Saa ishirini na nne za Nusrat Hanje kutia doa Mihimili mitatu ya Nchi

Saa ishirini na nne za Nusrat Hanje kutia doa Mihimili mitatu ya Nchi

Nusrat Hanje ndiye amesaidia hapa kuonyesha ni nani muongo
Hata hii pia

Screenshot_2020-11-27-16-44-01.png
 
Ila kwa kweli ki ubinadamu, mtu yoyote angakuwa amevaa viatu vya nusrat hanje asingekubali kukaataa ubunge na kuendelea kusota jela.

Tuwe tu wakweli saa nyingine

Ukiwa na mawazo haya utauza nchi wewe
Maana utatoa excuse kama hii pindi ukiwa vitani ukashikwa mateka na adui, kisha wakaipiga nchi yako na kukusimika wewe uwe mtawala kibaraka utawale kwa niaba yao!
 
Filamu za ovyo nchi hii huwa haziishi.Hii ni nyingine tena,tena waongozaji hawajataka ata kuihariri angalau itizamike kwa wenye akili timamu.Alafu walioifanya ni wasomi kabisa wa nchi hii.Kuna mambo ukiyaangalia vizuri unaweza kuona hii nchi nikama bado tuko kwenye ukuaji kifikra.
 
Ila kwa kweli ki ubinadamu, mtu yoyote angakuwa amevaa viatu vya nusrat hanje asingekubali kukaataa ubunge na kuendelea kusota jela.

Tuwe tu wakweli saa nyingine

Mkuu usichanganye haya mambo maana utafikia hitimisho batili. Hakuna aliyetaka Nusrat kuendelea kubaki jela, na kila mtu anataka ubunge. Lakini unapokubali kuupata ubunge kwa kukiuka msimamo wa chama, hapo inakuwa umejijali binafsi. Huyo dada angeitikia wito wa kamati kuu utetezi wako ungekuwa na mashiko. Tusichanganye huyo dada kukaa jela, na kilichofanyika kwenye huo ubunge maana tunapoteza mantiki.
 
CCM bhana sijui akili walishazipeleka wapi? Mahera anadai majina ya covid 19 yaliletwa na chadema ndio hayo aliyoyapeleka kwa Ndugai.

1. Mahera anadai CHADEMA iliwasilisha hayo majina tarehe 19 November 2020. Tarehe 20 Nov 2020 huyohuyo Mahera akiwa Azam tv alidai tume haijapokea majina ya viti maalumu kutokea CHADEMA. (Angalieni hizi tarehe mtaona nani muongo). Wanasema ukiwa muongo jitahidi uwe na kumbukumbu maana hii ni aibu.

2. Nusrat Hanje: tufanye basi ni kweli Mahera anasema ukweli kuwa Chadema iliwasilisha majina ya viti maalumu. Swali la kujiuliza: Nusrat Hanje alikuwa mahabusu, Chadema wana mamlaka gani nchi hii ya kuweka jina la Nusrat kwenye orodha ya viti maalumu na kuhakikisha wanamtoa mahabusu ili akaapishwe? Hapa ndio ninapowaona ccm either walishatuona watanzania hatuna akili au wao ndio hawana akili. Chadema ina mamlaka gani ya kumtoa mwanachama wake mahabusu ili awahi kuapishwa?

Ushauri wangu kwa chadema. Fungueni kesi mahakamani. Hii kesi ni rahisi sana kushinda. CCM imepanga huu mchezo kiboya sana.

Tunashukuru Nusrat Hanje ametoka mahabusu. Sasa dada wa watu yupo huru.
CCM maboya sana yaani hii ishu imewapaka mavi kinoma
 
CCM bhana sijui akili walishazipeleka wapi? Mahera anadai majina ya covid 19 yaliletwa na chadema ndio hayo aliyoyapeleka kwa Ndugai.

1. Mahera anadai CHADEMA iliwasilisha hayo majina tarehe 19 November 2020. Tarehe 20 Nov 2020 huyohuyo Mahera akiwa Azam tv alidai tume haijapokea majina ya viti maalumu kutokea CHADEMA. (Angalieni hizi tarehe mtaona nani muongo). Wanasema ukiwa muongo jitahidi uwe na kumbukumbu maana hii ni aibu.

2. Nusrat Hanje: tufanye basi ni kweli Mahera anasema ukweli kuwa Chadema iliwasilisha majina ya viti maalumu. Swali la kujiuliza: Nusrat Hanje alikuwa mahabusu, Chadema wana mamlaka gani nchi hii ya kuweka jina la Nusrat kwenye orodha ya viti maalumu na kuhakikisha wanamtoa mahabusu ili akaapishwe? Hapa ndio ninapowaona ccm either walishatuona watanzania hatuna akili au wao ndio hawana akili. Chadema ina mamlaka gani ya kumtoa mwanachama wake mahabusu ili awahi kuapishwa?

Ushauri wangu kwa chadema. Fungueni kesi mahakamani. Hii kesi ni rahisi sana kushinda. CCM imepanga huu mchezo kiboya sana.

Tunashukuru Nusrat Hanje ametoka mahabusu. Sasa dada wa watu yupo huru.
Ukitaka kumuua adui yako kirahisi deal na mke wake..........(Enyi waume ishini na wake zenu kwa akili)
 
Huwa wanatumia uji kufikiri Hawa jamaa, wametuaminisha wapinzani wanapinga maendeleo wapinzani wanachelewesha maendeleo Leo wamebakia pekee yao ajabu wanatumia tena nguvu kubwa kulazimisha wapinzani waingie bungeni hapa tuwaelewe vipi nn wanataka.
 
Back
Top Bottom