Saalah (Silent Ocean): Anavyotakatisha na kutorosha pesa nchini, Uhujumu Uchumi, Kuteka na Kutesa watu, anavyolindwa na viongozi

Huku tuendako sasa siko kabisa.
Nchi haipaswi kuongozwa au kuwa influenced na "makundi ya kihalifu" - ilianza awamu ya 4, ikahalalishwa awamu ya 5 sasa tunaona kasi ilivyokolezwa.
 
Kamaliza form four mwaka.gani
 
Ifike wakati kila rangi irudi kwao back Rev. Christopher Mtikila
 
Nilikua najiona jasiri Sana
Mleta mada Kani prove wrong
 
BORA RAISI AJAYE AWE KAMA MAGU AWANYOOSHE HAWA WA BADHILIFU NA WATU WOTE WA AINA HII ILI KUKOMESHA KABISA MTINDO HUU [emoji848] [emoji119] SHIDA AKIJA RAISI KOMANDOO KELELE ZINAKUWA NYINGI TENA kum*maqe wa Tz [emoji1241] hatujui tunataka nini
 
Unayosema ni sahihi. Lakini ukiwa katili mwenye hekima utakuwa na nguvu maradufu. All the same your statement must stand
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…