Saalah (Silent Ocean): Anavyotakatisha na kutorosha pesa nchini, Uhujumu Uchumi, Kuteka na Kutesa watu, anavyolindwa na viongozi

Saalah (Silent Ocean): Anavyotakatisha na kutorosha pesa nchini, Uhujumu Uchumi, Kuteka na Kutesa watu, anavyolindwa na viongozi

Uaminifu ni kitu ambacho sisi tumekuwa tukifeli

Mtaani kuna dogo anakibanda cha makuti anauza utumbo wa ng'ombe kipo eneo moja na parking ya bodaboda

Huyo dogo nimemshuhudia mara kibao akiwasaidia hao madereva bodaboda kuwapa utumbo for free na kuwachangia unga wawe wanapika kijiweni.

Lakini juzi dogo kaacha simu kwenye kibanda akaongozana na mteja kwenda kuomba chenji dukani.

Anarudi anashangaa simu haipo, kila bodaboda aliyekuwa pale akiulizwa anakataa anasema sio mimi.

Kumbe wao ndio wamechukua simu halafu wakawa wanataka dogo awape 15K ndio wamrudishie.

Dogo ikabidi atoe hiyo 15K kwasababu ndio simu anayotegemea kufanya request ya mzigo kwenye biashara yake.

Mtaji wa biashara hata 40K haufiki, fikiria faida ni kiasi gani halafu muda huo 15K imetolewa nje ya hesabu ku-rescue simu.

Baada ya siku mbili kupita Brother mmoja ndio alijitokeza kuwakemea wale bodaboda na kunyang'anya simu ya mmoja wao na kusema hairudishi mpaka wamrudishie dogo 15K yake.

Ndio hapo wakairudisha 15K
Huu ndio unaitwa " Usela ma***"..., tabia ya hovyo sana hii.
 
Kazaminiwa hela ya biashara. Azungushe ili akuze mtaji. Kaenda nunua nyumba na vogue

Gsm walimpa hela wakijua akifanya vizuri kwenye biashara ataendelea kuwa mteja wao. Maana wao gsm wanahudumia wafanyabiashara
Wazazi wako na waalim wako walipata shida sana kulea mtu asiyeweza kusoma na kuelewa ati.
 
Hadithi yako ni nzuri ila Ina walakini...

Huyu Eliud ni mfanya biashara kweli ? mbona ni mzembe sana watu wameiba mpaka wakajenga na kuagiza magari yeye yupo tu?

Ilikuaje Eliud akakubali kulipwa mil. 22 huku dukani kukiwa na upotevu wa mamilioni na akakubali kupokea?
Bado alikua na uwezo wa kumbana Pius kuwa duka lilikua chini yake na upotevu ulotokea lazima uwe juu yake yaani mtu anakubali eti aliiba mil.22 tu na huku dukani kuna loss ya mamilioni ya hela ? ( Yaani mtu amekiri kosa la wizi lakini kajichagulia kiasi alichoiba😂😂😂)

Inakuaje Eliud anakabidhi mali kwa boss wa silent ocean wakati yeye anadaiwa pesa ? Kwanini asingefanya mchakato wa kuuza mali zake na akalipe hilo deni kuliko hiki alichokifanya?
Ni kweli alikosea. Unajua vijana wengi wakipata pesa wakiwa na umri mdogo umakini hupungua. Ndio maana wengi wanafirisika.

Yeye hakutoa mali kwa kupenda kulikuwa na vitisho huu ya usalama wake.

Na suala la kukubali kuchukua tu hiyo 22.5m ni sababu alipoenda kufungua kesi askari alikataa kuendelea nayo kuwa itamrudia Saalah. Kiufupi anahitaji msaada zaidi hata wa kurecover pesa zake toka kwa huyo Pius na baba yake mdogo ambaye hakuwa baba mzuri wa kumshauri mwanae.

Leo unamuibia mtu na hizo pesa hazitakuwa na baraka
 
Uaminifu ni kitu ambacho sisi tumekuwa tukifeli

Mtaani kuna dogo anakibanda cha makuti anauza utumbo wa ng'ombe kipo eneo moja na parking ya bodaboda

Huyo dogo nimemshuhudia mara kibao akiwasaidia hao madereva bodaboda kuwapa utumbo for free na kuwachangia unga wawe wanapika kijiweni.

Lakini juzi dogo kaacha simu kwenye kibanda akaongozana na mteja kwenda kuomba chenji dukani.

Anarudi anashangaa simu haipo, kila bodaboda aliyekuwa pale akiulizwa anakataa anasema sio mimi.

Kumbe wao ndio wamechukua simu halafu wakawa wanataka dogo awape 15K ndio wamrudishie.

Dogo ikabidi atoe hiyo 15K kwasababu ndio simu anayotegemea kufanya request ya mzigo kwenye biashara yake.

Mtaji wa biashara hata 40K haufiki, fikiria faida ni kiasi gani halafu muda huo 15K imetolewa nje ya hesabu ku-rescue simu.

Baada ya siku mbili kupita Brother mmoja ndio alijitokeza kuwakemea wale bodaboda na kunyang'anya simu ya mmoja wao na kusema hairudishi mpaka wamrudishie dogo 15K yake.

Ndio hapo wakairudisha 15K
Boda boda ni matajiri, hawawezi iba simu. Wanapata 800,000 kwa mwezi, wana maisha mazuri kuliko watumishi walimu
 
Saalah yuko sawa. Huyu ni mfanyabiashara na biashara zina principle zake. Kamwe usiruhusu senti yako ktk biashara ipotee kizembe. Asitokee yeyote akusababishie hasara ktk biashara yako, huyu ni wa kuua tu ili usionekane unaingilika kirahisi. Jitahidi kukwepa kodi kadri inavyowezekana. Jenga urafiki na wenye mamlaka na vyombo vyenye mamlaka.

Ukitimiza haya utatoboa tu.
Huu ukweli mchungu Sanaa,
 
kuna wakati wabongo tuache unyonge, ukionewa, nawewe mtafutie gap malizana naye kibabe hata ukienda jela unakuwa umeacha msiba kwao...

JIfunze kushika gun na kupiga, kodisha au nunua chuma, mvizie malizana naye kiroho safi.... wengine watajifunza na kuacha uonevu..

Huyu unakwenda hata kuswali naye msikitini akiwa amefunga zake swala naye unamtanguliza, inakuwa imeisha hiyo.
 
Watu wachache sana wameliona hilo swala kwa namna ulivyoliona, na hio ndo maana ya Great Thinker.

Yaan upoteze mamilion kipuuzi tu na wakati ushaambiwa utafute mwasibu ila unazubaa zubaa. Hii story hata bila kusikia upande wa Salaah mie naona salaah alikua na justification ya actions alizochukua mambo ya sheria yatakuja baadae. Wanaomtetea huyu eliud na pius hawajua uchungu wa kutafuta hela kwa kujiajiri, wengi ni waajiriwa tu wanasubiri kulipwa mwisho wa mwezi, ila mjasiriamali anaepambana na ku-take risks za hatari ukiachia hadi kutoa kafara basi atamuelewa salaah vzr tu.
Salaah yupo sahihi 💯 hayo maswala Kwa wanaharakati wa kitaa hyo kubinyana pumbu mbona kawaida Sana , kuhusu kutakatisha fedha hyo ni ujanja wa salaah na ujinga Kwa serikali , serikali hawajui majukumu yao
 
Back
Top Bottom