Uchaguzi 2020 Sababu kuntu 5 za kwanini Rais Magufuli atashinda tena Uchaguzi huu

6. Tume
7. Polisia
8. Mfumo utakao tumika kujumuisha matokeo
8...
9.......

Naona umetutajia Sababu ambazo kimsingi hazieleweki.
Mmeshindwa kunadi Sera kwa wananchi mnakimbilia kusingizia tume ya Uchaguzi itampendelea Magufuli. Kushindana na CCM kisiasa tu mmeshindwa, Nendeni mkajitafakari kwa mara nyingine mje na Hoja zenye Mashiko
 
Kama hujaelewa ni wewe kwasababu ya mvinyo wa madaraka uliokulewesha
 
Mbona umeacha sababu kuu ambayo katibu mkuu wako aliitaja kuwa ndio msingi wao wa ushindi?Alisema watatumia dola kubaki madarakani!Sasa wewe kapuku unapingana na katibu mkuu ambaye yuko jikoni kabisa?

Acha propaganda za 90's ndugu, Lete evidence hapa.
Mgombea wa CCM anamwaga sera dola likatumike wapi. Nyie wananchi tu hawawakubali na kura zenyewe hata za kusema mtaibiwa hamna. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
 
Mbona umeacha sababu kuu ambayo katibu mkuu wako aliitaja kuwa ndio msingi wao wa ushindi?Alisema watatumia dola kubaki madarakani!Sasa wewe kapuku unapingana na katibu mkuu ambaye yuko jikoni kabisa?
Kwani dola c pesa!
Aaah kwenye kampeni kwani hawatumii pesa!
 
Huo Ni udhaifu ???? Hebu zunguka Tanzania nzima Kama hautakutana na viwanda vinavyofanya kazi masaa 24 vikizalisha ajira za kutosha kwa watanzania
Hawa watu wamekusanyika kwa sababu wamemwona mwanamme mmoja mwenye uwezo wa kupambana na ufisadi pamoja na Wala rushwa. Bila kuwasahau mabeberu weusi na weupe. Ni Rais asiyetishika na ngozi nyeupe hata kidogo
 
Unashabikia upumbavu wa kuenguana halafu unaandika utopolo mrefu wa kuchukiza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…