nokwenumuya
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 820
- 2,896
- Thread starter
- #401
Vipi black market na kutorosha pesa nje ya nchi sio kosa auntie?Wivu tu umetujaa watz,
GSM hana kosa hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi black market na kutorosha pesa nje ya nchi sio kosa auntie?Wivu tu umetujaa watz,
GSM hana kosa hapo
Uko sahihi kabisaHawana ubavu wa kumtoa raisi. Labda wapate ushirikiano na assasins! Raisi akiamua anawatimua dakika 0 tu sababu yeye ndio final say. Shida ni yule mstaafu nae ana maslahi na hao wahuni ndio ugumu unapoanzia.
Nchi imekabidhiwa kwa ma Tripple OG'sNdio sema naye mtu wao si unaona aliwauzia kiwanja Cha CCM ambacho technically ni kiwanja Cha serikali,manake viwanja vya Tanu then CCM ni Mali ya serikali,vilitolewa buree enzi hizo 🙏
Daaah nilishaupata bana.... 👆👆🤓🤝Kuhusu nn tena jaman.
Hawana ubavu wa kumtoa raisi. Labda wapate ushirikiano na assasins! Raisi akiamua anawatimua dakika 0 tu sababu yeye ndio final say. Shida ni yule mstaafu nae ana maslahi na hao wahuni ndio ugumu unapoanzia.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wabongo wakishaaribu kazi wanaona Kumchomea boss kuwa anafanya udanganyifu sijui aniibia serikali ndo solution.. Mbona kabla hujamuibiaa akakuzingua hukusemaaa??? Leo unaona sio sawa sababu ushamuibiaa unataka serikali ikusadie kumzuiaa asikushtaki au kukudai au???[emoji3][emoji3][emoji3] Watu walipe helaa za watu waache TAMAAAA. SALAH NYOOSHA HAO VIJANAAfu unachotakiwa elewa hizo dollar huwa hazivuki mipaka.
Tsh zinatumika kununulia mazao, wao wanapewa dollar huko Dubai, China
Ukiwaambia waweke ushahidi hawana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wabongo wakishaaribu kazi wanaona Kumchomea boss kuwa anafanya udanganyifu sijui aniibia serikali ndo solution.. Mbona kabla hujamuibiaa akakuzingua hukusemaaa??? Leo unaona sio sawa sababu ushamuibiaa unataka serikali ikusadie kumzuiaa asikushtaki au kukudai au???[emoji3][emoji3][emoji3] Watu walipe helaa za watu waache TAMAAAA. SALAH NYOOSHA HAO VIJANA
yani shida kwelii.. PIU kaiba parefu analipa mil 22 eliud anakubali kama sio na yeye ni sehemu ya mpango ni nini??? wawekezaji wa kazi sana kwenye hii nchii yani WIZI ndo jambo wanawaza waajiriwa wengi wa kibongo wampige boss bhasi.. wale vibarua wanaojenga barabara wanaiba mifuko ya cement waziwazi kesho barabara zinabomoka baada ya siku mbili... mchina anajua aliweka mifuko 10 ya cement kumbe saba iliibwa ni AIBUU KUBWA hili nilishuhudia kwa macho yangu.Ukiwaambia waweke ushahidi hawana
Maku wewe hujaona kosa la salaaahSasa hapo Kosa la Saalah ni lipi?
Saalah no mfanyabiashara,
Kazi yake inamtaka kutafuta faida kubwa,
Kaone Gap upande wa TRA au Bandari analoweza kulitumia Kupata faida Kwa nini asilitumie?
Tuliowaamini tukawapa kazi wasimamie Rasilimali zetu ndio wanashida
Mbongo ukimpa kazi inatakiwa umpeleke kiyankuza Zaid , ukicheka naye dk 2 nyingi ashakurudisha kilingeni , aisee usije mchekea mtanzania kwenye biashara Acha kabisayani shida kwelii.. PIU kaiba parefu analipa mil 22 eliud anakubali kama sio na yeye ni sehemu ya mpango ni nini??? wawekezaji wa kazi sana kwenye hii nchii yani WIZI ndo jambo wanawaza waajiriwa wengi wa kibongo wampige boss bhasi.. wale vibarua wanaojenga barabara wanaiba mifuko ya cement waziwazi kesho barabara zinabomoka baada ya siku mbili... mchina anajua aliweka mifuko 10 ya cement kumbe saba iliibwa ni AIBUU KUBWA hili nilishuhudia kwa macho yangu.
Maku wewe hujaona kosa la salaaah
tena sio watu wa pembeni unakuta hata ndugu wanakuhujumu unaona.. so kwenye hii kesi salah acha apambane na hawa vijana walijifanya wajanja huyu eliud anataka ionekane PIU ndo mwenye kesi ila ukiangalia vizuri yeye ndo wakulibeba hili direct.Mbongo ukimpa kazi inatakiwa umpeleke kiyankuza Zaid , ukicheka naye dk 2 nyingi ashakurudisha kilingeni , aisee usije mchekea mtanzania kwenye biashara Acha kabisa
Kwanza mwamba kawastahi tuu kibingo Yani ,warudishe hela mambo yaishe ,sasa walivvyo mafala wanaanza kutapa tapa tena ....!! Tajiri mwingine anakutaifisha kila kitu na anakuua..usicheze na hela kabisa , hela ni dini inayojitegemeatena sio watu wa pembeni unakuta hata ndugu wanakuhujumu unaona.. so kwenye hii kesi salah acha apambane na hawa vijana walijifanya wajanja huyu eliud anataka ionekane PIU ndo mwenye kesi ila ukiangalia vizuri yeye ndo wakulibeba hili direct.
matajiri wengine hawa vijana wangeshapoteaa..Kwanza mwamba kawastahi tuu kibingo Yani ,warudishe hela mambo yaishe ,sasa walivvyo mafala wanaanza kutapa tapa tena ....!! Tajiri mwingine anakutaifisha kila kitu na anakuua
Anaijuaje Payroll🤣🤣🤣Unajua Payroll?
Mengine yote nimefuta ili nukuu isiwe ndefu. Hapo ulipoelekeza ofisi za silent ocean zilipo napenda kuuliza kidogo kwa kuwa hiyo mitaa naifahamu sana kupita maelezo.
1) Umeandika zilipo ofisi za silent ocean ni "Mkabala na...", nijuavyo, Mkabala na jengo la CCM ni Shule ya Mnazi Mmoja, unamaanisha kiwanja cha shule ya Mnazi Mooja ndiyo kimeuzwa? Maana nilisikia licha ya Mnazi MMoja Primary School pia kwenye hivyo viwanja vya shule pia imejengwa Sekondari. Tafadhali fafanua.
2) Au kama hukumaanisha "mkabala" kwa maana ya kutazamana (opposite), Je, ulimaanisha pembeni ya jengo la CCM?
Halafu watu kama hao walipopewa kiminyo ndio machawa wao walikuwa wana spin shit. Oh jamaa anawachukia matajiri!!! Matajiri wenyewe ndio hao sasa wakwepa kodi na wahujumu uchumi🤣🤣🤣Huyo mwamba ndio aliwaweza watu kama hawa. Waliufyata kama panda walionyeshewa.
Kwa maelezo ya mtoa mada Salah Hana tatizo hata kidogo , naijua biashara , bila kuwa katili kwenye usimamizi wa pesa hutoboi , imagine dogo aliyeiba wasingemsulubu hakuna kingepatikana , kuhusu kutakatisha pesa ni ujanja wa Salah na ujinga wa serikali full stop