Mkuu nadhani wewe na watu wengi hamfamu nini mama Samia alimaanisha aliposema "kula kwa urefu wa kamba"
Kamba hapa ina maanisha uhali wa kisheria yaani usivuke na kula zaidi ya sheria ilivyokupa yaani ukakata kamba na kula zaidi ya vyako kisheria (ufisadi)
Kamba, yaani sheria inakuwekea eneo lako la kula kihalali na usivuke nje.
Kiswahili si kigumu ila ukikisoma juujuu utapata maana potofu.