Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuuu yaaah lilifika kati lika nasaπππππ
Kwahiyo ziggo liligoma kutoka au?
Anyway "tutumie picha ukiwa unakata goggo....." alisikika marioo na jaivah kwa mbali
Mmmmh kkuuu hyo dawa unaweza deal na kile chakula kilichopo tqyari kweny ytumbo mpnwukizidisha itakula kwako aseeee
Mkuu tudamu hatukuonekana kweli? ππππππππMkuuu yaaah lilifika kati lika nasa
Mda ule nabisha ukute mzigo ulikua unajirundika ili uje unisurubuKumbe jana wakati unabishia kuhusu kaburi juu ya dari ndo wakaamua kukufanyia kamchezo nn πππ
Achana na damu imagine ngoma ipo middle no in no out....Mkuu tudamu hatukuonekana kweli? ππππππππ
Nimechekaaaa kama mazuri vile πππ
Mkuu bado ujapitia wwSijakuelewa.
Binadamu haishi kwa mkate peke yake.
Yaani kikijidai na ujuaji,,kinatoka ilee fffuuuuuttyuuuuπMmmmh kkuuu hyo dawa unaweza deal na kile chakula kilichopo tqyari kweny ytumbo mpnw
Naimagine ulipokuwa unasubiria kilie fyutyuuuu hiyo sura ako ilikuwajeee!!! πππYaani kikijidai na ujuaji,,kinatoka ilee fffuuuuuttyuuuuπ
Sasa mkuu iliyonikuta mimi ni tofauti..Najua hiyo hali imewahi mkuta kila mtu sema hawatakagi kusema tu ila usiombee ikukute unaweza ukabaki dilemma...
π π
Mimi haikuzidigi nusu saa ila niliona π₯ kwaaaa kweliiiiiiiiSasa mkuu iliyonikuta mimi ni tofauti..
Mkuu lisaa limoja nahangaika imagine
Ahahahahah mkuu mkuu acha tuuu...Aisee hiyo ngoma sometimes ndio unahisi kwa mbali kidogo maumivu ya kuzaa one day nilipata shida sitasahau mpaka leo nikijifanya nimejisahulisha kwenda chooni siku tatu naanza kunywa mimaji na kujiandaa kisaikolojia
Sasa mi lisaa mkuu we assume nilikua nahisi miguu kuishiwa nguvuMimi haikuzidigi nusu saa ila niliona π₯ kwaaaa kweliiiiiiii
Daaah mkuu wee kweli una hatari sasaMimi nimetoa ushihuda hapo juu #275
Mimi nimebadili lifestyle maana yale maumivu mpaka mayai viza kama yanapasuka hivi unaona ule msemo wa ngamia kupita kwenye tundu la sindao ni huu hapa practicallyAhahahahah mkuu mkuu acha tuuu...
Sasa mimi jana mchana mambo yalikua poa ilivofika usiku nikasema ngoja nende bana....
Khaaa yani ukisimama ipooo ila ukichuchuma hakuna kitu hata dalili mkuu mi iliwahi nitokea sana tu ila ya jana ile nin historia kwangu