Saa ishirini na nne za Nusrat Hanje kutia doa Mihimili mitatu ya Nchi

Duh....[emoji848]kweli tumesalitiwa, imefikia hatua hadi tunakosa na usingizi.
Chadema ipo ICU na endapo hawatawafukuza wabunge wa kike waliouzwa Bungeni kitumwa kwa njia haramu za kishetani, chadema utambue kuwa unaenda kufariki kama CUF ya Lipumba
 
Chadema ipo ICU na endapo hawatawafukuza wabunge wa kike waliouzwa Bungeni kitumwa kwa njia haramu za kishetani, chadema utambue kuwa unaenda kufariki kama CUF ya Lipumba
Meko anafikiri pesa inanunua kila kitu duniani, lakini pesa hainunui maamuzi ya Mwenyezi Mungu afahamu hilo.
 
Ijumaa kuna mawili chadema kupona toka ICU au kufariki moja kwa moja endapo haitawafukuza wabunge wa kike waliouzwa kitumwa Bungeni kwa njia haramu za kishetani
 
Meko anafikiri pesa inanunua kila kitu duniani, lakini pesa hainunui maamuzi ya Mwenyezi Mungu afahamu hilo.
Njia pekee iliyobaki kuinusuru chadema isipotee kwenye ramani ya siasa ni kuwafukuza mdee Bulaya matiko na kikundi chao chote, mbowe kuwa jasiri jitoe muhanga uishangaze Nchi kwa maamuzi ya mbolea
 
Msimsikilize Mnyika ni muongo na mpotoshaji na siku zote hajawahi kutoa malalamiko juu ya lolote ikawa kama alivyozusha ,, hana akili timamu huyo,,, Mbowe anajua afanyacho, Nusrat kutoka maahabusu ni mchakato uliochukua zaidi ya wiki ila kutoka nje ni dakika 3 hivyo kama ni form zilijazwa akiwa maabusu na hata viwalo ni kitu rahisi na tiketi ya ndege kwenda DOM,, Msimsikilize Mnyika hayuko sawa mahali fulani,,, mbona Mbowe hajasema kitu na hao kina Mwalimu wako wapi??
 
Wafukuzwe wote nafasi Bawacha napendekeza wakaimu Suzan Kiwango, Grace Kiweo na Catherine Ruge
 
Hasante sana mkuu, kwakweli binafsi kwa sasa naona silazimiki kufuata sheria na taratibu za nchi nikiwa na jambo langu bali hekima, busara, maarifa na mazingira yatakayo kuwepo.
 
Mbowe huyu " anayelizwa" na sabaya kila siku, hana nguvu hata punje za kuiamuru mahakama....
 
Nyerere angekuwa na mawazo kama yako tusingepata uhuru mwaka 1961.
 
Safi sana!
 
Duuh.. Kinachohuzunisha ni kuwa, kwa sasa UADILIFU umekuwa adimu sana kwa mihimili yoote: serikali, mahakama, bunge.. Hivyo, hata kama kuna anayeonekana waziwazi kupotoka, hakuna wa kumfunga paka kengele. Nchi imekuwa kama yatima!!!

Hata wale wana DiNI kimyaaa
 
Hasante sana mkuu, kwakweli binafsi kwa sasa naona silazimiki kufuata sheria na taratibu za nchi nikiwa na jambo langu bali hekima, busara, maarifa na mazingira yatakayo kuwepo.
Mahakama zinatakiwa kuwa takatifu kwa asili, lkn hizo zetu sasa zinatumika "kubariki" ulaghai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…