Saa ishirini na nne za Nusrat Hanje kutia doa Mihimili mitatu ya Nchi

Saa ishirini na nne za Nusrat Hanje kutia doa Mihimili mitatu ya Nchi

Hilo tukio nadhani linaweza kutengenezewa movie, tatizo waigizaji wetu wanajua kutengeneza script za mapenzi tu.
 
1. Tarehe 23/11/2020 Mtuhumiwa Nusrati aliyekuwa mahabusu bila dhamana alitolewa gerezani. Muhimili uliotumika kumtoa gerezani ulikua ni Inasikitisha mhimili wa serikali kwa kile kilichoelezwa kwamba Jamhuri ambayo ni Mimi na wewe hatuna haja ya kuendelea na kesi yake....
Tulisha wachoka na nyie hamna hata jema 1 tu,alishikiliwa mkalalamika kaachiwa mnalalamika tuwaelewe je mlitaka aozee gerezani, mbona hata wale wa singida wameachiwa huru unamuona huyo dada tu acha wivu acha nae atembelee v8 ale kiyoyozi.
 
Mara nyingi sana huwa yanafanyika makosa ya kiufundi, kwa hilo lililotokea ni dhahiri watu wamekuwa wakifanya mambo bila kufiliria. Sasa sijui ni kwa mini?

Nilipokuwa chuo prof.wangu aliwahi kuniambia wizi upo na unaweza ukaiba ukashikwa na ukaiba usishikwe, inategemea na jinsi ulivyo weka doc. Zako na taratibu zako.

Tumeona kwenye uchaguzi,watu wameiba hadi wamepitiliza idadi ya kura, baada ya watu kuingia na kutumbukiza idadi ya kura sawa kwa wagombea wote, mtu anatumbukiza kura za rais 20,mbunge tano. Matokeo yake idadi ya kura zinatofautian

Kwenye suala la Hanje,kulikuwa na makosa makubwa ya kiufundi, haihiitaji mtu kuwa elimu ya chuo kikuu kugundua hilo. Hata mtu wa darasa la nne hapati shida kugundua .

Sasa huwa najiuliza huko juu hakuna watalaamu wa wizi, kama hawapo si wawakodi huku chini,
 
1. Tarehe 23/11/2020 Mtuhumiwa Nusrati aliyekuwa mahabusu bila dhamana alitolewa gerezani. Muhimili uliotumika kumtoa gerezani ulikua ni Inasikitisha mhimili wa serikali kwa kile kilichoelezwa kwamba Jamhuri ambayo ni Mimi na wewe hatuna haja ya kuendelea na kesi yake....
Imekuuma Nusrat kutoka mahabusu! Yeye ni wa kwanza kutolewa gerezani? Viongozi wa CHADEMA waliwahi kutolewa mahabusu Dar kwa teksi. Kama kuna udharura mahakama inaweza kukaa hata usiku na mahali popote.

Serikali inaweza lumfutia mashtaka mtuhumiwa wakati wowote.

Umashangaa Nusrat kuwa mbunge akitokea mahabusu, kwa taarifa yako kule Zaire wakati wa Mobutu kuna mwanasiasa aliitwa Nguza Karl Bond aliwahi kutolewa gerezani akisubiri kunyongwa na kuapishwa kuwa waziri mkuu na serikali hiyo hiyo iliyomhukumu. Mipango ya Mungu wewe mwanadamu huwezi kuijua.
 
Imekuuma Nusrat kutoka mahabusu! Yeye ni wa kwanza kutolewa gerezani? Viongozi wa CHADEMA waliwahi kutolewa mahabusu Dar kwa teksi. Kama kuna udharura mahakama inaweza kukaa hata usiku na mahali popote....

Mungu yupi?
 
Acheni kuisingizia serikari msitafte pakujiliwazia chama ndo chenye matatizo unadhan Nusrat anaisaidia nini serikari tatizo viongoz wa juu hawawashirikishi inatakiwa mjitambue muache kutumika
 
Mara nyingi sana huwa yanafanyika makosa ya kiufundi, kwa hilo lililotokea ni dhahiri watu wamekuwa wakifanya mambo bila kufiliria. Sasa sijui ni kwa mini?....
Kama mtu kaibiwa kura anakatakiwa kukata rufaa mahakamani ukiona hawakat rufaa jua wanajua ukwel ila wanawadangany ili kuwafariji nadhan huyo professor kuna vitu hakukwambia rudi akakufundishe tena
 
1. Tarehe 23/11/2020 Mtuhumiwa Nusrati aliyekuwa mahabusu bila dhamana alitolewa gerezani. Muhimili uliotumika kumtoa gerezani ulikua ni Inasikitisha mhimili wa serikali kwa kile kilichoelezwa kwamba Jamhuri ambayo ni Mimi na wewe hatuna haja ya kuendelea na kesi yake..
Kama Mandela!
 
Ushauri wa bure kwa mtoa mada

1. Achana na siasa za Tanzania. Kwa usalama wa afya yako, NEVER TAKE TANZANIAN POLITICS SERIOUSLY....

“I can sponsor a bill board kwenye Miji mikubwa kwa hii message”
 
1. Tarehe 23/11/2020 Mtuhumiwa Nusrati aliyekuwa mahabusu bila dhamana alitolewa gerezani. Muhimili uliotumika kumtoa gerezani ulikua ni Inasikitisha mhimili wa serikali kwa kile kilichoelezwa kwamba Jamhuri ambayo ni Mimi na wewe hatuna haja ya kuendelea na kesi yake...
Ni moja wapo ya maajabu ya dunia yaliyofanywa na mihimili mitatu ya Tanzania - mahakama, bunge, na dola. Ni kivutio kimojawapo kwa watalii. Mmemsikia alichosema Adeladius Kilangi leo?
 
Wabarikiwe wabunge hawa na waendelee kutuwakilisha vyema bungeni
 
😆😆😆😆ushauri safi sana huu, tumwongèze na hilii....chakufia nini.
 
Imekuaje raia wa TANZANIAA wanaishi kama wageni kwenye Taifa Lao? Maana hawajali lolote wala chochote kuhusu serikali na mambo yanayofanyika ndani ya serikali, ili mradi maisha Yao yanasonga mbele kwa kupata ubwabwa na mboga wanaona ni Sawa tu...
Wanaosema: Achaneni na siasa: Wao wenyewe ni wanasiasa. Wanawakatisha tamaa wengine ili wao wanufaike. Siasa inagusa maisha ya kila binadamu.
 
Imekuaje raia wa TANZANIAA wanaishi kama wageni kwenye Taifa Lao? Maana hawajali lolote wala chochote kuhusu serikali na mambo yanayofanyika ndani ya serikali, ili mradi maisha Yao yanasonga mbele kwa kupata ubwabwa na mboga wanaona ni Sawa tu...
Hongera sana mchangia mada kwa jinsi ulivyoelezea kuhusu watanzania jinsi walivyo. Hatari sana!
 
Back
Top Bottom