwa wapinzani ambao CCM haina masilahi nao kabsaIli mtu ateuliwe kuwa Mbunge V.Maalum anatakiwa kujaza fomu za NEC namba 8D ambazo sehemu C Inatakiwa kujazwa na Katibu Mkuu wa Chama, na kiapo mbele ya Hakimu. Kama NEC imepokea hizo fomu, Mnyika alizijaza?....
Ni raia wa Rwanda ndugu zake kwa 82% wapo na ni raia wa RwandaHizo fomu labda walijaziwa na katibu wa ccm yule mhutu wa kagera
Uzalendo kwa CCM ya sasa ni kuwabambikia kesi wapinzani na uonevu unyanyasaji mateso kwa wapinzaniTunaendeshana kipumbavu sana. Hamna sheria wala taratibu ni mihemko tu, alafu utakutana na watu wanatetea ujinga.
ijumaa lazima mbowe awafukuze watumwa wanawake waliouzwa Bungeni kwa njia haramu za kishetani, kinyume na hapo CHADEMA inafariki ghafla kama CUF ya Lipumba na TLP NCCR na UDPMbowe fukuza hao wanawake..