chief swetu
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 224
- 240
Zinaitwa mechi za kirafiki, kujiandaa na mashindano rasmiWatu wanaachana lakini namba hawafuti. Unajua ni kwanini?
Kwasababu ni suala la muda tu ipo siku watatafutana.
Nami nakushauri kamwe usifute namba ya ex wako. Ipo siku atakufaa kwa matumizi ya dharura.
sawaLabda kama upo single.
Ila kwa mwanaume anaejielewa hawezi kuruhusu mwanamke wake awe na mawasiliano na ma ex.
Sis you are wrong!
Afadhali Mjukuu, sasa nina uhakika wa kupata Koti la Babu 🤗[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Uthibitisho utaupata siku ya honeymoon na mjukuu wako [emoji85]
Afadhali Mjukuu, sasa nina uhakika wa kupata Koti la Babu [emoji847]
Ngoja nishauriane na Bibi yako hapa, maana amekuwa akinichagulia nguo tangu nimwoe mwaka 1942 🤪Umepata babu [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe sema unataka la rangi gani?
Ngoja nishauriane na Bibi yako hapa, maana amekuwa akinichagulia nguo tangu nimwoe mwaka 1942 [emoji2957]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sawa babu
Haswa grid ya taifa.Hawajui maisha yalivyobadirika, enzi zetu tunaenda vitani Uganda mwaka 1978 unarudi Vitani baada ya miaka 2 unamkuta mkeo yupo kama ulivyomuacha.
Siku hizi unaenda kazini asubuhi kurudi jioni unakuta Vijana wa hovyo wameshapiga chatta.
Ndiyo sembuse mmeachana miaka 3, si utajikuta amekuunga kwenye Grid ya Taifa uanze kumeza dawa 🤪
Hatari sanaHaswa grid ya taifa.
Mdogo mtu apa😆Wee!! Anaibiwa na nani?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]