Sababu gani watumishi wengi hutaka mabosi wanaume maeneo ya kazi?

Sababu gani watumishi wengi hutaka mabosi wanaume maeneo ya kazi?

moyo wa bilionea

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2022
Posts
327
Reaction score
649
Naomba tujadili hii mada. Ni kwasababu gani watumishi wengi hupenda kuongozwa na mabosi wanaume kuliko mabosi wanawake katika maeneo ya kazi?
 
Mfano mdogo mwanamke akiwa kwenye siku zake , kuna baady ya siku akili inakuwa kwenye mvurugiko sana! Alafu awe ndio boss kazini!
 
Ke = Hisia (chuki au furaha toka moyoni) kimaamuzi = Asilimia kubwa huwa ni hasara.

Me = Akili (toka kwenye ubongo) kimaamuzi = Asilimia kubwa huwa ni faida.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ili boss jinsia ya kike awe ana mienendo mizuri na wafanyakazi wake,ihakikiwe kuwa ana mahusiano mazuri na mme wake huko nyumbani na majirani pia.

Kwa kweli nimewahi kufanya kazi chini ya boss mwanamke,aisee yule mtu hafai,tulipishana kiasi kwamba niliamua hata nifukuzwe kazi ni sawa tu,alinizushia uongo kila sehemu,bahati nzuri akawa anaacha dots mwisho inajulikana ni uongo tu,fikiria ana phd ila anafanya mambo ya kitoto kabisa.

Baadae nikaja kugundua,anataka tuuheshimu uanamke wake sio yeye kama msimamizi,bt then nimeshaondoka huko,sio sababu yake ni baada ya kuona taasisi inaendeshwa kijinga kwa mihemko,waliobaki wapewe wepesi kusimama nae yule bibi.

Huyo boss hana sifa zozote za kiuongozi,na hafai kabisa,hayo mahusiano mazuri hata kwake hana,hata sura yake tu inaoyesha huyu si kiongozi mwema,hadi leo sijui ike taasisi ilifikiria nini kuweka watu chini ya usimamizi wa yule bibi.
 
Ili boss jinsia ya kike awe ana mienendo mizuri na wafanyakazi wake,ihakikiwe kuwa ana mahusiano mazuri na mme wake huko nyumbani na majirani pia.

Kwa kweli nimewahi kufanya kazi chini ya boss mwanamke,aisee yule mtu hafai,tulipishana kiasi kwamba niliamua hata nifukuzwe kazi ni sawa tu,alinizushia uongo kila sehemu,bahati nzuri akawa anaacha dots mwisho inajulikana ni uongo tu,fikiria ana phd ila anafanya mambo ya kitoto kabisa.

Baadae nikaja kugundua,anataka tuuheshimu uanamke wake sio yeye kama msimamizi,bt then nimeshaondoka huko,sio sababu yake ni baada ya kuona taasisi inaendeshwa kijinga kwa mihemko,waliobaki wapewe wepesi kusimama nae yule bibi.

Huyo boss hana sifa zozote za kiuongozi,na hafai kabisa,hayo mahusiano mazuri hata kwake hana,hata sura yake tu inaoyesha huyu si kiongozi mwema,hadi leo sijui ike taasisi ilifikiria nini kuweka watu chini ya usimamizi wa yule bibi.
uliopitia changamoto kubwa sana mkuu
 
Ni hatari kuongozwa na jinsia isiyo tumia akili katika maamuzi, ila mihemko, hisia na inferiority complex viki chukua nafasi kubwa sana katika maamuzi.
 
BAADHI YA WANAWAKE WAKISHAKUWA MABOSI HUWA WANA NYODO,DHARAU,UBINAFSI,CHUKI,VIROHO PAPO,VISEBUSEBU,ROHO MBAYA.

Kibaya zaidi ukute anaabudu kwenye makanisa hayo ya upako nadhani utaomba ardhi ipasuke ikumeze kwasababu atataka kumhubiri kila aliyeko mbele yake.
 
Naomba tujadili hii mada. Ni kwasababu gani watumishi wengi hupenda kuongozwa na mabosi wanaume kuliko mabosi wanawake katika maeneo ya kazi?
Wewe utakuwa ni ke hakafu unawivu kwa mwanamke mwenzako. We unataka boss wako awe me ili awe anakuhonga hapo ofisini.

Wanawake hamnawahi kupendana
 
Back
Top Bottom