Uchaguzi 2020 Sababu kuntu 5 za kwanini Rais Magufuli atashinda tena Uchaguzi huu

Bibie unabonga nini wewe..?nitajie hivyo viwanda? Au kwa kuwa unachezea kirungu Cha mmeo hapo Basi unahisi ni kiwanda...

Endeleeni kudanganywa na huyo muhutu!
Viwanda tulivyonavyo sasa ni 61110 ongezeko la viwanda 8477 toka miaka mitano nyuma, tatizo lenu si tu hamna elimu ila hamjaelimika ndomana matusi ndio silaha kwenu
 
Kwa hiyo saccos watashinda
Saccos yenyewe ni ki group cha wapigaji tu. Hawana huruma na watanzania kabisa, yani hata kusikiliza Sera zao unachangishwa hovyo kabisa. October ndio mwisho wa hio saccos, maana hawata ambulia kitu ili iwe funzo.
 
Viwanda tulivyonavyo sasa ni 61110 ongezeko la viwanda 8477 toka miaka mitano nyuma, tatizo lenu si tu hamna elimu ila hamjaelimika ndomana matusi ndio silaha kwenu
Hebu kuwa muungwana basi...kiwanda unachokijua ni cha hao 'madanga' wako wa kwenye kampeni.
Be humble bibie!
 
Kwa hiyo saccos watashinda
Saccos wapigaji tu. Hawana huruma na watanzania kabisa, yani hata kusikiliza Sera zao unachangishwa hovyo kabisa. Safari hii watanzania tutawashikisha adabu, ili iwe funzo.
 
Hebu kuwa muungwana basi...kiwanda unachokijua ni cha hao 'madanga' wako wa kwenye kampeni.
Be humble bibie!
Kiwanda cha kusindika maziwa cha Milkcom Ltd kilichopo Kigamboni chenye uwekezaji wa Bilion44, kiwanda cha MeatKing pia...attack hoja sio mtu wapinzani wa tanzania hamtokuja shika dola kamwe sababu hamna misingi mizuri
 
Kiwanda cha kusindika maziwa cha Milkcom Ltd kilichopo Kigamboni chenye uwekezaji wa Bilion44, kiwanda cha MeatKing pia...attack hoja sio mtu wapinzani wa tanzania hamtokuja shika dola kamwe sababu hamna misingi mizuri
Wapinzani wote wamejaa porojo tupu, kwa mtanzania makini hawezi chagua pumba.Kwa aina ya kazi za JPM, wana saccos wajipange upya 2040.
 
Ni JPM pekee, kiongozi mzalendo na mwenye nia ya dhati ya kufanya kazi na watanzania wote.
 
Baada tu ya Uvccm kufunguliwa kutoka kifungoni na Katibu wao Mkuu Bashiru Ali, hatimaye tunaanza kuona cheche zao.
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Hoja ya msingi ambayo iko mezani ni JPM kushinda tena. Tunasisitiza Magufuli anashinda, ataendelea kuitumikia nchi kwa uamanifu mkubwa.
 
Kiukweli nimeshiriki na kushuhudia chaguzi nyingi tangu mwaka 1995 kimsingi kwa siasa za upande wa kushoto zimepoteza mwelekeo,,ninaposema zimepoteza mwelekeo ninamaanisha ,,, humu ndani ni home of great think tunahitaji kufikiri sawa sawa .

Sababu ya Kwanza , Raisi aliyepo madarakani kwa sasa ni mtu ambaye ameleta maendeleo katika nyanja tofauti vitu,,na uchumi halali wa watu ,, maisha yamekua Bora zaidi kwa sababu kila mtu anafurahiya matunda ya nchi hii katika uvuvi,uchukuzi,afya na nk.

Nichotaka kusema hotuba za Raisi kwa sasa zinaenda katika namba na sio porojo.

Itaendelea
 
Kiwanda cha kusindika maziwa cha Milkcom Ltd kilichopo Kigamboni chenye uwekezaji wa Bilion44, kiwanda cha MeatKing pia...attack hoja sio mtu wapinzani wa tanzania hamtokuja shika dola kamwe sababu hamna misingi mizuri
Aisee . .hapo ndo umetetea hoja yako..haki ya mama Polepole inabidi awapunguzie dau. !!
 
Ni JPM tena. Tunashinda kwa kishindo.
 
Ahsante.. Sakata la Corona tu ni ushindi tosha
Dah mwenyekiti wa saccos alijiweka kimbelembele kutoa modalities za kushinda Corona, akaangukia pua kwa hoja zake za kijinga kabisa. Leo hii tungekuwa kama Kenya kwa lockdown zisizo idadi. Thank God for JPM, hakika watanzania tunajivunia hasa.
 
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Hoja ya msingi ambayo iko mezani ni JPM kushinda tena. Tunasisitiza Magufuli anashinda, ataendelea kuitumikia nchi kwa uamanifu mkubwa.

Hata akishinda, atakusaidia wewe na familia yako. Kwangu mimi hana faida yoyote ile kwenye ustawi wa maisha yangu.
 
Kwa taarifa yako huyo Magufuli wako ni mpinzani kuanzia hapo November 2020.
Jamani ni leo tu TL amekiri jinsi ilivyo vigumu kwa upinzani kushinda (amesema NEC ya raisi, polisi wa raisi, usalama wa taifa wa raisi na mfumo wote wa nchi uko upande wa raisi) wewe ni nani useme JPM atakuwa mpinzani novemba? Huku ni kujitoa ufahamu kwa hali ya juu sana.
 
Subiri utaona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…