Sababu kubwa ya Nyerere kumkataa Lowassa asiwe Rais ni utajiri wake uliotokana na urefu wa kamba yake wakati huo!

Hao wanapotosha kwa makusudi maana iliyokusudiwa kwa nia zao chafu za kisiasa ni wapiga domo na kila awamu huwa hawakosekani.
 
Hali siku hizi ni tofauti sana, hasa chini ya uongozi wa raisi Samia. Kimsingi Samia amehalalisha wanasiasa na viongozi wa serikali kutumia nafasi zao kujitajirisha, na wanapojitajirisha hauwaulizwi maswali yeyote!
Huyu Bibi hana sifa yoyote ya kuwa kiongozi, ni usanii mtupu ndio maana kiki nyingi tu zinafanywa na chawa ili aweze ku trend.
 
Ilikuwa ni Wivu tu wa mwalimu baada ya kuambiwa Lowassa ana kibanda pale SA

Edward hakuwa na Utajiri wowote ila hakuwa na mawazo ya Kimaskini
Na hata hii, eti alikodi ndege ikazunguka nchi nzima, ni uongo, na wawaongopee ambao hawakuwepo, au walikuwa hawajitambui wakati huo. Kwanza Dar tu, watu walijaa na KUSUKUMANA kutaka kumdhamini!
 
Ni kweli, tena kwenda Morogoro kutafuta wadhamini alipanda Abood Bus
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ