Mimi sio mahakama wala sio dalali wa mahakama, na imeshaelezwa kwamba serikali yote imepakatwa na huyo dada Salha, hata Ikulu pia, yote imepakatwa na hao jamaa, sasa ukienda huko utaishi kutekwa na kuteswa tu, rejea kisa hapo chini
Nsato Marijani, Kamishna wa Operesheni na Mafunzo Jeshi la Polisi pamoja na vigogo wengine wa serikalini wanatuhumiwa kushindwa kumsaidia Mtanzania Abdulswamadu Zacharia Omary (36) anayedai kutendewa vitendo vya kikatili. Nsato Marijani, Kamishna wa Operesheni na Mafunzo Jeshi la Polisi...
Kwahiyo kama suala ni kwenda haki kwa haki, basi chenjiirudishwe, kama ni uonevu basi ujulikane hivyo na sio kuutetea, #Chenjiirudi
Halafu wewe bibi udini unakafanya unakosa akili, wewe hata bint yako akija kufrw na mwarabu utatetea huyo mwarabu, wallahi nakwambia..