Wee acha kabisa, hao ni wanawake! wana siri sanaWabunge 19 ni wengi sana kutunza siri, muda si mrefu wapo miongoni mwao watatoboa siri na Watanzania na ulimwengu utajua kilichotokea.
Vv
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee acha kabisa, hao ni wanawake! wana siri sanaWabunge 19 ni wengi sana kutunza siri, muda si mrefu wapo miongoni mwao watatoboa siri na Watanzania na ulimwengu utajua kilichotokea.
Vv
Hahahahahah.......kila zama na kitabu chake bwashe.Hahahah Siasa za Tanzania Kiboko.
Waliokuwa wanamtetea Nusrat awe huru wanasikitika kutoka Mahabusu japo wamejificha kwny kichaka cha sheria
Halima Mdee imekuaje kalifyeka jina Kongwe la Viti Maalum la Joyce Mukya?
Kukata rufaa,? Kesi ya ngedere unampelekea nyaniKama mtu kaibiwa kura anakatakiwa kukata rufaa mahakamani ukiona hawakat rufaa jua wanajua ukwel ila wanawadangany ili kuwafariji nadhan huyo professor kuna vitu hakukwambia rudi akakufundishe tena
Hujaelewa, sheria inasema mpiga kura atapewa karatasi 3Kwani kuna shida gani hapo? Mtu anweza akampigia Rais asimpigie mbunge... au sijaelewa vema
Sasa ametoka mnalalamika, mlitaka aendelee kusota rupango😲!? Nusrat anahitaji kuwafahamu adui zake wasiomtakia mema!1. Tarehe 23/11/2020 Mtuhumiwa Nusrati aliyekuwa mahabusu bila dhamana alitolewa gerezani. Muhimili uliotumika kumtoa gerezani ulikua ni Inasikitisha mhimili wa serikali kwa kile kilichoelezwa kwamba Jamhuri ambayo ni Mimi na wewe hatuna haja ya kuendelea na kesi yake.
2. Mahakama kwa Tarehe hiyohiyo ilikimbizwa mchamchaka na dola ikabariki atolewe na baada ya kutoka akakabidhiwa kwa serikali ambayo ndiyo iliyomtuhumu.
3. Baada ya kupindua mhimili wa serikali na mahakama, Nusrat akisaidiwa na Tume ya uchaguzi (serikali) Tarehe 24/11/2020 akatinga kwenye viunga vya Bunge na kukutana na spika kisha spika akamwapisha kuwa Mbunge wa viti maalumu. Ikumbukwe Mbunge huyu anatakiwa apitishe fomu zake za Ubunge mahakamani hivyo yawezekana mahakama ilitumika pia kubariki kilichotokea bungeni. Bunge nalo likabeba mapungufu ya serikali na kuyapiga mhuri, Nusrat leo ni mbunge siyo mahabusu Tena.
Nusrat anatukumbusha kwamba unapodai haki yako na ukaamini katika kuwatetea wananchi movu huibuka na kuvunja misingi yote ya sheria na kukuinua.
Nusrat Mtuhumiwa amefanya miujiza mikubwa inayopaswa kuandikwa kwenye mbao mbalimbali, ndani ya saa ishirini na nne amekuwa na hadhi tatu muhimu ambazo ni binadamu wachache wamewahi kuzipata Duniani. Hadhi hizo Ni;
1. Hadi tarehe 23/11/2020 jioni alikuwa Mtuhumiwa wa makosa yasiyo na dhamana akiishi mahabusu.
2. Tarehe 23/11/2020 usiku akatoka gerezani akiwa Mwananchi huru asiye na hatia na kuelekea nyumbani kuoga na kuchagua nguo ya kuvaa siku iliyofuata. Natumai hakulala.
3. Tarehe 24/11/2020 asubuhi akaibuka kwenye viunga vya Bunge na kushika msahafu kisha kuapishwa kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya muungano ya Tanzania yaani Mheshimiwa huku akiwa na kinga ya kibunge.
Haya yanatokea ulimwenguni ambapo kila Jumapili tunashinda nyumba za ibada kumwabudu muumba, haya yanafanywa na binadamu walewale ambao wanaomba Mungu atuepushe na balaa. Haya yanafanywa na binadamu wakitumia vitabu vitakatifu kuapa mbele ya vyombo vya habari.
Nadhani Nusrat anatuonesha kwamba adui yetu siyo Beberu bali adui yetu ni mtu mweusi anayelipwa fedha na watanzania kufanya maigizo ndani ya Tanzania kwa kutumia ofisi za umma na kutumia vitabu na misaafu tunayoamini ni mitikatifu.
Tunajiombea adhabu kwa Mungu, nadhani adhabu ipo mbioni kuwapata wanaowatendea Hawa viumbe haya. Si utashi wa Nusrat kuapa bali ameapa kuinusuru familia yake na ya mahabusu wengine waliokua hawana hatia. Ipo siku Nusrat atakua huru, ipo siku atapata nguvu yakusimamia anachokiamini.
Pole Nusrat na hongera kwa kuteuliwa kuwa Mbunge ukitokea Mahabusu. Wameona unafaa, wameona una kitu cha ziada kwa Taifa, usilipize tenda kwa nafasi uliyopewa.
Hongera Mtuhumiwa, hongera mtu huru, hongera Mbunge, hongera mpiganaji. Umeandika historia.
Hauko serious! Kulalamika ndio ujuacho! Kama unao ushahidi lete mahakamani! Vinginevyo acha utoto! Si umeona wenye ukweli wamewahi kuingia bungeni maana wanajua mapichapicha yaliyochezeshwa!Kukata rufaa,? Kesi ya ngedere unampelekea nyani
HahahahaahhahahaahahaaaRekodi ya Nusrat ni miujiza ya Hollywood
Hahahahahahahahahaaaaaa.Yamuandisi???Hata mimi naweza kulaumu shetani kanipitia kumbe kuna wanadamu,majini,wanga,vibwengu na wote wapo kwenye utawala wa mwenyemungu ila kwa kuwa yesu alisema ya mungu mpe mungu na ya muhandishi mpe JF
Mkuu hi ndio Tanzania nchiyangu yenye burudani zakila ainaaIli mtu ateuliwe kuwa Mbunge Viti Maalum anatakiwa kujaza fomu za NEC namba 8D ambazo sehemu C Inatakiwa kujazwa na Katibu Mkuu wa Chama, na kiapo mbele ya Hakimu. Kama NEC imepokea hizo fomu, Mnyika alizijaza?
Kama Mnyika anatuambia akuzijaza, Nani alizijaza?
Je, NEC wanamjua Katibu Mkuu wa Chadema? Ndiye huyo aliyejaza?
Nusrat alikuwa Mahabusu, je, Nani alimjazia hizo fomu na alimjazia akiwa wapi na kuzirejesha Chadema? Je, mahakamani Nani alikwenda kuapa au Nusrati alitolewa akapelekwa mahakamani kimyakimya?
Je, sheria inaruhusu mtu kumjazia fomu za Ubunge mteule ambaye hayupo?Hakimu gani alimuapisha mtu asiyekuwepo?
Kama huu mchakato haukufuatwa Kuna umuhimu wa kuwa na taratibu na sheria?
Nasrati na wenzake walifutiwa mashtaka wakati gani na mbele ya hakimu Nani?
Kama lengo ni kuiua CHADEMA je tunaamini tunaiua au tunaua imani ya wananchi kwa vyombo vilivyopewa dhamana ya kusimamia haki?
Endapo mahakama ilimnyima Nusrat na wenzake dhamana, then over suddenly Jamhuri inajitokeza na kuwatoa ndani kisha bila kusita anatinga bungeni hatuoni Kama mahakama inatumika kuwaweka Mahabusu watu wasio na hatia kinyume kabisa na misingi ya uwepo wa chombo hiki?
Kama moja ya kazi ya Mahakama nikutenda haki, ni wakati gani Mahakama inapaswa kutenda haki? Ni baada ya kumnyima mtu Uhuru kwa miezi au miaka wakimtia Mahabusu? Au ni pale tu Mtuhumiwa anapofikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka ndipo mahakama inapaswa kutenda haki?
Je, mahakama huru inaona ni haki kuendelea kupokea chaji zisizo na mashiko chini ya amri ya kiapo Cha DPP kuwatia watu ndani?
Kwanini tuendelee kuamini mahakama ni chombo Cha haki Kama binadamu wanaopaswa kusimia haki hawapo tayari kuisimamia?
Polesana ilakwasasa nenda ukalaleDuh....[emoji848]kweli tumesalitiwa, imefikia hatua hadi tunakosa na usingizi.
Hahaahahhaahhaahaahhahaaaa msistafu.jomon badomnahitajika.Kwamustakbali wataifaletu.hv mnavyosema ndiomnatupunguzia sumu huku .MtaaniZetu dua. Ila nalifuatilia hili suala kwa ukaribu kabla ya kustaafu kufatilia siasa zetu hizi.
HahahahahahahaaNi raia wa Rwanda ndugu zake kwa 82% wapo na ni raia wa Rwanda
Unachosahau ni kuwa siasa ndiyo maisha yako ya kila siku!Ushauri wa bure kwa mtoa mada
1. Achana na siasa za Tanzania. Kwa usalama wa afya yako, NEVER TAKE TANZANIAN POLITICS SERIOUSLY
2. Tumia muda wako kula vizuri, kunywa maji mengi, kula matunda na fanya mazoezi.
3. Hakikisha unatafuta future ya watoto wako na wewe mwenyewe kwa njia zingine zozote nje ya siasa.
4. Sio kila unaemuona kanisani kavaa koti kafunga mikono kifuani anasali kwa unyenyekevu anakuwa ana maanisha.
Sent from my SM-G973F using JamiiForums mobile app
Hahaahahhaahhaahaahhahaaaa wangenikodisha hata mm kuu Nina diploma yawizi hukumtaaniMara nyingi sana huwa yanafanyika makosa ya kiufundi, kwa hilo lililotokea ni dhahiri watu wamekuwa wakifanya mambo bila kufiliria. Sasa sijui ni kwa mini?
Nilipokuwa chuo prof.wangu aliwahi kuniambia wizi upo na unaweza ukaiba ukashikwa na ukaiba usishikwe, inategemea na jinsi ulivyo weka doc. Zako na taratibu zako.
Tumeona kwenye uchaguzi,watu wameiba hadi wamepitiliza idadi ya kura, baada ya watu kuingia na kutumbukiza idadi ya kura sawa kwa wagombea wote, mtu anatumbukiza kura za rais 20,mbunge tano. Matokeo yake idadi ya kura zinatofautian
Kwenye suala la Hanje,kulikuwa na makosa makubwa ya kiufundi, haihiitaji mtu kuwa elimu ya chuo kikuu kugundua hilo. Hata mtu wa darasa la nne hapati shida kugundua .
Sasa huwa najiuliza huko juu hakuna watalaamu wa wizi, kama hawapo si wawakodi huku chini,
Ht mm najiuliza ccm wanapata wapi pesa za kuhonga watu ovyoWabunge 19 wa viti maalum wa chadema ni ajira mpya inaandaliwa baada ya kufukuzwa hao wote.
Hovyo kabisa,walimu,madaktari,wauguzi,askari hali zao ngumu kimaisha halafu wao wanatumia fedha ktk mambo ya kijinga.
Haki na ni muujiza unaotembea na kuishiRekodi ya Nusrat ni miujiza ya Hollywood
😂😂😂😂Bwana "mudy" hilo neno jomon limenishtua. Wewe ni Wali nazi au nazi wali. Au utakula kisha ukaoge au utaoga kisha ule?Hahaahahhaahhaahaahhahaaaa msistafu.jomon badomnahitajika.Kwamustakbali wataifaletu.hv mnavyosema ndiomnatupunguzia sumu huku .Mtaani
Yaani hata wizi wa mitaani huwa wanaiba kwa akili, ndio maana kuwakamata ni ngumuHahaahahhaahhaahaahhahaaaa wangenikodisha hata mm kuu Nina diploma yawizi hukumtaani