Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
- Thread starter
- #141
Toka uzi unaanza anasema mambo ya ajabu mara ninunue dishi mala nikalie majiApigwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toka uzi unaanza anasema mambo ya ajabu mara ninunue dishi mala nikalie majiApigwe
Nnya inapokuwa ngumu, ili uweze kuitoa itakubidi utumie nguvu kubwa na sehemu ya haja kubwa huwa ni laini mno, kujeruhika huwa ni rahisi sana. Sio kuchanika msambaMkuu ukichanika inakuaje an..
Unachanika msamba au unachanika kabisa an
Mbona naanza kuogopa mana hata kutoa upepo naogopa nahisi kama bado yalibaki
Basi sawahapana mkuu
Daaah kawaida ila mmh mi ni mtu na heshima zanguHahahaha sawa,,ila mbon n magonjwa ya kawaida ayo
Hakika,, inauma balaa na kupona ni ngumu sanaDaaah aiseee
ni moja ya matibabu ya asiliToka uzi unaanza anasema mambo ya ajabu mara ninunue dishi mala nikalie maji
Kupona nini !!!?????Hakika,, inauma balaa na kupona ni ngumu sana
Skonzi unapaka blueband tu MkuuMkuu ujaelewa point tatu pale zile bolded..
Mkuu kunywa maji ya kutosha
Acha kula skonzi
Hivo tuu kuna mambo huto nishukuru mda huu ila badae hapo utanishukuru
Siumwi mimini moja ya matibabu ya asili
ila kuumwa ni yeyoteDaaah kawaida ila mmh mi ni mtu na heshima zangu
Wakuu habari za mda huu.
Natumai wote wazima na tunaendelea vizuri na majukumu yetu.
Hata hivyo mi mzima japo jana mida ya saa 4 usiku nilikutana na changamoto ambayo imenifanya nije hapa kuwapa tahadhari wenzangu.
Wanasema haya mambo hayamkuti nyani.
Kama mimi jana yalinikuta basi hata wewe kesho yanaweza kukukuta.
Wakuu naongea haya na maanisha wakuu namaanisha shika haya nayosema.
1- Epuka kula ngano(skonzi,mkate)
2- kunywa maji ya kutosha
3- Ukihisi haja nenda mda huo huo
Wakuu hivo vipengele hapo juu najua mmesoma fasta fasta ila nakuomba rudia maana hii hali inapokufika unakua wewe peke yako.
Jamani tunywe maji.Wanaposema maji ni muhimu kwa mwili wa binadamu hawajakosea jama..
Kilichonitokea mimi jana naapa sitojihusisha tena na kula ngano..(dry mkate) wakuu mara kumi unywe maji ulale tuu ila ngano (ney)
Mpaka sasa nipo hai nashukuru Mungu alhamdulillah maana ile kitu lisaa limoja na dakika 17 napambania ,,hapana mpka nimetoka mzima naimani mungu ana makusudio yake.
Asanteni.
Maji ni muhimu kwa binadamu.. ninyime mkate nipe majiA
Asee pole sana kaka hukumwambia Jerry akuletee kijiti kweli😀😀Wakuu habari za mda huu.
Natumai wote wazima na tunaendelea vizuri na majukumu yetu.
Hata hivyo mi mzima japo jana mida ya saa 4 usiku nilikutana na changamoto ambayo imenifanya nije hapa kuwapa tahadhari wenzangu.
Wanasema haya mambo hayamkuti nyani.
Kama mimi jana yalinikuta basi hata wewe kesho yanaweza kukukuta.
Wakuu naongea haya na maanisha wakuu namaanisha shika haya nayosema.
1- Epuka kula ngano(skonzi,mkate)
2- kunywa maji ya kutosha
3- Ukihisi haja nenda mda huo huo
Wakuu hivo vipengele hapo juu najua mmesoma fasta fasta ila nakuomba rudia maana hii hali inapokufika unakua wewe peke yako.
Jamani tunywe maji.Wanaposema maji ni muhimu kwa mwili wa binadamu hawajakosea jama..
Kilichonitokea mimi jana naapa sitojihusisha tena na kula ngano..(dry mkate) wakuu mara kumi unywe maji ulale tuu ila ngano (ney)
Mpaka sasa nipo hai nashukuru Mungu alhamdulillah maana ile kitu lisaa limoja na dakika 17 napambania ,,hapana mpka nimetoka mzima naimani mungu ana makusudio yake.
Asanteni.
Maji ni muhimu kwa binadamu.. ninyime mkate nipe maji.
Duuuh sawa sawa mkuu sema nashukuru mungu sijachanika..Nnya inapokuwa ngumu, ili uweze kuitoa itakubidi utumie nguvu kubwa na sehemu ya haja kubwa huwa ni laini mno, kujeruhika huwa ni rahisi sana. Sio kuchanika msamba
Sijaungana nae bwan,,ila nasemea bawasili ukiacha ikupate kupona ni ngumuKupona nini !!!?????
Khaaa mimi ni hali ya kawaida hapa nipo fiti mkuu mbona na wewe unaungana na jamaa
Mkuu acha kabisa sipo kule nipo huku mbali mnoAs
Asee pole sana kaka hukumwambia Jerry akuletee kijiti kweli😀😀
uyu nae sjui katokea wapSkonzi unapaka blueband tu Mkuu
aya mkuuSiumwi mimi
Jamaa ni mtu na heshima zakeuyu nae sjui katokea wap
Mimi siumwi mkuu sawaaya mkuu
Polo kwa hali ya jana ingekua wewe mda huu unazunguka pharmacy wallah naapaSkonzi kitu laini kabisa hivyo embu nenda Zanzibar hapo Kuna dude linaitwa boflo watu wanalipiga kavu kavu na wakati mwili unalia na chips na maisha yanaendelea kama kawaida