chief swetu
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 224
- 240
Zinaitwa mechi za kirafiki, kujiandaa na mashindano rasmiWatu wanaachana lakini namba hawafuti. Unajua ni kwanini?
Kwasababu ni suala la muda tu ipo siku watatafutana.
Nami nakushauri kamwe usifute namba ya ex wako. Ipo siku atakufaa kwa matumizi ya dharura.